Sakata la Askofu Alex Malasusa lachukua Sura Mpya, Watoto Watoroshwa

Sakata la Askofu Alex Malasusa lachukua Sura Mpya, Watoto Watoroshwa

Halafu kutafuna kondoo ni kutamu jamani acheni tuu!ni sawa na kutafuna mwanafunzi wako.Utii full debe
 
Mkuu tuwape pole sana hao maaskofu wenye haiba kama ya Malasusa, wanajifanya wanyenyekevu kumbe ni moto wa kuotea mbali!

Mkuu,mimi hata kanisani nimeshaacha kwenda Leo mwaka wa 12,makanisa yamegeuka kuwa maskani ya Shetani, kila uchafu upo makanisani, misikiti nayo imegeuka kuwa hifadhi ya magaidi na eneo la kujifunza Kungfu na karate, dunia hii ni vurugu kila sehemu, mimi huwa nasali nyumbani peke yangu.
 
..MSETO…

Huyu Sayed Kubeneasalam hawajui waliompigia kura mpaka anamchafua kiasi hiki Kiongozi wao wa Kiroho. Anawakilisha maslahi ya nani ktka hili, Mafisadi ambao Askofu amekuwa akiwakemea auni Siasa chafu?. He is just fighting a loosing war to tarnish the image of our spiritial leader. Kanisa limekuwepo jana na leo na kesho lipo tu na linakua. Hivi Mh. Mbowe anayekaa viti vya mbele pale KKKT St Joseph kama alivukuwa Mareh baba yake Aikaeli ameshindwaje kuliona hili taka linalopikwa na Mbungi wake? Same thing! We stand unmoved by your mud slinging campaign, We love our Bishop![/QUOTE]
Wewe ni juha namba moja...hujielewi kabisa...
 
Duh naona KUBWA jinga kubenea sasa amewashindwa kuwachafua wapinzani wake,sasa aemegeukia viongozi wa dini..kwa taaarifa yake viongozi wa dini ni levle nyingine,yeye aendelee kukitumia vibaya kijarida chake aone kitakachofuata.
 
..MSETO…

Huyu Sayed Kubeneasalam hawajui waliompigia kura mpaka anamchafua kiasi hiki Kiongozi wao wa Kiroho. Anawakilisha maslahi ya nani ktka hili, Mafisadi ambao Askofu amekuwa akiwakemea auni Siasa chafu?. He is just fighting a loosing war to tarnish the image of our spiritial leader. Kanisa limekuwepo jana na leo na kesho lipo tu na linakua. Hivi Mh. Mbowe anayekaa viti vya mbele pale KKKT St Joseph kama alivukuwa Mareh baba yake Aikaeli ameshindwaje kuliona hili taka linalopikwa na Mbungi wake? Same thing! We stand unmoved by your mud slinging campaign, We love our Bishop![/QUOTE]

hili suala sio la kisiasa ni suala la mtu amedhulumiwa mke wake ukweli lazima uwekwe hadharani
 
WATOTO WAPIMWE DNA,huenda ni wa Malasusa!
Tatizo la maaskofu na wachungaji wengi kutaka kazi za kiroho huku tamaa ya kimwili imekula sehemu kubwa ya bongo zao
 
Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!

Mkuu, hawa si huwa wanaruhusiwa kuoa? Ni Wakatoliki tu tulioweka utaratibu wa kutokuwa na mke/mme kwa mapadre, mabruda na masista.
 
Duh sio mchezo duh ma askofu siku hizi wamekuwa wengi kama degree na masters mtaani,Ndio maana kashfa za kipuuzi haziishi kwasababu hiyo.Anajiita askofu tangu lini askofu akawa mzinzi jamani.
 
malasusa inaonekana ni mzinzi sana atakuwa na pepo la ngono
 
Mkuu mleta mada unayejii ta MwanaHabari huru wa CHADEMA, Uhuru wako uko wapi. Siku hizi hutangazi tena Habari za Chadema umehamia kwenye udaku wa kuwachafua maaskofu mitandaoni?

Mbowe hakupi tena Posho???


Sasa napata HOJA kwanini gazeti la Mwana Halisi linapaswa kufutwa kabisa na siyo kufungiwa kama ilivyokuwa awali.
 
Yote yanawezekana askofu nae ni binadam anaweza kukosea vile vile
 
Mkuu,mimi hata kanisani nimeshaacha kwenda Leo mwaka wa 12,makanisa yamegeuka kuwa maskani ya Shetani, kila uchafu upo makanisani, misikiti nayo imegeuka kuwa hifadhi ya magaidi na eneo la kujifunza Kungfu na karate, dunia hii ni vurugu kila sehemu, mimi huwa nasali nyumbani peke yangu.
Acha up.imbi usijitetee kisoro hivyo. Una laana si bure wewe
 
Huyu Sayed Kubeneasalam hawajui waliompigia kura mpaka anamchafua kiasi hiki Kiongozi wao wa Kiroho. Anawakilisha maslahi ya nani ktka hili, Mafisadi ambao Askofu amekuwa akiwakemea auni Siasa chafu?. He is just fighting a loosing war to tarnish the image of our spiritial leader. Kanisa limekuwepo jana na leo na kesho lipo tu na linakua. Hivi Mh. Mbowe anayekaa viti vya mbele pale KKKT St Joseph kama alivukuwa Mareh baba yake Aikaeli ameshindwaje kuliona hili taka linalopikwa na Mbungi wake? Same thing! We stand unmoved by your mud slinging campaign, We love our Bishop!


Chadema imeshageuzwa pango la WAHUNI sishangai....
 
Ama kweli binadamu huwezi kwenda kinyume na maumbile, maaskofu oeni au kama vipi mhasiwe basi!
Maaskofu wote wa makanisa ya kilutheri wanaoa.
Malasusa ni miongoni mwa Maaskofu hao hivyo ana mke na watoto.
Watumishi wa mungu kutoka kanisa takatifu katoliki ndo wasioruhusiwa kuoa.
 
Mbowe ndiye anamtuma Kubenea amchafue Askofu Dkt Alex Gehaz Malasusa Kupitia Mwana Halisi?
 
..MSETO…

Huyu Sayed Kubeneasalam hawajui waliompigia kura mpaka anamchafua kiasi hiki Kiongozi wao wa Kiroho. Anawakilisha maslahi ya nani ktka hili, Mafisadi ambao Askofu amekuwa akiwakemea auni Siasa chafu?. He is just fighting a loosing war to tarnish the image of our spiritial leader. Kanisa limekuwepo jana na leo na kesho lipo tu na linakua. Hivi Mh. Mbowe anayekaa viti vya mbele pale KKKT St Joseph kama alivukuwa Mareh baba yake Aikaeli ameshindwaje kuliona hili taka linalopikwa na Mbungi wake? Same thing! We stand unmoved by your mud slinging campaign, We love our Bishop![/QUOTE]
Anachafuliwa?una uhakika??wee ndie msemaji wake?na kwa nini askofu asifanye hivyo wakati ni binaadamu kama wewe?
 
Back
Top Bottom