Sakata la bandari ya Bagamoyo kuuzwa kwa Waarabu latua Bungeni. Prof. Kitila asema Serikali haijaingia makubaliano yoyote ya uwekezaji

Sakata la bandari ya Bagamoyo kuuzwa kwa Waarabu latua Bungeni. Prof. Kitila asema Serikali haijaingia makubaliano yoyote ya uwekezaji

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amekanusha taarifa zilizozagaa mtandaoni kuwa serikali imeingia mkataba na kampuni mojawapo ya Saudi Arabia, kuwekeza eneo maalum la uchumi la Bagamoyo ikiwemo Bandari.

Profesa Kitila Mkumbo ametoa ufafanuzi huo leo, Ijumaa 14 Februari katika Bunge la 12, Mkutano wa 18, Kikao cha kumi na nne, baada ya Naibu Spika wa Bunge Mussa Azzan Zungu kumtaka atoe tamko kuhusiana na habari hizo zinazosambaa mitandaoni kuhusiana na uwekezaji Bandari ya Bagamoyo.

“Mheshimiwa Waziri kabla ya yote toa tamko kuhusiana na habari zilizosagaa mtandaoni kuhusiana na no maalum la uchumi ikiwemo Bandari ya Bagamoyo” alisema Naibu Spika Zungu.

Profesa Kitila alianza kwa kueleza vipengere sita ambavyo ni lazima vifuatwe ili kukamilisha uwekezaji na kubainisha kuwa taarifa zinazosambazwa hazina ukweli wowote.

“Hatuna makubaliano wala mkataba wa eneo hilo maalum la kiuchumi na kampuni yoyote na taarifa kuwa tumeingia mkataba na kampuni ya Saud Arabia eneo la Uchumi la Bagamoyo hayana ukweli” alisema.

Bunge limeahirishwa hadi 8 Aprili mwaka huu 2025 na litadumu hadi 25 Juni 2025 litakapohutubiwa na kuvunjwa rasmi na Rais Dk Samia Suluhu Hassan.
 
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TAARIFA MUHIMU KUHUSU UENDELEZAJI WA ENEO MAALUM LA KIUCHUMI LA BAGAMOYO (BAGAMOYO SPECIAL ECONOMIC ZONE-BSEZ)

Dodoma, Ijumaa, 14 Februari 2025

1. Serikali ipo katika hatua mbalimbali za kutekeleza programu ya ujenzi wa Eneo Maalum la Kiuchumi la Bagamoyo (Bagamoyo Special Economic Zone BSEZ), ikiwa ni moja ya miradi 17 ya kielelezo iliyopo katika Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2021/22-2025/26.

2. Pamoja na mambo mengine, programu ya ujenzi wa Eneo Maalum la Kiuchumi la Bagamoyo (BSEZ) itahusisha ujenzi wa Bandari, Kongani za Viwanda, Kongani za TEHAMA, Ukanda huru wa Biashara, na Kituo cha reli.

3. Utekelezaji wa programu hii utafanywa na sekta binafsi kwa kushirikiana na serikali kupitia mpango wa ubia kati ya Sekta Binafsi na Sekta ya Umma (Public-Private Partneship-PPP).

4. Wakati wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi wameonesha nia ya kuwekeza katika ujenzi wa miradi mbalimbali iliyopo katika programu ya BSEZ, na wapo katika hatua mbalimbali za mazungumzo na taasisi mbalimbali husika za serikali, Serikali haijaingia makubaliano (commitment) yoyote na mwekezaji yeyote kwa sasa.

5. Hivyo, taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kwamba kampuni moja kutoka Saudi Arabia imepata mkataba wa uwekezaji wa kujenga na kuendesha Bandari ya Bagamoyo sio za kweli.

6. Kutokana umuhimu na ukubwa wa programu ya BSEZ, umma utajulishwa kikamilifu katika kila hatua ya utekelezaji wake.

Kitila Alexander Mkumbo (Mb.),

WAZIRI WA NCHI,

OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI. Dodoma, Ijumaa, 14 Februari 2025.
IMG-20250214-WA0024(1).jpg
 
Inaweza kuwa wachezaji
Inaweza kuwa wasemaji
Inaweza kuwa team mzima itakayo shinda
Ila itakuwa bomba sana raia tukihusishwa zaidi kwenye mgao: Tupewe ticket za bure tukamuona triple C akicheza derby yake ya mwisho nchini. Au nyie wenzangu hamtaki?

Watu wa Chuga mtakuwa na matamasha kadhaa pia msijali.

Asanteni
 
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

TAARIFA MUHIMU KUHUSU UENDELEZAJI WA ENEO MAALUM LA KIUCHUMI LA BAGAMOYO (BAGAMOYO SPECIAL ECONOMIC ZONE-BSEZ)

Dodoma, Ijumaa, 14 Februari 2025

1. Serikali ipo katika hatua mbalimbali za kutekeleza programu ya ujenzi wa Eneo Maalum la Kiuchumi la Bagamoyo (Bagamoyo Special Economic Zone BSEZ), ikiwa ni moja ya miradi 17 ya kielelezo iliyopo katika Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2021/22-2025/26.

2. Pamoja na mambo mengine, programu ya ujenzi wa Eneo Maalum la Kiuchumi la Bagamoyo (BSEZ) itahusisha ujenzi wa Bandari, Kongani za Viwanda, Kongani za TEHAMA, Ukanda huru wa Biashara, na Kituo cha reli.

3. Utekelezaji wa programu hii utafanywa na sekta binafsi kwa kushirikiana na serikali kupitia mpango wa ubia kati ya Sekta Binafsi na Sekta ya Umma (Public-Private Partneship-PPP).

4. Wakati wadau mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi wameonesha nia ya kuwekeza katika ujenzi wa miradi mbalimbali iliyopo katika programu ya BSEZ, na wapo katika hatua mbalimbali za mazungumzo na taasisi mbalimbali husika za serikali, Serikali haijaingia makubaliano (commitment) yoyote na mwekezaji yeyote kwa sasa.

5. Hivyo, taarifa zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kwamba kampuni moja kutoka Saudi Arabia imepata mkataba wa uwekezaji wa kujenga na kuendesha Bandari ya Bagamoyo sio za kweli.

6. Kutokana umuhimu na ukubwa wa programu ya BSEZ, umma utajulishwa kikamilifu katika kila hatua ya utekelezaji wake.

Kitila Alexander Mkumbo (Mb.),

WAZIRI WA NCHI,

OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI. Dodoma, Ijumaa, 14 Februari 2025.
View attachment 3236328
Nimeipenda hii ya prompty answer kwa serikali yetu, kukanusha uongo wa mitandaoni kwa majibu ya kweli.
P
 
Wabunge wa bara amkeni

*Mods acheni kufuta comments kama hizi
Nchi yetu ni urithi wa watoto wetu na wajukuu sio wageni!*

Jitengeni na Uovu!
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo ajibu sakata la Bandari ya Bagamoyo. Asema Serikali haijaingia makubaliano yoyote ya uwekezaji

Soma: Ubalozi Wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Watoa Maelezo ya Kina juu ya Upotoshaji unaoendelea Mitandaoni

"Serikali ipo katika hatua mbalimbali za kutekeleza program ya ujenzi wa eneo maalum la kiuchumi la eneo la Bagamoyo na hili ni moja ya miradi 17 ya kielelezo iliyopo katika mpango wa tatu wa maendeleo ya miaka mitano 2021/22-2025/26"

"Pamoja na mambo mengine eneo hili linahusisha ujenzi wa miradi mingi lakini moja ni ujenzi wa Bandari, Kongani za Viwanda, Kongani za TEHAMA, Ukanda huru wa biashara na kituo cha Reli. Kwahiyo sio mradi mmoja na ndio maana tunaita program"

"Utekelezaji wa program hii utatekelezwa na sekta binafsi kwakushirikiana na serikali kupitia mpango wa ubia katika sekta binafsi na sekta ya umma yaani Public–private partnership (PPP)"

"Wadau mbalimbali kutoka ndani na nje wameonyesha nia ya kuwekeza, wadau hawa wako katika hatua mbalimbali za mazungumza na taasisi husika. Serikali haijaingia makubaliano yoyote na mwekezaji yoyote kwasasa, wala hatuna mkataba na mwekezaji yoyote katika miradi ya Bagamoyo ikiwemo niliyoitaja wa Bandari"


Soma: Tetesi: - Saudi Arabia yapewa haki ya umiliki na uendeshaji wa bandari ya Bagamoyo kama sehemu ya mradi wa East Gate

========================================================

TAMKO LA SERIKALI KUHUSU UENDELEZAJI WA ENEO MAALUM LA KIUCHUMI LA BAGAMOYO (BAGAMOYO SPECIAL ECONOMIC ZONE-BSEZ)
View attachment 3236267
View attachment 3236268
Profesa kabisa anakuwa na majibu mepesi rojorojo namna hii? Ccm akili za watu kama hawa huwa inazipeleka wapi jamani au huwa naona mimi tu?
 
Watufafanulie yale makaratasi walikua wameshkaa wanapga nayo picha na wasaudia ni kwaajili ya nini🤨🤨

Kweli kabisa, maana (digital footprint) nyayo za kidigitali zilizoachwa na mapichapicha ya makabidhiano ya nyaraka zipo mtandaoni hazifutiki au kufichika kirahisi. Unyayo wa kidigitali haufutiki hata mchawi akijaribu kuchota mchanga wa unyayo.
1739542723460.jpeg

Hivyo ni muhimu watuelezee picha hizo walikuwa wanabadilishana hati za makubaliano MoU au kupeana hati miliki yaani acquisition ya bandari ya Bagamoyo na ilikuwa kwa bei gani ?

1739542808462.jpeg

SAUDI ARABIA SECURES RIGHTS TO OPERATE TANZANIA’S BAGAMOYO PORTSaudi Arabia has officially secured rights to operate Tanzania’s Bagamoyo Port, one of the largest in East and Central Africa, in a move set to boost trade, logistics, and investment in the region.

The agreement was finalized during a visit by a Saudi trade delegation to Tanzania, aimed at strengthening economic ties between the two nations.

The Tanzanian government granted the Saudi African Investment and Development Co. (SADC) concession and acquisition rights for the port as part of the 'East Gateway Project,' which focuses on expanding trade in East Africa.
 
Kweli kabisa, maana (digital footprint) nyanyo za kidigitali zilizoachwa na mapichapicha ya makabidhiano ya nyaraka zipo mtandaoni hazifutiki au kufichika kirahisi.
View attachment 3236404
Hivyo ni muhimu watuelezee picha hizo walikuwa wanabadilishana hati za makubaliano MoU au kupeana hati miliki yaani acquisition ya bandari ya Bagamoyo na ilikuwa kwa bei gani ?

View attachment 3236406
SAUDI ARABIA SECURES RIGHTS TO OPERATE TANZANIA’S BAGAMOYO PORTSaudi Arabia has officially secured rights to operate Tanzania’s Bagamoyo Port, one of the largest in East and Central Africa, in a move set to boost trade, logistics, and investment in the region.

The agreement was finalized during a visit by a Saudi trade delegation to Tanzania, aimed at strengthening economic ties between the two nations.

The Tanzanian government granted the Saudi African Investment and Development Co. (SADC) concession and acquisition rights for the port as part of the 'East Gateway Project,' which focuses on expanding trade in East Africa.
🙏 Kwahzo picha mkuu kuziweka.sasa manyanga'u watwambie zlikua zanini?
 
Kuna kipindi tulikuwa tunadanganywa nafasi aliyoshika Miss Tanzania kwenye miss world na watanzania tuliendelea tu na maisha, siku hizi hatudanganywi tena maana siku hizi kuna mitandao.

Hili la SAUDIA watu wameshabutua account zimenona mengine yaliyobaki mtajuana wenyewe.
 
14 February 2025
Bungeni, Dodoma
Tanzania

Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Mussa Azzan Zungu leo asubuhi katika kikao cha bunge linaloendelea mjini Dodoma amemtaka waziri Prof. Kitila Mkumbo kuelezea kuhusu sakata la Bandari ya Bagamoyo kudaiwa kuuzwa / kupewa mwekezaji

Madai Bandari ya Bagamoyo Kuuzwa Kwa Mwekezaji wa Saud Arabia Serikali Yatoa Neno, "Sio Kweli"​



View: https://m.youtube.com/watch?v=44XGR6QbatI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Kitila Mkumbo ametoa taarifa ya Serikali kufuatia kuenea kwa habari katika vyombo vingi kwa media hapa nyumbani Tanzania na ulimwenguni kote

Ni juu ya eneo maalum la kiuchumi la Bagamoyo linalohusu bandari kuwa limeuzwa kwa Mwekezaji kutoka Falme za Kiarabu.
View attachment 3236411
Mpango wa Maendeleo Eneo Maalum la
1. Ipo katika ujenzi wa eneo la uwekezaji maalum
2. Inahusisha ujenzi wa miradi mingi ikiwemo bandari, reli
3. Utafanywa na sekta binafsi na umma PPP
4. Wadau wengi wameonesha nia ktk programu hii kama ni reli wanazungumza
5. Serikali haijaingia mkataba na mwekezaji yoyote
6. Hivyo taarifa kuwa kampuni ya SADC kutoka Saudi Arabia siyo kweli
7. Umma utajulishwa kikamilifu programu hiyo itapoanza

View attachment 3236240

Saudi Arabia acquires Bagamoyo Port in Tanzania as part of the “East Gate” project

ByAkram Bin Khalid

12 February، 2025

News Projects

Home » News » Saudi Arabia acquires Bagamoyo Port in Tanzania as part of the “East Gate” project

In a major strategic move, the Kingdom of Saudi Arabia announced its acquisition of Bagamoyo Port in Tanzania, as part of the “East Gate” project, which aims to enhance the region’s position as a global trade hub.

This huge investment comes within the framework of the Kingdom’s efforts to open new investment horizons for Saudi companies in vital sectors, and provide marketing outlets for exporting Saudi products to African markets.
 
14 February 2025
Bungeni, Dodoma
Tanzania

Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Mussa Azzan Zungu leo asubuhi katika kikao cha bunge linaloendelea mjini Dodoma amemtaka waziri Prof. Kitila Mkumbo kuelezea kuhusu sakata la Bandari ya Bagamoyo kudaiwa kuuzwa / kupewa mwekezaji

Madai Bandari ya Bagamoyo Kuuzwa Kwa Mwekezaji wa Saud Arabia Serikali Yatoa Neno, "Sio Kweli"​



View: https://m.youtube.com/watch?v=44XGR6QbatI

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Kitila Mkumbo ametoa taarifa ya Serikali kufuatia kuenea kwa habari katika vyombo vingi kwa media hapa nyumbani Tanzania na ulimwenguni kote

Ni juu ya eneo maalum la kiuchumi la Bagamoyo linalohusu bandari kuwa limeuzwa kwa Mwekezaji kutoka Falme za Kiarabu.
View attachment 3236411
Mpango wa Maendeleo Eneo Maalum la
1. Ipo katika ujenzi wa eneo la uwekezaji maalum
2. Inahusisha ujenzi wa miradi mingi ikiwemo bandari, reli
3. Utafanywa na sekta binafsi na umma PPP
4. Wadau wengi wameonesha nia ktk programu hii kama ni reli wanazungumza
5. Serikali haijaingia mkataba na mwekezaji yoyote
6. Hivyo taarifa kuwa kampuni ya SADC kutoka Saudi Arabia siyo kweli
7. Umma utajulishwa kikamilifu programu hiyo itapoanza

View attachment 3236240

CCM wajinga sana wao kila kitu kinacho fanywa na serikali ni kuunga mkono hata kama kina madhara kwa taifa na kwa vile wamejishika kwenye dola basi dola ina saidia nchi kuharibika
 
Ukisikia uhaini ndio huu sasa.

1739611145820.png
Mwenye macho haambiwi tazama.
Acquire...kupata umiliki au uthibiti wa kitu
 
Back
Top Bottom