Sakata la Bandari: Je, ni serikali ilimtafuta mwekezaji au mwekezaji aliitafuta serikali ya Tanzania?

Sakata la Bandari: Je, ni serikali ilimtafuta mwekezaji au mwekezaji aliitafuta serikali ya Tanzania?

Hawa CCM hadi wanaondoka madarakani watauza kilakitu cha nchii, pamoja bandari zetu kutoa huduma kwa bei gharama kubwa charges nyingi ukilinganisha na bandari nyingine Duniani bado tunaambia zimeishindwa kujiendesha wale wanaiba ndio hawa wauzaji Kisha wanatuambia tumeshindwa kuziendasha na mimi wananiweka kwenye mamuzi yao.
Inasikitisha sana
 
Back
Top Bottom