Yamungu Athumani
JF-Expert Member
- Apr 23, 2016
- 1,384
- 3,254
Da Kazi ipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu , upande wa TICTS wanafanya kazi very professional sio kama huku kwa wazaramo TPA. Swala la mapato ndio wanatakiwa waangalie kwa ukaribu zaidi mifumo ya TICTS imekaa vizuri kuliko TPA . Wabadilishe tu mifumo yao ya malipo inaleta lope hole za watu kupiga pesa. Ndio maana wanapaita shamba la bibi upande wa TPA ila upande wa TICTS mzee hauwezi kufanya magumashi ukafanikiwa .Nadhani hapa kuna harufu ya ufisadi.
Hivi kuna Evaluation and monitoring report ya ufanisi wa TICTS toka awe mbia wa kuendesha bandari.
Ni lipi alifanikiwa ambalo TPA wangeshindwa kulifanya.
Ni imani potofu kwamba kila shirika akipatikana mbia basi litafanyakazi kwa ufanisi.
Hata Mimi nimejiuliza malengo inayowekewa menejimenti ya bandari ni yapi na ya aina gani na kwa kipindi gani?Aiseee! Kuna siku tutatafuta mbia wa kuiendesha serikali maana tumeshashindwa kuiendesha bandari.
Ili bandari ifanye vizuri zaidi inatupasa kuachana na siasa kwenye uendeshaji wake Menejimenti ya Bandari iwekewe malengo na wasiingiliwe na serikali.
Kuwe na mkataba baina ya serikali na menejimentj ya TPA, iwapo watashindwa kufikia malengo yaliyowekwa kwa kila robo mwaka basi kibarua kinaota nyasi na iwapo kuna jinai sheria ichukue mkondo wake.
Nadhani tuanzie hapo.
Vv
Kwahiyo tuuze?Sera ya ubinafshaji ilikuwa mbaya sana na mkapa hayati alikiri makosa
Kupigaje?Bora iwe hivyo tupige na Sisi kidogo mambo yamebana sana duh
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Hauna sababu ya kushambulia personalities za watu jadili hojaMama tunamshauri aache mara moja huo mpango. Asichokijua hao akina Makamba na Riziwani na akina Mwigulu ni wezi na wajanja wajanja wanatafuta namna ya kukusanya hela za kuhonga chaguzi zijazo. Wazo ni zuri sana ila ajue viongozi wanaomzunguka ni wezi, bora aimarishe ufanisi wa bandari. Mabadiliko ya kutafuta muendeshaji yafanyike kizazi kinachokuja cha waadilifu na siyo
hawa akina Nape
Tatizo kubwa la TPA na mashirika mengi ya umma ni uteuzi wa kisiasa na kuingiliwa kisiasa ktk utendaji wa kazi. Je tunajua vigezo vya uteuzi wa watendaji wakuu na board? Hawa watendaji wanashindanishwa kabla ya kuteuliwa? Wana mamlaka kiasi gani kabla ya kuingiliwa na wizara mama? Kama mbia akija akatangaza nafasi za utendaji ili zishindaniwe, hataingiliwa na wizara mama, kwa nini utendaji usiwe mzuri? Ubia au ubinafsishaji siyo suluhisho pekee.Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.
Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?
Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.
Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.
--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.
Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.
View attachment 2153881