Ni Bahati Mbaya sana haya yanatokea tukiwa hai, kanisa linanajisiwa Na Kiongozi wa juu. Wachangiaji wanakurupuka kwa Kuwa wamezoea kutumika. Hii sio Mara ya kwanza jwa habari Hizi katika Kanisa hili limeshamumbwa na kasha favorite Za namna hii Kwa Muda mrefu, Jerry mngwamba tuko wapi Leo hii? Alikua anatembea na washirika, kingomela na mgogoro wa Msasani ni hayo hayo, Huyu wa sasa hii sio kashfa ya kwanza, Ike habari ya Kimada wa kigamboni ilizimwa, Hal wanawake wa kitengo cha wanawake wamefanya nini Kukemea Huo uchafu, sisi washarika tunaanza mkakati wa kuhama Na kuhamisha watoto watu maana Kanisa hakuna maadili, au wote tuhamie Kimara Kwa mastahi maana Ndio kuna unafaa. Askofu mwakabana wewe Ndio ulistahili Nafasi hiyo ya juu, ma askofu wenye hekima vunja hicho kitengo cha wanawake haraka, huyo askofu a humiliate hatua Mara moja.pole sana mama Erika Malasusa dads wa kisukumu ka Hizi aibu zisizo Na Mwisho, kila siku kila Leo ni majeruhi hayo hayo, itisha hicho kitengo cha wanawake ukawatie adabu, wavunja Nyumba Za watu hao, Na huyo askofu Malasusa ashutakiwe mahakamani, Makonda anatumiaje jeshi la polisi Kubeba mambo hayo wakati Kinondoni umezidiwa Na uhakifu Kwa sasa?