Kwahiyo ligi yetu imeizid ya South Africa??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo ligi yetu imeizid ya South Africa??
Kuwa na umri mkubwa siyo lazima uwe mzee.Mimi nilijua ni rika moja na Feisal Salum .
Au basi!!
Huyu ndiye anamroga CramoMimi nilijua ni rika moja na Feisal Salum .
Au basi!!
🤣🤣🤣🤣.Huyu ndiye anamroga Cramo
Umri ndio kigezo pekee cha rika . Yaani mtoto, kijana, mtu mzima na mzee. Na katika ulimwengu wa Soka ukiwa na miaka 35 utaitwa mzee. Kwahiyo saido kwa umri wa miaka 36 huyo ni babu tu, na ukute alidanganya umri, ukimuangalia vizuri atakuwa na miaka 42.Kuwa na umri mkubwa siyo lazima uwe mzee.
Utakuwa mtoto wewe.
Kwahiyo ligi yetu imeizid ya South Africa??
Nawewe unaamini Hilo kabisa?? Umefuatilia na kuzifanyia analysis hizi ligi mbili ya Tz na SA, sio kila kilichowekwa Google ni sahihi league ya Tanzania haiwezi kuwa juu ya South AfricaNdio mkuu
South Africa [emoji1221] wapo no.7
Saido anamzaa kabisa Feisal SalumMimi nilijua ni rika moja na Feisal Salum .
Au basi!!
Kabisa🤣🤣🤣Saido anamzaa kabisa Feisal Salum
Mfungaji borawa msimu uliopita ni Fiston Mayele!Na ndiye mfungaji bora wa PL yetu mwaka jana, ligi ambayo ni ya tano kwa ubora Africa kama takwimu zinavyosema.
Roger Millerumri sio kigezo kivile.. Mali ikiwepo mguuni na ukajitunza vyema mpira unagusa hata ukiwa na 48