Sakata la Bandari: Spika Tulia atoa ufafanuzi

Sana tena.
. Wewe ukimuamini usimuamini ndiye Spika wa bunge kwa sasa na ametowa ufafanuzi.

Mwenye wivu ajinyonge.

1. Kwanini DP imeteuliwa bila mchakato wa wazi wenye ushindani?

2. Je, DP ndio wanachukua nafasi ya TICTS?

3. Kwanini mkataba wa DP unapitia bungeni wakati wa TICTS haukupitia bungeni?

4. Je, mkataba wa DP ni wa muda gani?
 
Reactions: Ame
Hio bandari na jamaa wakome,na afadhali wapewe watu/kampuni yenye tija na nchi ipate mapato inayostahili, na sio kuendelea na wizi tu miaka yote pasipo tija yoyote.
 
Itapendeza Kama wawakilishi wetu,watapendekeza hili suala liletwe kwa wapiga kura kwa majadiliano zaidi au wabunge wetu,warudi kwenye majimbo yao kutoa elimu na ufafanuzi,ña sisi tutoe maoni yetu. Kuhusu hoja ya kuwa ,hili suala siyo geni au mara ya kwanza,ni vema wawakilishi wetu wakatuambia hao walio tangulia au wanao endelea kutoa huduma bandarini imepata faida au gawio kiasi gani kwa kipindi ambacho walikabidhiwa. Kama wawakilishi wetu watang'ang'ani kuridhiria mswada huo,Ni vema masuala ya tax holiday yakaangaliwa,vinginevyo mwekezaji atafanya kazi akiona kipindi cha kupata tax holiday kinakaribia kumaliza, biashara anahamishia kwenye kampuni nyingine au anauza.
 
The Guardian na Nipashe wanajua walichokichapisha.. tofauti ya spika na vyombo hivyo ni kuwahi kuchapisha kitakachotokea.
 
Nimuamini huyo spika anayewang'ang'ania covid 19 wawe Bungeni kinyume cha sheria!!?--- nimuamini Spika mvunja sheria??
Mtu asiaminike kwa lolote/yoyote mengine kwa kuwa tu hukumuamini kwa jambo 1 lilokuchusha?!!! Duuh [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]
 
Mtu asiaminike kwa lolote/yoyote mengine kwa kuwa tu hukumuamini kwa jambo 1 lilokuchusha?!!! Duuh [emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787]


Jambo hilo linatosha kumjua huyo spika ni CCM stooge.--- haaminiki tena.
 
Sasa useme, mkataba huo una tatizo. Lipi?
Rejea Ibara (Articles) na vifungu nilivyonukuu katika wasilisho langu la awali na maelezo yake
 
Rejea Ibara (Articles) na vifungu nilivyonukuu katika wasilisho langu la awali na maelezo yake
Sijaona tatizo baada ysa kupitia vifubgu vyote.


Ninachokiona ni unoko tu.
 
Yaani serikali ndiyo inalisimamia Bunge,!
 
Sijaona tatizo baada ysa kupitia vifubgu vyote.


Ninachokiona ni unoko tu.

Ningekuelewa kama ungejadili huo unoko.

Nasita kutumia lugha isiyo staha kujibu sentensi yako ya mwisho.

Bandari siyo "Club" ya mpira ambayo mwekezaji anakuwa mmiliki na "exclusive rights". Msikilize Mwanasheria mwingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…