mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Saidoo aliachwa na Yanga kwa mazingira sawa na yale aliyoachwa Morrison Simba.
Ila Saido anaonekana kuwa tegemeo kwa club yake tofauti na Morisson.
Ilikuwaje Morrison kupewa tena mkataba wakati mambo yake yanajulikana maana sisi ndio tuliomleta mjini.
Au ndio ule usemi wa Haji Manara kuwa Jangwani wenye akili wawili tu
Ila Saido anaonekana kuwa tegemeo kwa club yake tofauti na Morisson.
Ilikuwaje Morrison kupewa tena mkataba wakati mambo yake yanajulikana maana sisi ndio tuliomleta mjini.
Au ndio ule usemi wa Haji Manara kuwa Jangwani wenye akili wawili tu