Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

Unaonaje wakabidhi nchi hao matajiri ili nchi iendeshwe na wenye hela wengine tubaki kuwa wafanyakazi wa wenye pesa na urais tumkabidhi tajiri?
Kwai unafikiri nchi zinaendeshwa na watu kama wewe ambao hata kodi hawalipi?


Tumia akili japo kiduchu, mfumo wa Tanzania ni nchi kuendeshwa na wenye pesa. Au huelewi maana ya kulipa kodi?

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Mtu asiyejifunza kutokana na makosa ni MPUMBAVU.
 
Naunga mkono ikiwezekana ifanyike mapema.
wakipata mwekezaji mwenye sifa kama DP ya Dubai / Singapore / Netherlands / South Korea / Japan itakuwa bonus

Mtoa mada unasema huko nyuma zoezi la ubia lilishindikana , ni kweli kwasababu wawekezaji wale hawakuwa na sifa walichaguliwa bila sifa Ndio maana walishindwa
 
a.k.a wahindi wa kariakoo ??!!
 
Wakiwaleta wahindi kama walivyofanya TRC itakula kwao! Hata wachina ni hivyohivyo. Wote ni watu wa madili watafilisi bandari.
 
Watu wanapo ona mambo ya kibiashara ayaendi vizuri wanakodisha consultancy firms iliyobobea kwenye area husika of concern kuchunguza na kuwapa mbinu za kusimamia biashara kwa ufanisi.

Sisi tunaleta kampuni iingie ubia wa kuendesha taasisi yenye thamani ya trillion of shillings ambazo zimewekezwa na walipa kodi, huyo mmbia achangii ata cent 5 waje wachote.

Only in Tanzania
 
Wakiwaleta wahindi kama walivyofanya TRC itakula kwao! Hata wachina ni hivyohivyo. Wote ni watu wa madili watafilisi bandari.
Bora ya waarabu kuliko wahindi na wazungu. Tena hawa wahindi mheshimiwa rais aepukanenao mbali hatuwataki.
 
Nchi inavituko sana hii ...bandari ya Dar es Salaam? Mbia? Anyways waache wafanye wanalotaka, inashangaza sana kama hawa watu wana uzalendo na hili taifa.
 
Wewe toa nn kifanyike sio
Unaonaje wakabidhi nchi hao matajiri ili nchi iendeshwe na wenye hela wengine tubaki kuwa wafanyakazi wa wenye pesa na urais tumkabidhi tajiri?
Kejeli zako za kipuuzi ndo nyinyi tunawapa bandari mnashindwa.
 
Watanzania wengi sana wana akili za kitumwa, na mtumwa hata umfanye nini utumwa upo ndani ya damu yake.

Kumiliki kila kitu cha nchi na serikali ndio ikiendeshe ni enzi za utumwa na Ufalme.

Duniani sasa hivi serikali zinabaki kuwa "facilitators", hata ajira zinabaki kuwa kenye private sectors tu kwa wingi. Serikali inabaki na wafanya kazi wachache sana ambao kazi zao zinabaki kuwa acilitators tu na si utendaji wa kina. Feda zinatakiwa mzunguko urudi kwa raia wapate kujiendeleza.

Mama Samia, achana na majuha wenye fikra za kitumwa wachache ambao wanataka kila biashara kubwa iendeshwe na serikali, hao ni wezi na ama wana akilli za kitumwa tu. Bandari zote kubwa duniani sasa hivi haziendeshwi na serikali zao. Sifahamu Tanzania kwanini tumeshelewa sana kwenye hilo?

Mama Samia nakuunga mkono 100% kwenye hili la bandari kupewa mbia aiendeshe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…