Sakata la Christina Shusho limenifunza mambo makuu 4

Sakata la Christina Shusho limenifunza mambo makuu 4

NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka
Nyie hamuelewi. Ndoa za kulazimishwa Tanzania zipo nyingi sana. Leo hii tukisema tuitishe wanawake wengi sana watajitokeza. Kwa ufupi Christina ni mwanamke shujaa
 
Christina Shusho alipata danga liko USA, alipogindulika ndoa ikavunjika, bahati mbaya baada ya kuachika na rafiki yake akimwibia danga, ndio habari ikaishia hapo
Jazia nyama kidogo Chifu ili mtori uwe mzito mzito.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Marehemu Gadna kaimbwa weeeeeee mpaka sasa katema bungo.

Mzee Shusho kachukua kijiti cha Shetani ataimbwaa weeeee!

Tunatengeneza kizazi cha kumuona Mwanaume kama mnyama, Katili na asiyepaswa kujitetea. Mwishowe Wanaume wanaathirika kisaikolojia, wanaumwa Visukari, wanakosa nguvu za kiume, Wanafedheheka, Wanakua Walaibu mwishowe tunawapoteza.

EWE MWANAUME SIMAMA IMARA, USIZAME MAZIMA KWA MWANAMKE, STUKA MAPEMA HAWA VIUMBE ISHI NAO KWA AKILI HATA MAANDIKO YAMESEMA. USIKUBALI KUNYANSIKA TUTAKUPOTEZA!
NA HAPA NDIPO UHALALI WA #TEAM KATAA NDOA UNAPOKUWA NA NGUVU.
KWA ZAMA HIZI KUNA MAWILI, AMUA KUISHI MWENYEWE(USIHOFU JUU YA POPULATION)
AU INGIA KWENYE NDOA, KAPATE STRESS, KISUKARI, BP, TUKUZIKE HUKU UKIACHA MKE(ATAKAYEPATA MWENZA) NA WATOTO (WALIO KOSA UHAKIKA WA KESHO YAO).
 
Mashine itakuaje na Network kila kukicha unapata taarifa mara kaliwa na huyu mara yule hata ningekua mimi hamu nae sina tena hata awe mzuri vip si bora ukachukue za kulipia tu utumie Zana kuliko hii ya ndani ikuletee magonjwa ni kwamba Sister kaingia mjini kipori pori lazima ndoa ivunjike...
Kweli kabisa..nilitaka tuu nione maoni yenu wanaume...
 
Christina kachagua umalaya... Uzuri mume wake aliamua kumuacha tangu zamani... Christina umalaya umemshinda akakimbilia kwa wachungaj wamuombee msamaha kwa mume, lakini mumewe akaapa hawez kurudiana na mwanamke malaya... Baada ya Christina kuona hakuna matumaini ya kupata msamaha sasa ana haha kutafuta huruma kwa watu...
 
NDOA YA KIKRISTO HAIVUNJIKI. HAKUNA SAHIHI HAPO.
Wengi wanatafiri vibaya maneno aliyoyasema Yesu, ukweli uko hivi.

Mwanamke akiposwa, tayari anadhaniwa kuwa ni mke wa mtu hata kama bado binti hajaagwa kwao. Yusufu aliambiwa asimuache Mariam mkewe, wakati Yusufu anaambiwa hayo Biblia inasema Yusufu alikuwa ameshamposa Mariam tu.

Wayahudi walikuwa na desturi ya kwamba, ukishamposa mwanamke, mwanamke anapaswa asiguswe (kutokufanya mapenzi) kwa miezi 9 ili kubaini kama ana mimba au laah.

Sasa ndani ya hii miezi 9, endapo mwanamke akatembea na mwanaume yoyote au pengine ana mimba changa tafsiri yake ni kwamba mwanamke alifanya uasherati.

Uasherati ni kitendo cha mtu kufanya ngono nje ya ndoa, Uzinzi ni mtu kufanya tendo la ngono kwa asiye mkewe au mumewe.

Sasa Yesu alisema, mtu asimuache mkewe isipokuwa kwa habari ya uasherati, hapo ina maana kwamba, ni sahihi kumuacha mkeo endapo kama umemposa kisha akafanya uashareti ila kama tayari umemposa na wewe ukaenda kulala nae (ndoa kamili inatimizwa hapo ktk tendo) moja kwa moja hiyo ni ndoa kamili maana mmeungana tayari hadi kimwili badala ya kuungana kinafsi na kiroho baada ya familia mbili kupokeana, HAIWEZEKANI TENA KUACHANA.

Sasa hapo wale mitume 12 wakamwambia Yesu kama ni hivyo haipaswi mtu kuoa.

Kwahiyo Mkuu watu wanapaswa kuelewa kwamba NDOA YA KIKRISTO HAIVUNJIKI KWA NAMNA YEYOTE ILE ENDAPO KAMA WATU HAO WAWILI MWANAUME ALITOA MAHALI, NA AKAENDA KULALA NA HUYO MWANAMKE KTK TENDO.
 
Nyie hamuelewi. Ndoa za kulazimishwa Tanzania zipo nyingi sana. Leo hii tukisema tuitishe wanawake wengi sana watajitokeza. Kwa ufupi Christina ni mwanamke shujaa
Sikuhizi ndoa watu wanazitafuta Kwa tochi hawazipati
 
Mkuu haya yote uliyotaja hakuna jibu sahihi hata moja. Tina amemuacha mzee Shusho ili apate mwanya wa kudinywa vizuri na Diamond.
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka
 
Back
Top Bottom