Sakata la Askofu Alex Malasusa lachukua Sura Mpya, Watoto Watoroshwa

Sakata la Askofu Alex Malasusa lachukua Sura Mpya, Watoto Watoroshwa

Huyu askofu inabidi sasa aadhibiwe na nguvu ya umma
Huyo jamaa ana kazi kubwa sana kufight na mtu wa hadhi ya huyo askofu, hao watu wana nguvu kubwa sana usiwaone wanavyoongea kama wapole au wajinga flani, ni wasomi wa hali ya juu na wana akili kubwa sana.
 
Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
Nani amekwambia Askofu Malasusa hana mke?
Hizi porojo za Mwanahalisi zisikufanye utende dhambi! Hata hivyo nimeshaona kuna chembechembe za udini zinapandikizwa hapa ili kuonyesha dini fulani haifai! Ukichukulia ukweli kuwa mmiliki wa Mwanahalisi anatokea ile "dini ya haki!"
 
Mandata wanamsaidia maana na wao mambo ikiwaga Ngumu hukimbilia huko kuomba matamko, nyaraka na misimamo.
 
Yote haya Malasusa anayafanya kwa sababu anatembea sijui na mke wa huyo jamaa ?? Sasa naanza kuona kuna shida kwa huyu mume wa huyo mchungaji ,pengine alikua ana wa abuse
 
Malasusa amelidhalilisha kanisa na ukristo kwa ujumla.Alikuwa mkuu wa kanisa la KKKT,sijui alikuwa anawaongoza nini wenzake na humo kutakuwa na ushitikina wa hali ya juu iwapo tu haya ya kuzini na wake za watu wameyashindwa.

Wanatufundisha nini sisi waumini wawapo madhabahuni.

Kanisa inabidi limuondolee uaskofu wake na kumtenga kinisani.

Haya yote walikuwa wanayajua,na ingebidi kumuonya au kumuondoa kabla hajawaletea aibu wanayosema otherwise wote wanajuana madhambi yao.
 
..MSETO…

Huyu Sayed Kubeneasalam hawajui waliompigia kura mpaka anamchafua kiasi hiki Kiongozi wao wa Kiroho. Anawakilisha maslahi ya nani ktka hili, Mafisadi ambao Askofu amekuwa akiwakemea auni Siasa chafu?. He is just fighting a loosing war to tarnish the image of our spiritial leader. Kanisa limekuwepo jana na leo na kesho lipo tu na linakua. Hivi Mh. Mbowe anayekaa viti vya mbele pale KKKT St Joseph kama alivukuwa Mareh baba yake Aikaeli ameshindwaje kuliona hili taka linalopikwa na Mbungi wake? Same thing! We stand unmoved by your mud slinging campaign, We love our Bishop![/QUOTE]

Hivi una uhakika gani kwamba huyu askifu anachafuliwa? Tusiwe na double standards mimi ni mlutheri na huwa ninasali hapo Azania Front misa za asubuhi, tunataka kama kweli amehusika na awajibike, naye ni binadamu kama binadamu wengine ni jambo la kawaida kabisa kumkosea Mwenyezi Mungu, binadamu na hata wanyama. So tke your chill and let your ears listen
 
..MSETO…

Huyu Sayed Kubeneasalam hawajui waliompigia kura mpaka anamchafua kiasi hiki Kiongozi wao wa Kiroho. Anawakilisha maslahi ya nani ktka hili, Mafisadi ambao Askofu amekuwa akiwakemea auni Siasa chafu?. He is just fighting a loosing war to tarnish the image of our spiritial leader. Kanisa limekuwepo jana na leo na kesho lipo tu na linakua. Hivi Mh. Mbowe anayekaa viti vya mbele pale KKKT St Joseph kama alivukuwa Mareh baba yake Aikaeli ameshindwaje kuliona hili taka linalopikwa na Mbungi wake? Same thing! We stand unmoved by your mud slinging campaign, We love our Bishop![/QUOTE]
Kunya anye kuku akinya bata kaharisha.
 
Hivi hawa viongozi wa dini wanatambua kweli nafasi walizonazo kwenye jamii?Lakini kawaida ni kuwa mwenyezi Mungu huwa hadhihakiwi,fanya utakavyofanya lakini iko siku atakuumbua ili jamii itambue ubaya wako kabla hujaendelea kuwapoteza kondoo unao wachunga,God is good all the time.
 
Uongo hupanda lift na Ukweli hupanda kwa ngazi lakini utafika ...
 
Aacha upofu tafta ukweli kwahiyo kama alimpa kura ndo afiche maovu yao au unamaanisha ilikuwa kura ilikuwa ni hongo,nawaonea huruma watu kama nyie
..MSETO…

Huyu Sayed Kubeneasalam hawajui waliompigia kura mpaka anamchafua kiasi hiki Kiongozi wao wa Kiroho. Anawakilisha maslahi ya nani ktka hili, Mafisadi ambao Askofu amekuwa akiwakemea auni Siasa chafu?. He is just fighting a loosing war to tarnish the image of our spiritial leader. Kanisa limekuwepo jana na leo na kesho lipo tu na linakua. Hivi Mh. Mbowe anayekaa viti vya mbele pale KKKT St Joseph kama alivukuwa Mareh baba yake Aikaeli ameshindwaje kuliona hili taka linalopikwa na Mbungi wake? Same thing! We stand unmoved by your mud slinging campaign, We love our Bishop![/QUOTE]
 
Nani amekwambia Askofu Malasusa hana mke?
Hizi porojo za Mwanahalisi zisikufanye utende dhambi! Hata hivyo nimeshaona kuna chembechembe za udini zinapandikizwa hapa ili kuonyesha dini fulani haifai! Ukichukulia ukweli kuwa mmiliki wa Mwanahalisi anatokea ile "dini ya haki!"
Mbona mwandishi wa habari hii ni mkiristo, kwani mtu kuwa na mke inazuia yy kuwa na mchepuko ? mbona watu wamekiri kuwa na kiongozi wa kidini mkoa iringa ambaye anawala mademu saana, hawa viongozi wa kidini ni binadamu kama wengine kwa hiyo na wawo wana madhaifu
 
Mbona mwandishi wa habari hii ni mkiristo, kwani mtu kuwa na mke inazuia yy kuwa na mchepuko ? mbona watu wamekiri kuwa na kiongozi wa kidini mkoa iringa ambaye anawala mademu saana, hawa viongozi wa kidini ni binadamu kama wengine kwa hiyo na wawo wana madhaifu
Nilikuwa namjibu huyu mwenzio PACHOTO aliyeshauri maaskofu waoe. Nadhani hukupaswa kunijibu hivi.
 
Back
Top Bottom