Sakata la Christina Shusho limenifunza mambo makuu 4

Sakata la Christina Shusho limenifunza mambo makuu 4

NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka
NDOA YA KIKRISTO HAIVUNJIKI. HAKUNA SAHIHI HAPO.
 

Attachments

  • FB_IMG_1714574242954.jpg
    FB_IMG_1714574242954.jpg
    49.5 KB · Views: 9
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka
Wanasema. Bidada anajituma sana kitandani
 
NILICHOJIFUNZA KWA CHRITINA

Nimejifunza mambo haya kwenye hili

1. MAAMUZI SAHIHI AMEYAFANYA WAKATI USIO SAHIHI yapo maamuzi yanaweza kuwa sahihi ila yakafanyika wakati usio smawil Maamuzi sahihi yakifanyika wakati usio sahihi huwa yanaonekana si sahihi kwasababu yako nje ya wakati uliopaswa kuamua.

Yawezekana Christina alibaini kuwa ameozeshwa kwa mtu asiye sahihi lakini hakutaka kuipinga hiyo ndoa kwasababu kwa umri wa miaka 19 unao uwezo hata wa kukimbia au kutoroka au ukaenda kishingo upande ukaona hauna amani ukaachana nayo mapema kabla husogea sana hapo angeeleweka lakini maamuzi aliyoyafanya yanaweza kuwa sahihi lakini kwa wakati usio sahihi.

Kwa nini yeye ndiye anaongea sana kuliko mwanaume, kuna changamoto yawezekana yeye ndiye mwenye changamoto ila anatafuta huruma ya kuhalalisha alichokifanya awe sahihi.

2. YAWEZEKANA anafanya hivyo ili mzee Shushu amjipu ili apumue maana ana jaka la moyo anataka ajibiwe ili aone je anamlalamikia ana cha kujibu.

3. YAWEZEKANA kiburi cha mafanikio kumpeleka huko na muonekano wake umpeleke kwenye maisha anayoyaishi

4. YAWEZEKANA kuna changamoto za kifamilia zilishindwa kutatulika zikahatarisha usalama na hatma yake

Nimeshindwa kuwa upande wowote kwasababu sijui kwa kina kiini cha hiki siwezi kuhukumu nani mkosaji na nani

MAONI YANGU: CHRITINA achague kunyamaza maana kunyamaza kunailinda thamani yake na kuepusha mengi. Kuongea sana hakusaidia kwasababu kashaamua kuishi maisha mapya. Ayatazame maisha mapya yaliyoko aliyoyaamua aache kuongea

Kulalamika, kujilaumu au kuongea sana kwenye lile lilikuumiza haibadilishi matokeo. Yale tusiyoweza kutabadilisha tuyaache yawe sehemu ya simulizi za maisha yetu.

WAKATI MWINGINE MUOGOPE SANA MTU MKIYA yawezekana tunamuona mzee hana shida kwasababu ya ukimya wake ila yawezekana alikuwa mbaya kwa dada kuliko tumuonavyo

Wakati mwingine mtu anaonekanaye mkimya na mtaratibu huku nje huko ndani hafai. TUSIWAAMINI KWASABABU HAOWANGEI AU KWASABABU YA UKIMYA WALIONAO

UPO UKIMYA UUMIZAO NA ULIOFICHA MENGI MABAYA YASIONEKANA NJE

Ma Gwamaka
Mzee Shusho ni mchungaji ana kanisa lake na waumini wengi sana. Sasa unataka ajibu nini? Yeye anamwomba Mungu na anapata jibu huko
Unataka ajibu nini kwa huyo mwanadamu?
Mwache aendelee na utumishi wake, namfahamu toka akiwa meneja wa bandari tanga enzi Lowassa akiwa PM. Huyu Shusho alisimamishwa kazi na Lowassa akakaa kimya na serikali wakaona hana kosa wakamrudisha kazini akasema ni kosa kwa mtumishi wa Mungu kutuhumiwa akaomba kuacha kazi akamtumikie Mungu.
Huyo tina toka enzi Membe akiwa foreign minister alianza kumletea taabu mzee kwa kumuona siyo type yake.
Acha mdee Shusho akae kimya.
 
Kwa kiswahili ni BIBILIA sio Biblia. Anyways. Ni kitabu kilichotokana na mapokeo ya kanisa katoliki miaka 500 baada ya Kristu. So what are you trying to say?
Bibilia inaruhusu watu kutalikiana iwapo itatokea scenario ya kuchepuka
 
Nimeona andiko la msomi ngazi ya Phd Dr. Mauki anasema kuna sheria inasema "Siku 90 mwanamke na mwanaume wakiishi pamoja basi hiyo ni ndoa".

Siyo kweli.

Kuna wengine wanadai ni miezi 6. Siyo sahihi.

Sahihi kifungu cha 160 cha Sheria ya Ndoa ya mwaka 1971 kinatamka kwamba iwapo mwanamke na mwanaume wataishi pamoja kwa muda wa miaka miwili kama mke na mume na jamii ikawachukulia na kutafsiri kama mke na mume basi inadhaniwa kwamba wana ndoa".

Dhana ya ndoa maana yake ni ndoa ambayo ukweli na uhalisi wake unaweza ukapingwa.
Presumption ya marriage ni miaka 2 conservative
Huyo PhD kasoma LL.B lini?
 
Sasa mbona maneno matupu bila vifungu?
Mathayo 5:32 BHN
Lakini mimi nawaambieni, anayempa mkewe talaka, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi, anamfanya azini; na mwanamume akimwoa mwanamke aliyepewa talaka, anazini.
 
Aya ma disco dansa[emoji445][emoji445]
Aya ma disco dansa [emoji445][emoji445]

Sawa nimeachiiika [emoji24],ila naburudiika[emoji445][emoji445]
Sipangiwi na [emoji240] yoyote [emoji24][emoji24][emoji24][emoji445][emoji445]
 
Marehemu Gadna kaimbwa weeeeeee mpaka sasa katema bungo.

Mzee Shusho kachukua kijiti cha Shetani ataimbwaa weeeee!

Tunatengeneza kizazi cha kumuona Mwanaume kama mnyama, Katili na asiyepaswa kujitetea. Mwishowe Wanaume wanaathirika kisaikolojia, wanaumwa Visukari, wanakosa nguvu za kiume, Wanafedheheka, Wanakua Walaibu mwishowe tunawapoteza.

EWE MWANAUME SIMAMA IMARA, USIZAME MAZIMA KWA MWANAMKE, STUKA MAPEMA HAWA VIUMBE ISHI NAO KWA AKILI HATA MAANDIKO YAMESEMA. USIKUBALI KUNYANSIKA TUTAKUPOTEZA!
Asante kwa ujumbe mzuri mkuu,ila umeshindwa kutuelimisha tusimame imara namna gani mkuu
 
Labda mzee mashine haina network...
Mashine itakuaje na Network kila kukicha unapata taarifa mara kaliwa na huyu mara yule hata ningekua mimi hamu nae sina tena hata awe mzuri vip si bora ukachukue za kulipia tu utumie Zana kuliko hii ya ndani ikuletee magonjwa ni kwamba Sister kaingia mjini kipori pori lazima ndoa ivunjike...
 
Back
Top Bottom