Jimmywatanzania
JF-Expert Member
- May 8, 2015
- 514
- 274
Nani kakwambia maaskofu wa kkkt hawaoi.au una kariri?katoliki pekee ndiyo hawaoiAma kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakwambia maaskofu wa kkkt hawaoi.au una kariri?katoliki pekee ndiyo hawaoiAma kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
Mkuu tuwape pole sana hao maaskofu wenye haiba kama ya Malasusa, wanajifanya wanyenyekevu kumbe ni moto wa kuotea mbali!
Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
..MSETO…
..MSETO…
Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
Acha up.imbi usijitetee kisoro hivyo. Una laana si bure weweMkuu,mimi hata kanisani nimeshaacha kwenda Leo mwaka wa 12,makanisa yamegeuka kuwa maskani ya Shetani, kila uchafu upo makanisani, misikiti nayo imegeuka kuwa hifadhi ya magaidi na eneo la kujifunza Kungfu na karate, dunia hii ni vurugu kila sehemu, mimi huwa nasali nyumbani peke yangu.
Huyu Sayed Kubeneasalam hawajui waliompigia kura mpaka anamchafua kiasi hiki Kiongozi wao wa Kiroho. Anawakilisha maslahi ya nani ktka hili, Mafisadi ambao Askofu amekuwa akiwakemea auni Siasa chafu?. He is just fighting a loosing war to tarnish the image of our spiritial leader. Kanisa limekuwepo jana na leo na kesho lipo tu na linakua. Hivi Mh. Mbowe anayekaa viti vya mbele pale KKKT St Joseph kama alivukuwa Mareh baba yake Aikaeli ameshindwaje kuliona hili taka linalopikwa na Mbungi wake? Same thing! We stand unmoved by your mud slinging campaign, We love our Bishop!
Chadema imeshageuzwa pango la WAHUNI sishangai....
uyu jamaa apiganie watoto wake,uyo mwanamke amuachie askofu.
Maaskofu wote wa makanisa ya kilutheri wanaoa.Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
..MSETO…