Yani jana nilicheka sana warikuwa wanakanyagana kila mtu alikuwa anakuja na figure yake.Sasa hivi kaambiwa aweke dau kama Saido atakosa kiatu amebaki anaruka ruka tuUnaanzaje kumuamini mtu anaekurupuka
Kanuni ya zamani hioSame to Mohamed Musa na Sinon Msuva wote walibeba kiatu...
Kiatu usifikiri kinatolewa tu kama sandakalawe acha upimbi weweHuuu ni uongo mtupu, kwa kanuni za TFF hao wote wanapewa kiatu...tatizo mnawaza kwa kutumia makalio
Kanuni zilibadilikaHuuu ni uongo mtupu, kwa kanuni za TFF hao wote wanapewa kiatu...tatizo mnawaza kwa kutumia makalio
Feisal atauzwa kwa 350M [emoji848]Kiatu usifikiri kinatolewa tu kama sandakalawe acha upimbi wewe
NdiooooooHuuu ni uongo mtupu, kwa kanuni za TFF hao wote wanapewa kiatu...tatizo mnawaza kwa kutumia makalio
Lini zilibadirika,usituletee general statement tu hapaKanuni zilibadilika
2021Lini zilibadirika,usituletee general statement tu hapa
Hii ulitaka kumaanisha nini bwana uto?The future is exercising [emoji23]
Nendeni mkashitaki FIFAKiatu kinatolewa kwa yule ambaye hana magoli mengi ya penati kwahiyo kiatu ni cha Fiston Kalala Mayele [emoji617] Official [emoji460] Young Africans SC
NB: pamoja na kumnunulia magoli Mzee ...saidoo ashinde kiatu ....but imeshindikana[emoji23][emoji23][emoji23]
Hizo pesa mnge invest kununua quality players kama mayele .....na nyie mngekuwa fainali [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2651354
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mudi mda si mrefu atatangaza kuingia hasara[emoji23][emoji23]
Mmekalia ukuni [emoji23]Huuu ni uongo mtupu, kwa kanuni za TFF hao wote wanapewa kiatu...tatizo mnawaza kwa kutumia makalio
Striker wa Simba ana magoli mangapi?Quality striker analingana magoli na midfielder?
Halafu Ishu ya bandari imefikia wapi?
Goal ni goal tu haijalishi ni penalty au free kick maana zote ni sehemu ya mchezo......Kiatu kinatolewa kwa yule ambaye hana magoli mengi ya penati kwahiyo kiatu ni cha Fiston Kalala MayeleOfficial Young Africans SC
Si Utopolo hapa wameshaanza heka heka zao kama jana walivyokuwa wanatuhangaisha na dau la Feisal kuuzwa Azam.Ufafanuzi umetolewa, bodi ya league na TFF ndo itaenda kukaa na kuamua kanuni ipi itumikee, huvyo wadau wa soka wakae kwa utulivu.