DOKEZO Sakata la binti wa Yombo lilishatokea kama hilo Kilindi -Tanga

DOKEZO Sakata la binti wa Yombo lilishatokea kama hilo Kilindi -Tanga

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ahsante sana mama. Ninaamini utafanya ufuatiliaji na utatoa mrejesho jukwaani kama serikali
Binti alishafanyiwa mpaka matibabu lakini hakuna kesi inayoendelea wabakaji haijulikani watachukuliwa hatua au vipi.
Ustawi wa jamii wamelala fofofo
TAKUKURU waingie wanuse watakuambia harufu iliyopo hapo Songe
Ondoeni huyo OCD na hilo dawati lake. Wamekula laki tano kwa kila mbakaji waliyemkamata Ili watoe dhamana

Hii ni aibu mama. Narudia kukutakia ufuatiliaji mwema na utoe mrejesho
Amekwambia msaidie kumuunganisha na walalamikaji, wewe unaleta mapambio. Mpe namba afanye mawasiliano.
 
Back
Top Bottom