Kwai unafikiri nchi zinaendeshwa na watu kama wewe ambao hata kodi hawalipi?Unaonaje wakabidhi nchi hao matajiri ili nchi iendeshwe na wenye hela wengine tubaki kuwa wafanyakazi wa wenye pesa na urais tumkabidhi tajiri?
Mtu asiyejifunza kutokana na makosa ni MPUMBAVU.Lete usha
Lete ushaidi wa uliloandika kama huna chuki binafsi .mwanzo kama nilianza kukuelewa lkn hapa si sawa.changamoto za uendeshaji wa bandari TPA inashindwa kutokana na vitu kadha wa kadha
gharama za ukarabati
tekinologia ya kisasa
ushindani uliopo kwenye bandar za Africa n.k
ebu lete nn kifanyike sio kama unaleta chuki binafsi
Tuna watanzania wazalendo wa kutosha kuendesha bandari zetu zote na zikaleta tija. watu type ya Mchechu NHC wapo tuwatumie kwanza kabla ya kuwapa wageni chakula mezani.
Miaka yote 60 wameshindwa wataweza sasa ?? Kweli ?!!!Waswahili hawawezi kumeneji. Bandari itafilisika
a.k.a wahindi wa kariakoo ??!!Naunga mkono ikiwezekana ifanyike mapema.
wakipata mwekezaji mwenye sifa kama DP ya Dubai / Singapore / Netherlands / South Korea / Japan itakuwa bonus
Mtoa mada unasema huko nyuma zoezi la ubia lilishindikana , ni kweli kwasababu wawekezaji wale hawakuwa na sifa walichaguliwa bila sifa Ndio maana walishindwa
Wakiwaleta wahindi kama walivyofanya TRC itakula kwao! Hata wachina ni hivyohivyo. Wote ni watu wa madili watafilisi bandari.Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.
Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?
Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.
Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.
--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.
Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.
Bora ya waarabu kuliko wahindi na wazungu. Tena hawa wahindi mheshimiwa rais aepukanenao mbali hatuwataki.Wakiwaleta wahindi kama walivyofanya TRC itakula kwao! Hata wachina ni hivyohivyo. Wote ni watu wa madili watafilisi bandari.
Hii jamii dah wanakauselfish kapekee, kwa maana ni watu wanaojiona bora kuliko jamii zingine, ila wachache wanajitambua. Mama aepukanenao hawa watu.a.k.a wahindi wa kariakoo ??!!
Mwalimu alimwambia Che Nkapa msipoangalia mtabinafsisha mpaka Lupango zenu !!Tubinafisishe mpaka ofisi za UMMA isipokuwa Ikulu pekee
Hakuna ufanisi hata kidogo bora kubinafisishaMwalimu alimwambia Che Nkapa msipoangalia mtabinafsisha mpaka Lupango zenu !!
Kejeli zako za kipuuzi ndo nyinyi tunawapa bandari mnashindwa.Unaonaje wakabidhi nchi hao matajiri ili nchi iendeshwe na wenye hela wengine tubaki kuwa wafanyakazi wa wenye pesa na urais tumkabidhi tajiri?
Tunakoelekea tutatafuta mbia wa kuendesha serikariUnaikumbuka Net Group Solutions?