Umeona ee! Mimi namuona kama mfurukutaji tu. Sijui kwanini Simba hawamfanyii substitution.Ukweli usemwe, Ntibanzokiza aache uchoyo na ubinafsi, kuna mabao anatukosesha wakati kama angetoa pasi inakuwa kambaa, ila yeye analazimisha afunge yeye anaishia kupokonywa na kuharibu movement.
Na ulengaji wake wa bao awee anatazama na angle sio kupiga tyuuh,
Mie ananikera kwa kweli. Khaaa
Tuje tulizungumzie hili Morrison akifikishaHujui kuwa Morison ni majeruhi, akiwa fit Saidoo anasubiri sana
Morrison mchango wake hua unaonekana kwenye mechi za kimataifa zaidi kuliko mechi za ndani.Tuje tulizungumzie hili Morrison akifikisha
15+ Goal contribution kwa Msimu....
Hii nayo ni hadithi tu....Morrison mchango wake hua unaonekana kwenye mechi za kimataifa zaidi kuliko mechi za ndani.
Saidoo aliachwa na Yanga kwa mazingira sawa na yale aliyoachwa Morrison Simba.
Ila Saido anaonekana kuwa tegemeo kwa club yake tofauti na Morisson.
Ilikuwaje Morrison kupewa tena mkataba wakati mambo yake yanajulikana maana sisi ndio tuliomleta mjini.
Au ndio ule usemi wa Haji Manara kuwa Jangwani wenye akili wawili tu
Anataka kuwa mchezaji maharufu ili apate timu URAYA!Mie ananiboa mnoo, mabao mengi anatukosesha sana huyu, ajue kuwa anaipambania team sio kujipambania yeye.
Km fame atapata tyuuh muda ukifika. Lol
Kwani mpira mnaangalia mkiwa mmelewa? Mechi zote alizocheza Morrison kimataifa akiwa Yanga, aliisaidia sana Yanga. Mechi dhidi ya Al Hilal, ni yeys ndiye kafanya kazi kubwa sana kule mbele ila wenzie wameshindwa kuzitumia nafasi alizotengeneza.Hii nayo ni hadithi tu....
Kawasaidia nini Yanga kimataifa?
Msaada unaupima katika jambo lipi? Kuna mchezaji aliyemzidi Morrison kwa kufanya kazi kubwa kwenye mechi dhidi ya Al Hilal? Au umekariri msaada lazima kuufunga na kuu assist. Mchezaji anaweza kufanya kazi kubwa kutengeneza nafasi lakini wenzie wakashindwa kuzitendea hakiAkiwa simba sio akiwa yanga,hajawahi kuisaidia yanga
Hatukumuacha tulishindwana,aliweka masharti ambayo hatungeyawezaIla tukiacha ushabiki, Yanga hapa hawakutumia kabisa akili. Unamuacha Saido unamchukua Morisson?
Morrison nidhamu tu nje ya uwanja ila kwa uwezo Morrison bora kuliko Saido,Morrison anaweza kuamua mechi kubwa yeye mwenyewe Saido hawezi. Karudie kutizama mechi ya Asec Mimosa na Kaizer Chief zilizo fanyika taifa ndipo utamjua Morisson na ile iliyofanyika Sudan, itizame kwa umakini.Saidoo aliachwa na Yanga kwa mazingira sawa na yale aliyoachwa Morrison Simba.
Ila Saido anaonekana kuwa tegemeo kwa club yake tofauti na Morisson.
Ilikuwaje Morrison kupewa tena mkataba wakati mambo yake yanajulikana maana sisi ndio tuliomleta mjini.
Au ndio ule usemi wa Haji Manara kuwa Jangwani wenye akili wawili tu
Alifanya nini nikumbusheMsaada unaupima katika jambo lipi? Kuna mchezaji aliyemzidi Morrison kwa kufanya kazi kubwa kwenye mechi dhidi ya Al Hilal? Au umekariri msaada lazima kuufunga na kuu assist. Mchezaji anaweza kufanya kazi kubwa kutengeneza nafasi lakini wenzie wakashindwa kuzitendea haki
Sijawahi ona faida yake huyo jamaa zaidi ya kuzurura tu
Yaan hadi anachoshaa, cjui huko kambini hawakuambii ukweli aaaah.Hii tabia inahamahama...alikuwa nayo Sakho amepunguza imezidi kwa Tiba
Ndo aambiwe ukweli ajirekebishee.Hilo swala linarekebishika tu kikubwa kipaji kipo
Sijazungumzia match ya juzi? Ni almost karibu zotee.So mlitaka muwapige 10??muwage na huruma jamani
Yule ni kumuambia tyuuh ukweli ili ajirekebishee, mbna yuko vizuri sana, tatizo n uchoyo na ubinafsi.Umeona ee! Mimi namuona kama mfurukutaji tu. Sijui kwanini Simba hawamfanyii substitution.
Sasa si asaidie team kwan, km umaarufu atapata tyuuh.Anataka kuwa mchezaji maharufu ili apate timu URAYA!