Sakata la Bandari: Spika Tulia atoa ufafanuzi

Lissu amekuwa makini kutoropoka.

Mbowe karopoka
 
Weka mkataba kamili wacha kupotosha.
 
Spika anasema wacheni kupotosha:

Ujumbe umeeleweka, tatizo baadhi ya waandishi wanaendekeza ukanjanja wakiitumia demokrasia pana ya awamu ya sasa.

Milango ipo wazi kwa anayetaka kupewa taarifa ya kina ya suala husika halafu bado chombo cha habari kinakwenda kupotosha umma. Onyo la mwisho lina hoja inayoeleweka.
 
Yeye ndo anapotosha na kupotoka. Huyu binti ni miungoni mwa wasomi ambao elimu yao imekuwa laana kwa Taifa letu.
Kawashika pazuri.

Weka huo mkataba kamili tuuone hapa kama u mkweli.
 
Spika anasema wacheni kupotosha:


Wewe Bibi ndo unapotosha vitu.

hii inaonyesha namna gani wewe ni mjinga na mchumia tumbo tu kuliko uzalendo.

wewe na huyo bibi rango ni wajinga tu
 
Chukua Bi ushungu piga vibao, chukua mbalawa piga viboko 10, afu malizia kwa FaizaFoxy chapa mboko 40. Tunachukua Nchi yetu kubafu kabisa.
 
Wewe Bibi ndo unapotosha vitu.

hii inaonyesha namna gani wewe ni mjinga na mchumia tumbo tu kuliko uzalendo.

wewe na huyo bibi rango ni wajinga tu
Huo mkataba uko wapi?
 
So we should just take her word for it?

Sababu kasema neno lake ndio sheria / Hakuna uwezekano kwamba yeye ndio mpotoshaji ?
 
Spika anasema wacheni kupotosha:

Ufafanuzi upi? Atuambie article 8 ukiisoma pamoja na article 23(4) ya Azimio lao hilo ina imply nini?

Msitupoteze hatudanganyiki...Kuigawa ardhi yetu huku mkiweka clouses za kutovunjika mkataba ni kupoka uhuru ambao tuliupigania...Acheni hizo!
 
Tulia ni Tippu tip wa zama zetu kuwaswaga Watanganyika na kuwapeleka utumwani Falme za Kiarabu

View attachment 2649943
Muhammad Bin Said Al Murjabi lala unono mzee lala unono umeacha Legacy.
Falme za kiarabu hawakuwepo Tanganyika kipindi Cha utumwa,tipu tip ana damu ya kinyamwezi,babu yako aliyekua mkware aliuzwa kwa tippu tip Wana Kijiji,akafanye umalaya utumwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…