Sakata la Bandari: Spika Tulia atoa ufafanuzi

I think it s another Richmond,

Kama si plan ya sababisha tatizo solve tatizo basi its total another Richmond, na ule msemo wa yuleee jamaa unatimia, japo sikutarajia iwe mapema hivi..

Kama kwa miaka 2 pesa zote za kigeni hatuna its means our leaders wana mesup nyingi za wazi, na sasa tu overcome hilo bonde wanakuja na second Richmond....

B
 

Hatuhitaji ufafanuzi wenu,tunachojua mnaiuza nchi kwa waarabu. Ee Mungu Mwenyezi ikupendeze utufute machozi haya. Tupo tayari kuomboleza.
 
Sana tena.
. Wewe ukimuamini usimuamini ndiye Spika wa bunge kwa sasa na ametowa ufafanuzi.

Mwenye wivu ajinyonge.
Faiza, siku hizi hata Kiswahili kinakupiga chenga.

Siyo, "ametowa"
Sema, "ametoa"
 
Hatuhitaji ufafanuzi wenu,tunachojua mnaiuza nchi kwa waarabu. Ee Mungu Mwenyezi ikupendeze utufute machozi haya. Tupo tayari kuomboleza.
Nchi imekwishauzwa, msikilize Mwanasheria kwa umakini

 
Nchi imekwishauzwa, msikilize Mwanasheria kwa umakini

Aseee unaweza kutoa machozi, hiv kweli tuna uongozi au tunaongozwa na wanao ongozwa? Idara ya ulinzi na usalama wa nchi yetu mpo wapi? Nchi inaingia mkataba wa bogaz kama wa ule mto eti maji yote yao, nasi tunakubali,

kama madam president hawajamset kwenye plan yao basi wanampango wa kumchafua mpka akose confidence ya kusimama mbele ya watz.

Anayo nafasi ya kusituka.

Pili kama si ule usemi wa tengeneza tatizo tatua tatizo, basi hili will be the biggest contract fullish ness ever in around the world, vizazi vitakuja kujutia kuwa ktk nchi ambayo kila kitu kimeuzwa.

Hili jambo lingetukia mwaka 1980 haingekuwa shida maana wasomi na teknologia ilikuwa down, lakini 2023? Kila kitu kipo waziii? Hapana hapna hapa na!

Msijizime data.
 
Tupe hiyo taarifa kama unayo. Kama huna unabaki kuwa ni mpotoshaji tu.
Ni kitu gani kilikufanya juzi useme Mwigulu ni waziri wa fedha mbovu kuwahi kutokea kwanini hukubali stratergy zake kwa kigezo kile kile cha kuwa yeye ndiye sasa ni waziri wa fedha kama ambavyo unataka kutuaminisha hapa kuwa kwa kuwa tulia ni speaker basi kila asemacjo ndio ukweli?
 
Hio bandari na jamaa wakome,na afadhali wapewe watu/kampuni yenye tija na nchi ipate mapato inayostahili, na sio kuendelea na wizi tu miaka yote pasipo tija yoyote.
Hakuna anayepinga uwekezaji bali vipengrle vya mkataba haiwezekani kisa wazawa walikuwa wanaiba basi ukaitupe tu kwa wengine wajichotee kabisa na hata wakiiba kuliko wazawa ushinde vunja nao mkataba.
Kilichowatisha watu ni vipengele vya mkataba kama story za kuibinafsisha bandari mbona zimeanza toka mwaka jana na hukiona watu wakipiga kelele mpaka mkataba ulipoonekana
 
Sitaki kukuaminisha chochote, hapa kika mtu na fikra zake, kitachotuweka huru ni ukweli tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…