DOKEZO Sakata la binti wa Yombo lilishatokea kama hilo Kilindi -Tanga

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
[emoji7][emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Manabii wa zama hizi wanawaogopa sana watawala, wanajua kuikosoa Serikali ni kuomba kupokonywa leseni za biashara zao.
 
Yataibuka mengi kwasababu mambomengi yanayohusu ngongo kimtaamtaa yanafichwa sana
Mambo hayo yako katika jamii zetu kubwa ni kwetu wananchi tuache kiitwacho MUHALI....tunafichana na kufichiana maovu kwa kuoneana aibu na hata kuogopana....yako kuanzia miji ya Pwani hadi ya bara.

Serikali yetu sikivu na adhimu inapambana sana na haya mambo kwa nguvu kubwa sana.Ni vyema tukaisaidia kwa "KUFICHUANA".

#Tanzania kwanza[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Manabii wa zama hizi wanawaogopa sana watawala, wanajua kuikosoa Serikali ni kuomba kupokonywa leseni za biashara zao.
Kazi ya manabii si kuikosoa SERIKALI....

Mbona unawatwisha majukumu yasiyo yao kihalisia zaidi ya KIHISIA....

Kwa hulka hizi ndio maana tunapata mawakili wa TLS wenye mitazamo hiyo isiyo na usahihi hata chembe.....

#Never give wisdom to unworthy as it is unjust to the knowledgeable [emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi ni uwendawazimu au ni nini!
 
Manabii wanaogopa!! Huwezi kuwa nabii ukashindwa kukosoa maovu katika jamii unayoishi.

Asante Kanisa Katoriki kwa kuliona tatizo la ubakaji na utekaji na kupotea kwa watu kuwa sugu na kulisemea.

Wengine wanakusanya fungu la kumi kwanza.
 
Manabii wanaogopa!! Huwezi kuwa nabii ukashindwa kukosoa maovu katika jamii unayoishi.

Asante Kanisa Katoriki kwa kuliona tatizo la ubakaji na utekaji na kupotea kwa watu kuwa sugu na kulisemea.

Wengine wanakusanya fungu la kumi kwanza.
Si msikiti wala kanisa linaloweza kukosoa serikali kwa ukosoaji wa viashiria vya UHAINI likaendelea kukosoa...popote pale duniani....

Mfano kule SAUDI ARABIA...wale masheikh wakiikosoa serikali ya huko basi ujue kuwa kutakuwa na BALAA....

Tujifunze.....

Serikali zinatoka mbinguni kwa BWANA....

#JMT milele dumu[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Mhe Mkuu wa Mkoa amepokea anafuatilia. Tutapata mrejesho
 
Mwamposa ni andunje la sisiemu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…