Sakata la Askofu Alex Malasusa lachukua Sura Mpya, Watoto Watoroshwa

Sakata la Askofu Alex Malasusa lachukua Sura Mpya, Watoto Watoroshwa

Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
Mkuu huyu Askofu ni wa Kilutheri na anaruhusiwa kuoa na anamke!

Dhambi ya uzinzi si kwa vile hauna na mke bali ni kuwa na tamaa ambazo umeshindwa kuzisimamia

Mfano mzuri ni watu ambao wako kwenye ndoa zao lakini wanakamatwa kwa ugoni kila kukicha
 
Chadema inapoteza dira sasa, imesahau ilibebwa sana na kanisa hasa kkkt uchaguzi uliopita....


Ngoja tufuatilie taratibu maana huu mchezo hauhitaji hasira [emoji144] [emoji144] [emoji144]
 
nyie tulieni muone, Hwa watoto ni wa mtumishi wamungu, malususa, wara sio wa huyo mme haalari sasa km umeoa mke na mbegu zako, hazifiki kunako, zinaishia kwenye mashavu kwa nini husisaidiwe? mi nadhnai baba askofu kula nguluwe aliye nje ya zizi sio kosa. tena karipa mbolea, tena mi nawambieni mwambieni huyo mwanaume wa Dar kuwa akiendelea baba askofu ataenda kupima damu ili akomeshwe vizur.
 
..MSETO…

Huyu Sayed Kubeneasalam hawajui waliompigia kura mpaka anamchafua kiasi hiki Kiongozi wao wa Kiroho. Anawakilisha maslahi ya nani ktka hili, Mafisadi ambao Askofu amekuwa akiwakemea auni Siasa chafu?. He is just fighting a loosing war to tarnish the image of our spiritial leader. Kanisa limekuwepo jana na leo na kesho lipo tu na linakua. Hivi Mh. Mbowe anayekaa viti vya mbele pale KKKT St Joseph kama alivukuwa Mareh baba yake Aikaeli ameshindwaje kuliona hili taka linalopikwa na Mbungi wake? Same thing! We stand unmoved by your mud slinging campaign, We love our Bishop![/QUOTE]
Tatizo siyo kanisa kwani Malasusa ni binadamu kwama binadamu wengine na anamapungufu yake kibinadamu.Makosa ya Malasusa ni yake mwenyewe na siyo ya kanisa. Malasusa kama anachafuliwa anahaki ya kwenda mahakamani na mahakama ndicho chombo pekee kitakacho amua kama kunaukweli wa habari hii au hakuna ukweli.
 
mkuu alipigiwa sim alipoambiwa ni mwanahalisi akakata sim, alipotumiwa sms hakujib, ulitaka habari isitoke?

sema hoja ya msingi ingekuwa nw dayz mwanahalisi wanaandika habar za udaku?
Alijuaje kuwa mwanahalisi wana habariyakinifu hadi Malasusa akatae kufanya life intershow ???
 
Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!

Maaskofu wa Kilutheri wanaoa kama kawaida. Point yako inawahusu wakatoliki peke yao na hii mada sio ya askofu wa kikatoliki.
 
Unampigia simu Askofu?? Ofisi zake hujui zilipo?? Hawa ndio wanahabari uchwara ndio maana vigazeti vyao vinafungiwa tu
huu ulimwengu wa kisasa. kwanini apokee alafu akate anapo sikia mpigaji ni mwandishi alikuwa anaogopa nini baba askofu
 
Wajemeni hebu tupieni kapicha ka huyo 'mmama' aliesababisha hadi askofu wangu akavua joho na kula uroda
 
Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
.......au waolewe kama yule wakule Marekani !
Ndoa ya mchaga.jpg
 
kanisa ni ww na ww kiongozi wa dini hana tofauti na mtu mwingine yeyote ukitoa cheo alichonacho...km amefanya uzandiki ni kheri kuanikwa hadharani coz hatupo hapa kutetea matendo maovu eti kisa ni kiongozi wa dini.
 
LOWASA, Malasusa, Uaskofu mkuu KKKT, Laizer

connect dots
 
Mbona habari ni ya upande mmoja? Nimeiita habari hii udaku kwakuwa sioni sehemu mwandishi alipofanya mahojiano na Askofu Malasusa
Kipofu haoni. Km hakupokea simu na sms aliyotumiwa hakujibu ulitaka mwandishi akafanye mahojiano na mke wa malasusa?
 
Nani amekwambia Askofu Malasusa hana mke?
Hizi porojo za Mwanahalisi zisikufanye utende dhambi! Hata hivyo nimeshaona kuna chembechembe za udini zinapandikizwa hapa ili kuonyesha dini fulani haifai! Ukichukulia ukweli kuwa mmiliki wa Mwanahalisi anatokea ile "dini ya haki!"
Huu ndio udini wenyewe. Badala ya kuongea juu ya ama upotofu wa habari unaingiza na dini zingine ili mabishano yaanze halafu mwishowe watu watukanane then ufurahi. Acha udini kijana.
 
..MSETO…

Huyu Sayed Kubeneasalam hawajui waliompigia kura mpaka anamchafua kiasi hiki Kiongozi wao wa Kiroho. Anawakilisha maslahi ya nani ktka hili, Mafisadi ambao Askofu amekuwa akiwakemea auni Siasa chafu?. He is just fighting a loosing war to tarnish the image of our spiritial leader. Kanisa limekuwepo jana na leo na kesho lipo tu na linakua. Hivi Mh. Mbowe anayekaa viti vya mbele pale KKKT St Joseph kama alivukuwa Mareh baba yake Aikaeli ameshindwaje kuliona hili taka linalopikwa na Mbungi wake? Same thing! We stand unmoved by your mud slinging campaign, We love our Bishop![/QUOTE]
KWA HIYO KAMA ULIMPA KURA YAKO NDO ASIANDIKE MACHAFUN YANAYOFANYWA NA VIONGOZI WETU ...........? KISA KURA......!!!
 
Mmh ndio mikosi mingi Tz Sasa aibu gani hii?
 
Zama Zimebadilika, sina Imani Tena Na mwana Halisi. Kuna mkongwe mmoja alishanionya " kubenea ni mwandishi mzuri ila tatizo lake anakubali kutumiwa ".
I have proved that with time
 
Back
Top Bottom