Kuna uhusiano gani sgr na bandari wakati sgr inaishia ndani tena sehemu moja tuNafasi ya kurekebisha kasoro chache za kwenye mkataba bado anayo.
Honestly speaking uwekezaji pale bandarini ni muhimu. Otherwise SGR itaishia kuwa kama TAZARA.
SSH asipuuze maoni ya wananchi, akae na DPW warekebishe yale mapungufu na kuwatoa hofu wananchi. Kisha kazi iendelee.
Ndio hatutaki sasa huko kwingine kuone wewe sisi tumeona bandariUrithi mnauona kwenye bandari tu?
Mbona madini, gesi na mapori ya wanyama yamezwa hamkupiga kelele kiasi hiki?
Tukisema mna maslahi binafsi pale bandarini mnabisha!
Mimi ni CCM lakini nasema kabisa kwamba wanaoielewa CCM kwenye mkataba wa Bandari ni vilaza na misukule ndo maana hata Kinana amegundua hilo ndo maana sasa hivi anapigania mambo ya kipuuzi kama mishikaki kwa Bodaboda!Kwa hili la bandari amejiharibia big time.
Walichemsha kwenye increment ya watumishi baadaye wakabadilisha Gea angani lakini damage ilishafanyika.
CCM watazunguka mikoa yote kujaribu kuutetea mkataba mbovu lakini hata wengine wao wameanza kuona work done =zero.
Ametukosea sana na mkata huu wa kimangungo bado anayo nafac ya kuufutilia mbaliWanawake wengi walikuwa ukiongea nao walikuwa hawampendi kabisa huyu Mama yetu! Nilikuwa najiuliza why?
Lakini sasa Mama ametutibua hata na sisi wagawa urithi (Wanaume)!
Yaani anataka watoto, Wajukuu na vitukuu wetu wazaliwe wakute wao tayari ni manamba kwenye Nchi yao!
Wananchi tusikubali kabisa!
Mama tulikupenda lakini kwa hili HAPANA!
Huwezi Mama hata kujiuliza kwamba mbona mambo madogo madogo kama kupokea Ndege mnawaalika Wananchi lakini hili la Bandari zetu kimya kimya ughaibuni ukasaini mikataba!
Kwa hili kamwe hatutakusamehe! Kwenye hicho kiti HUTOSHI na UMEPWAYA kabisa!
Miaka 2 iliyobaki naona ni mingi sana kwako!
CCM Kumejaa wachumia tumbo ambao wamekuwa vipofu na misukule kabisa!
Kina Wassira (Mchumia tumbo) wanakudanganya, wasikilize Butiku na Warioba unaweza ukarekebisha kidogo!
Tunasubiri hukumu ya kesi yetu Mahakama Kuu tarehe 7/8/2023!
Basi ndiyo mkubali kukosolewa, siyo mkiambiwa ukweli mnatoa povuNdio hatutaki sasa huko kwingine kuone wewe sisi tumeona bandari
Kinana 78, angepumzishwa ili vijana wenye mawazo chanya waongoze chama.Mimi ni CCM lakini nasema kabisa kwamba wanaoielewa CCM kwenye mkataba wa Bandari ni vilaza na misukule ndo maana hata Kinana amegundua hilo ndo maana sasa hivi anapigania mambo ya kipuuzi kama mishikaki kwa Bodaboda!
Kinana wambie Watanzania kwanini Samia ametoa Bandari zetu bila tender na Kwa mkataba wa Kimangungo kwa Waarabu!
Kinana usifikiri zile zama ulizozunguka na Nape Nchi nzima ndo hizi!
Uhakika mkuu. Mwarabu ashatupia TShs 500bn na kazi ishaanza.Sina Ushahidi Lakini 80% Shughuli Hizo zimeanza,
Tumepigwa na kitu kizito mkuu!Aisee kumbe duuh!