Revola
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 1,516
- 1,338
- Thread starter
- #141
Hahah nowadays yupo NMB? Basi maisha hayatabiriki kabisaDarful imekua hostel ya mademu?? Darfull tulikua tunaishi maisha ya tandale kabisa! Kuna Jamaa alikua anaitwa Ibra! Anakuja kwenye menu yako anaanza kula bila ya karibu! Mchizi alikua na life lakuunga unga sana! But chuo alimaliza now yupo Nmb ni boss mkoja hv