Sakata la Bandari limezika Nyota ya Rais Samia kabisa!

Sakata la Bandari limezika Nyota ya Rais Samia kabisa!

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
1,770
Reaction score
5,423
Wanawake wengi walikuwa ukiongea nao walikuwa hawampendi kabisa huyu Mama yetu! Nilikuwa najiuliza why?

Lakini sasa Mama ametutibua hata na sisi wagawa urithi (Wanaume)!

Yaani anataka watoto, Wajukuu na vitukuu wetu wazaliwe wakute wao tayari ni manamba kwenye Nchi yao!

Wananchi tusikubali kabisa!
Mama tulikupenda lakini kwa hili HAPANA!

Huwezi Mama hata kujiuliza kwamba mbona mambo madogo madogo kama kupokea Ndege mnawaalika Wananchi lakini hili la Bandari zetu kimya kimya ughaibuni ukasaini mikataba!

Kwa hili kamwe hatutakusamehe! Kwenye hicho kiti HUTOSHI na UMEPWAYA kabisa!

Miaka 2 iliyobaki naona ni mingi sana kwako!

CCM Kumejaa wachumia tumbo ambao wamekuwa vipofu na misukule kabisa!
Kina Wassira (Mchumia tumbo) wanakudanganya, wasikilize Butiku na Warioba unaweza ukarekebisha kidogo!

Tunasubiri hukumu ya kesi yetu Mahakama Kuu tarehe 7/8/2023!
 
Wanawake wengi walikuwa ukiongea nao walikuwa hawampendi kabisa huyu Mama yetu! Nilikuwa najiuliza why?!

Lakini sasa Mama ametutibua hata na sisi wagawa urithi( Wanaume)!

Yaani anataka watoto, Wajukuu na vitukuu wetu wazaliwe wakute wao tayari ni manamba kwenye Nchi yao!

Wananchi tusikubali kabisa!
Mama tulikupenda lakini kwa hili HAPANA!

Huwezi Mama hata kujiuliza kwamba mbona mambo madogo madogo kama kupokea Ndege mnawaalika Wananchi lakini hili la Bandari zetu kimya kimya ughaibuni ukasaini mikataba!

Kwa hili kamwe hatutakusamehe! Kwenye hicho kiti HUTOSHI na UMEPWAYA kabisa!
Miaka 2 iliyobaki naona ni mingi sana kwako!

CCM Kumejaa wachumia tumbo ambao wamekuwa vipofu na misukule kabisa!
Kina Wassira ( Mchumia tumbo)wanakudanganya, wasikilize Butiku na Warioba unaweza ukarekebisha kidogo!

Tunasubiri hukumu ya kesi yetu Mahakama Kuu tarehe 7/8/2023!
huyu anatakiwa aondoke 2025 akatupwe huko zanzibar tusimwone kabisa.akaishi kwao atuachie tanganyika yetu.
 
Wanawake wengi walikuwa ukiongea nao walikuwa hawampendi kabisa huyu Mama yetu! Nilikuwa najiuliza why?

Lakini sasa Mama ametutibua hata na sisi wagawa urithi (Wanaume)!

Yaani anataka watoto, Wajukuu na vitukuu wetu wazaliwe wakute wao tayari ni manamba kwenye Nchi yao!

Wananchi tusikubali kabisa!
Mama tulikupenda lakini kwa hili HAPANA!

Huwezi Mama hata kujiuliza kwamba mbona mambo madogo madogo kama kupokea Ndege mnawaalika Wananchi lakini hili la Bandari zetu kimya kimya ughaibuni ukasaini mikataba!

Kwa hili kamwe hatutakusamehe! Kwenye hicho kiti HUTOSHI na UMEPWAYA kabisa!

Miaka 2 iliyobaki naona ni mingi sana kwako!

CCM Kumejaa wachumia tumbo ambao wamekuwa vipofu na misukule kabisa!
Kina Wassira (Mchumia tumbo) wanakudanganya, wasikilize Butiku na Warioba unaweza ukarekebisha kidogo!

Tunasubiri hukumu ya kesi yetu Mahakama Kuu tarehe 7/8/2023!
 
Imezikwa kabisa nyota yake...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Imezikwa kabisa nyota yake...

Hoja kuu zinazohitaji majibu ni hizi hapa

1.) Tofauti ya ‘Makubaliano’ na ‘Mkataba’ ni ipi hasa kiasi mseme ule sio mkataba, kwamba ni makubaliano tu ya awali, na je Mkataba huo (makubaliano hayo) ni wa miaka mingapi? (UKOMO)

2.) Ni kwa faida ya nani kwamba DPW anapewa haki ya bandari zote za Tanganyika, kwamba hakuna mwekezaji mwingine yeyote anaweza kuja kufanya uwekezaji kwenye bandari za Tanganyika bila udalali wa DPW, je, ukiritimba huu ni kwa faida ya nani?

3.) Ni kwa faida ya nani, DPW apewe haki ya kudai kipande chochote cha ardhi yenye ukubwa wowote anaoutaka yeye ndani ya ‘Territory’ ya Tanganyika na sisi tumpe ardhi hiyo kwa kuondoa watu na miradi yote ndani ya eneo alilolitaka, na tumpatie bire kabisa kwa gharama zetu sisi, hata fidia tulipe sisi ili kuondoa watu kumpisha, huu uwendawazimu ni kwa faida ya nani?

4.) Ni kwa faida ya nani, kwamba sisi tuliowekeza matrillion ya mikopo kuendeleza bandari na tukiwa kama wamiliki wa rasimali ya bandari, tupate 0% ya faida itakayotokana na uendeshaji wa huduma za kibandari, yaani ni kana kwamba yeye kawekeza 100% na hivyo achukue 100%? Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

5.) Ni kwa faida ya nani, kwamba mkataba unahusisha bandari za Tanganyika tu na sio za Zanzibar, ilihali bandari ni suala la Muungano? Je, Zanzibar haitaki kunufaika au yenyewe haitaki matunda ya mkataba huu? Ukizingatia walioongia huu mkataba wote ni waZanzibari, kuanzia Samiah Suluhu Hassan, Makame Mbarawah, Hamza Johari na wenzao, kwamba hawataki Zanzibar yao ipate matunda mazuri ya mkataba huu?!

6.) Ni kwa faida ya nani kusema kwamba, hata DPW akavunja mkataba na kukiuka kanuni na taratibu zote zinazotambulika kimataifa, bado hatutaweza kuvunja , kuusema vibaya au kujitoa kwenye mkataba, milele! Uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?

7.) Ni kwa faida ya nani kwamba pamoja na kuwa DPW watachukua 100% ya faida, bado tena faida hiyo watapewa Msamaha wa kodi kwa 100%, yaani hata hicho wanachovuna nacho hatuchukui kodi, na wakti huo huo tunakamuliwa kodi za miamala, uwendawazimu huu ni kwa faida ya nani?
 
Nafasi ya kurekebisha kasoro chache za kwenye mkataba bado anayo.

Honestly speaking uwekezaji pale bandarini ni muhimu. Otherwise SGR itaishia kuwa kama TAZARA.

SSH asipuuze maoni ya wananchi, akae na DPW warekebishe yale mapungufu na kuwatoa hofu wananchi. Kisha kazi iendelee.
 
Wanawake wengi walikuwa ukiongea nao walikuwa hawampendi kabisa huyu Mama yetu! Nilikuwa najiuliza why?

Lakini sasa Mama ametutibua hata na sisi wagawa urithi (Wanaume)!

Yaani anataka watoto, Wajukuu na vitukuu wetu wazaliwe wakute wao tayari ni manamba kwenye Nchi yao!

Wananchi tusikubali kabisa!
Mama tulikupenda lakini kwa hili HAPANA!

Huwezi Mama hata kujiuliza kwamba mbona mambo madogo madogo kama kupokea Ndege mnawaalika Wananchi lakini hili la Bandari zetu kimya kimya ughaibuni ukasaini mikataba!

Kwa hili kamwe hatutakusamehe! Kwenye hicho kiti HUTOSHI na UMEPWAYA kabisa!

Miaka 2 iliyobaki naona ni mingi sana kwako!

CCM Kumejaa wachumia tumbo ambao wamekuwa vipofu na misukule kabisa!
Kina Wassira (Mchumia tumbo) wanakudanganya, wasikilize Butiku na Warioba unaweza ukarekebisha kidogo!

Tunasubiri hukumu ya kesi yetu Mahakama Kuu tarehe 7/8/2023!
Uongozi ni karama
 
JF wewe FaizaFoxy, siyo tu ni mwenyeji, michango yako kwenye bandiko, zimekuwa na uzito wenye heshima kubwa. Lakini, lakini, lakini hili la bandari umepooza na jibu unalo mwenyewe. Jibu unalo mwenyewe kwani hujibu hoja kabisa.

Usiku mwema
 
JF wewe FaizaFoxy, siyo tu ni mwenyeji, michango yako kwenye bandiko, zimekuwa na uzito wenye heshima kubwa. Lakini, lakini, lakini hili la bandari umepooza na jibu unalo mwenyewe. Jibu unalo mwenyewe kwani hujibu hoja kabisa.

Usiku mwema
yeye anachoangalia wanunuzi ni waislamu ndio maana anatetea. hajali unyonyaji taifa utakalo pata.
 
Nafasi ya kurekebisha kasoro chache za kwenye mkataba bado anayo.

Honestly speaking uwekezaji pale bandarini ni muhimu. Otherwise SGR itaishia kuwa kama TAZARA.

SSH asipuuze maoni ya wananchi, akae na DPW warekebishe yale mapungufu na kuwatoa hofu wananchi. Kisha kazi iendelee.
trueee
 
JF wewe FaizaFoxy, siyo tu ni mwenyeji, michango yako kwenye bandiko, zimekuwa na uzito wenye heshima kubwa. Lakini, lakini, lakini hili la bandari umepooza na jibu unalo mwenyewe. Jibu unalo mwenyewe kwani hujibu hoja kabisa.

Usiku mwema
Faiza anatenda busara manake kujibizana na wajinga ni kujishishia eshima pia
 
Faiza anatenda busara manake kujibizana na wajinga ni kujishishia eshima pia
Hongera kwa kutambua na kuamini busara yake hadi unamjibia. Wewe, je, hiyo ndio busara yako?
 
Yaani anataka watoto, Wajukuu na vitukuu wetu wazaliwe wakute wao tayari ni manamba kwenye Nchi yao!

Wananchi tusikubali kabisa!
Mama tulikupenda lakini kwa hili HAPANA!
Urithi mnauona kwenye bandari tu?

Mbona madini, gesi na mapori ya wanyama yamezwa hamkupiga kelele kiasi hiki?

Tukisema mna maslahi binafsi pale bandarini mnabisha!
 
Kwa hili la bandari amejiharibia big time.
Walichemsha kwenye increment ya watumishi baadaye wakabadilisha Gea angani lakini damage ilishafanyika.
CCM watazunguka mikoa yote kujaribu kuutetea mkataba mbovu lakini hata wengine wao wameanza kuona work done =zero.
 
Back
Top Bottom