Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
www.jamiiforums.com
Hapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
Alikuwa hawapendi kabisa mawakala wa mabeberuAya ya mwisho imejielekeza:
"Pamoja na ubinadamu wako nabii jiwe upumzike Kwa amani."
Kwani wewe ni malaika?
Alikuwa hawapendi kabisa mawakala wa mabeberu
Sir tunamkumbuka kwa unyama wake pia wa kuua watu wasio na hatiaMtanikumbuka kwa mema; alisema mwamba mmoja akaenda zake
Rip JPM
Jamaa alitoa go ahead ya kumchapa risasi Tundu Lissu mchana kweupe.
Hapana aisee, Ishu ya Bandari ya Dar ni tofauti na ya Bagamoyo.
Kwa bandari ya Bagamoyo chuma alichemsha, ile bandari tunaihitaji!
R.I.P nchi itarudi kwenye msingi wake, Dkt Magufuli ilikuwa mbegu, sharti la mbegu lazima ife ili ichepue na kutoa matunda. Nyie wenye akili za kijinga kamwe hamtoweza kabisa kuihujumu hii nchi, mtachezewa game na mlivyo na akili ndogo hamtajua and you will be dying slowly one by one na hii nchi itaendelea kwa manufaa ya watanzania. Never never again nchi kuibiwa kizembe! Mark my words nothing will go unnoticed!Hapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
Ingia darasani Cheti Feki kitaendelea kukutesa sana!Hapana. Huyu alikuwa na roho mbaya ya kiuuaji, uporaji na kupiga watu risasi. Never and never again
Huyo mtu wenu alibobea Kwa uongo Ili avute attention ya wajinga kama nyie..Mnyonge mnyongeni haki yake apewe.
View attachment 2648522
"Pamoja na ubinadamu wako nabii jiwe upumzike Kwa amani."