Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
[emoji7][emoji7]Ukinisaidia kuniunganisha na walalamikaji itakuwa vema sana. Wakati huo, kwa taarifa hii, ngoja tuwasiliane na huko Tanga.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji7][emoji7]Ukinisaidia kuniunganisha na walalamikaji itakuwa vema sana. Wakati huo, kwa taarifa hii, ngoja tuwasiliane na huko Tanga.
[emoji7][emoji7]Ahsante sana mama. Ninaamini utafanya ufuatiliaji na utatoa mrejesho jukwaani kama serikali
Binti alishafanyiwa mpaka matibabu lakini hakuna kesi inayoendelea wabakaji haijulikani watachukuliwa hatua au vipi.
Ustawi wa jamii wamelala fofofo
TAKUKURU waingie wanuse watakuambia harufu iliyopo hapo Songe
Ondoeni huyo OCD na hilo dawati lake. Wamekula laki tano kwa kila mbakaji waliyemkamata Ili watoe dhamana
Hii ni aibu mama. Narudia kukutakia ufuatiliaji mwema na utoe mrejesho
[emoji7][emoji7][emoji7]Akina mwamposa wanahubiri neno LA Mungu - kuacha dhambi. Matendo mabaya kama kubaka, kulawiti ni miongoni mwa dhambi.
Manabii wa zama hizi wanawaogopa sana watawala, wanajua kuikosoa Serikali ni kuomba kupokonywa leseni za biashara zao.Akina Mwamposa na wenzake badala wakemee haya mapepo kwenye madhabahu yao wao kila siku ni matamasha. Leo ya kuwasha mishumaa, kesho tochi za simu mara sijui komboa nyota. Vitu vya ujingaujinga tu mradi wapige hela. Haya mapepo ya ukatili yaliyoibuka ndo ya kudili nayo kama huo uwezo wanao
Mambo hayo yako katika jamii zetu kubwa ni kwetu wananchi tuache kiitwacho MUHALI....tunafichana na kufichiana maovu kwa kuoneana aibu na hata kuogopana....yako kuanzia miji ya Pwani hadi ya bara.Yataibuka mengi kwasababu mambomengi yanayohusu ngongo kimtaamtaa yanafichwa sana
Kazi ya manabii si kuikosoa SERIKALI....Manabii wa zama hizi wanawaogopa sana watawala, wanajua kuikosoa Serikali ni kuomba kupokonywa leseni za biashara zao.
Mengine kuyaficha inakua aibu hata kwa serikaliYataibuka mengi kwasababu mambomengi yanayohusu ngongo kimtaamtaa yanafichwa sana
Hivi ni uwendawazimu au ni nini!Habari zenu wanajukwaa. Nimatumaini yangu kwamba mmeamka salama salmin
Moja kwa moja kwenye mada ni kwamba lipo sakata linalofanana na la binti wa Yombo ambapo limetokea wilayani Kilindi mkoani Tanga. Ni zaidi ya wiki kama tatu hivi tangu tukio hilo lifanyike lakini rushwa ndio inatembea.
Tukio hilo limetokea jirani na mji wa Songe Kijiji kiitwacho Kwamwande ambapo binti huyo aliitwa na jamaa aliyekuwa amezaa nae kwamba eti akachukue matumizi.
Baada ya msichana huyo kufika kumbe walijiandaa vijana nane kumuingilia dada huyo ambae alikuwa amejifungua hata siku arobaini hajamaliza.
Inasemekana vijana waliofanikiwa kumuingilia walikuwa watano. Ingawa baadhi walikamatwa na polisi pia walipewa dhamana kwa sharti la kila mmoja kutoa laki tano. Kilichopo ni ukimya usiokuwa na majibu.
Rushwa imetumika kumkosesha binti huyu haki yake.
OCD Songe achunguzwe kwa kulikalia kimya suala hili na kutowafuatilia wabakaji wengine Ili kumpatia haki msichana huyo.
Hata baada ya kutoka hospitalini msichana huyo aliendelea kupata tabu maumivu makali ya kubakwa na watu watano huko akiwa bado alijifungua siku sio nyingi.
Natoa rai kwa makundi mbalimbali wasaidie haki ya mtanzania huyo
Manabii wanaogopa!! Huwezi kuwa nabii ukashindwa kukosoa maovu katika jamii unayoishi.Kazi ya manabii si kuikosoa SERIKALI....
Mbona unawatwisha majukumu yasiyo yao kihalisia zaidi ya KIHISIA....
Kwa hulka hizi ndio maana tunapata mawakili wa TLS wenye mitazamo hiyo isiyo na usahihi hata chembe.....
#Never give wisdom to unworthy as it is unjust to the knowledgeable [emoji7]
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mungu akubariki na akupe afya NJEMA, wengine Mungu kakupa zawadi ya watoto wa kike tupu tukiona matukio haya Roho zinaumia sana!Ukinisaidia kuniunganisha na walalamikaji itakuwa vema sana. Wakati huo, kwa taarifa hii, ngoja tuwasiliane na huko Tanga.
Mbona hata wa kiume wanalawitiwa sana tu! ..... au ndo kusema hawana mtetezi.Mungu akubariki na akupe afya NJEMA, wengine Mungu kakupa zawadi ya watoto wa kike tupu tukiona matukio haya Roho zinaumia sana!
Sawa mkuu,pia hawapaswi kulawitiwa.Mbona hata wa kiume wanalawitiwa sana tu! ..... au ndo kusema hawana mtetezi.
Si msikiti wala kanisa linaloweza kukosoa serikali kwa ukosoaji wa viashiria vya UHAINI likaendelea kukosoa...popote pale duniani....Manabii wanaogopa!! Huwezi kuwa nabii ukashindwa kukosoa maovu katika jamii unayoishi.
Asante Kanisa Katoriki kwa kuliona tatizo la ubakaji na utekaji na kupotea kwa watu kuwa sugu na kulisemea.
Wengine wanakusanya fungu la kumi kwanza.
Umeambiwa na Mheshimiwa hapo kwamba umtaje aliyefanyiwa hicho kitendo ili iwe rahisi kumsaidia haki yake ipatikane, kama unaogopa kumtaja hadharani mtumie hata PM.Hii ni aibu mama. Narudia kukutakia ufuatiliaji mwema na utoe mrejesho
Aaaamin aaaamin[emoji7]Mungu akubariki na akupe afya NJEMA, wengine Mungu kakupa zawadi ya watoto wa kike tupu tukiona matukio haya Roho zinaumia sana!
Mhe Mkuu wa Mkoa amepokea anafuatilia. Tutapata mrejeshoAhsante sana mama. Ninaamini utafanya ufuatiliaji na utatoa mrejesho jukwaani kama serikali
Binti alishafanyiwa mpaka matibabu lakini hakuna kesi inayoendelea wabakaji haijulikani watachukuliwa hatua au vipi.
Ustawi wa jamii wamelala fofofo
TAKUKURU waingie wanuse watakuambia harufu iliyopo hapo Songe
Ondoeni huyo OCD na hilo dawati lake. Wamekula laki tano kwa kila mbakaji waliyemkamata Ili watoe dhamana
Hii ni aibu mama. Narudia kukutakia ufuatiliaji mwema na utoe mrejesho
Kweli, anitumie sms kwenye 0765345777 Ili turahisishe mambo kidigitali tuokoe muda wa ufuatiliajiUmeambiwa na Mheshimiwa hapo kwamba umtaje aliyefanyiwa hicho kitendo ili iwe rahisi kumsaidia haki yake ipatikane, kama unaogopa kumtaja hadharani mtumie hata PM.
Mwamposa ni andunje la sisiemu!Akina Mwamposa na wenzake badala wakemee haya mapepo kwenye madhabahu yao wao kila siku ni matamasha. Leo ya kuwasha mishumaa, kesho tochi za simu mara sijui komboa nyota. Vitu vya ujingaujinga tu mradi wapige hela. Haya mapepo ya ukatili yaliyoibuka ndo ya kudili nayo kama huo uwezo wanao
Shukrani sana Mheshimiwa ubarikiwe naimani mtoa mada atakupa taarifa zaidi kupitia mawasiliano RigidityKweli, anitumie sms kwenye 0765345777 Ili turahisishe mambo kidigitali tuokoe muda wa ufuatiliaji