Sakata la Christina Shusho limenifunza mambo makuu 4

Sakata la Christina Shusho limenifunza mambo makuu 4

Tanzania siyo nchi ya kidini.

Sheria za nchi ndizo sheria kuu kuliko sheria za dini.

Hata hayo madhehebu yamesajiliwa chini ya sheria za Tanzania.

Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 ndiyo sheria kuu ya masuala ya ndoa Tanzania, ambayo pamoja na mambo mengine mengi, inayapa madhebebu ya dini uwakala wa kufungisha ndoa.

Hizo Canon Law, na Islamic law zina utaratibu wake wa kipekee katika matumizi lakini matumizi yake hayatakiwi kupingana na sheria za nchi.

Mahakama ikivunja ndoa kwa mujibu wa sheria, Kanisa wala msikiti hawapaswi na hawawezi kuingunaisha ndoa husika.

Na kama watagoma kufungisha ndoa nyingine, basi Mkuu wa Wilaya anaweza kufungisha ndoa kwa watu walioachana kisheria.

Kimsingi jukumu la awali la kufungisha ndoa ni la serikali na siyo la dini.

Hizi dini zimepewa uwakala tu na serikali kwa sababu ndizo taasisi zilizo karibu na watu zaidi.
Umeeleza vyema Mkuu. Watu wengi ni weupe sana kwenye suala la ndoa hasa sheria ya ndoa. Wana stori za vijiweni sana na mazoea mabaya mdio maana hata wengi zinawatesa sana. Hawajui mfumo wa hiyo taasisi.
 
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka
Nawaza tu

How can a man waste his time kuandika dude reeefu hivi kuhusu wakala wa shetani bila kuwa yeye mwenyewe wakala

What the crap about huyu dada

Mpotezeeni atapotea

Madalali wa shetani mko bize kutrend na mtu wenu
 
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka
Kama shusho hatojiweka mikononi mwa Mungu ipasavyo na kutubu Kwa kunyenyekea mbele zake ndani ya Mika hii saba ni hatari sana kwake 2024-2030!!
Kwasababu Kuna hatari kubwa Sana Kwa watumishi wa Mungu waliopo madhabahuni huku wakiwa vugu vugu!

Nusu Mungu nusu Mungu wa Dunia Ili wapate utajiri!
 
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka
Hawezi kubaki na heshima tena.
Nadhani kwa sasa ni masonic na ana Uhuru wa kufanya chochote na Diamond.
Tunamjua Diamond na tabia zake za ufuska,hawezi kuliacha lishangazi.

Inaelekea Christina anaona fahari kuambiwa ana date na Diamond.
Kwake ni sifa,na kwa wanawake walio wengi wanamatamanio na huyu kiumbe wanamuona Christina kama shujaa.
 
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka
Mentor wake ameshamfundisha kwamba, ili kufanikiwa lazima atengeneze sana kiki. Bila Kiki hakuna mafanikio.
Jiandaeni kwa kiki nyingi nyingi zaidi ya hiyo.
 
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka
Mbususu for sale.
 
Back
Top Bottom