Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

Wakati Ticts ana bid ilisemekana Tanzania Road Haulage nae alikuwa ana nia ya kuwa mbia kuendesha bandari, Yawezekana Kati ya Azam na Gsm mmojawapo naye anaitaka hiyo tenda.

Uzoefu ulioanishwa na mtoa mada mmoja unaonesha sehemu zote tulizoingia ubia ilikuwa ni kichaka cha watu kupata fedha na sio kuongeza ufanisi.

TPA badala ya kununua mitambo na kuongeza training kwa wafanyakazi ili waweze.kutenda kazi bora bado kunanusua sua sababu ya siasa. Mchawi mkubwa wa ufanisi ni vyeo vya kuteuana kisiasa bila kufuata weledi.
 
Lakini kwa upande mwingi, hili ni jambo zuri sana. Wagiriki waliwapa wachina bandari na leo ni moja ya bandari kubwa kabisa Ulaya. Uzalendo na upuuzi mwingine wakati mabo yanazidi kwenda mrama ni upumbavu wa kiwango kikubwa sana.
 
Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.

Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?

Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.

Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.

--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.

Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.

View attachment 2153881
Tena hii hatua tumechelewa sana tu, Nitajie shirika moja tu tumeendesha kwa ufanisi hakuna shirika jepesi kama TTCL maana wana upendeleo wote kulishika soko lakini utasema wanaishi karne ya 18. wacha walete private na serikali iwe na share kubwa ni kulipa operating cost tu
 
Wewe ukifanya mwenyewe unakusanya Bil 90 lets say kwa mwezi hapo Bandari - Mwekezaji anakuja anakwambia atakusanya Bil 400 afu wewe atakupatia Bil 300. Mkataba wa miaka 10 with uplift ya 5% kila mwaka , je utakataa ama utakubali ?
 
Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.

Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?

Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.

Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.

--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.

Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.

View attachment 2153881
Siku hizi bandari zote kubwa duniani zinaendeshwa kibiashara. Kuna makampuni mahsusi yaliobobea kazi hizo.

Kuingia ubia ndio njia sahihi kwa dunia ya leo.

Nnamini bandari ya Dar ilivyokaa vizuri geographically, na nchi landlocked zinavyotuzunguka, bandai ya Dar pekee inaweza kuendesha budjet ya serikali kwa Tanzania nzima.

Nchi kama Singapore na Dubai hazina zinachojivunia zaidi ya badari zao nandio vyanzo vyao vyote vya mapato vinatokea hapo. Kwanini sisi tusindwe? Wizi mtupu banadarini Dar. Wizi wa Bandarini ni kansa iliyopo kila idara (each and every department).

Kama yalivyokufa mashirika yote umma na badari haipo salama tukiedelea kuiedesha wenyewe. Apewe tajiri mmoja aiendeshe tujionee mabadiliko.

Wala haina haja ya kuwa rocket science kuelewa kuwa bandari kwa Tanzania ina faida kubwa sana ikiendeshwa ipasavyo. Mfano mzuri ni Bagamoyo, nchi na wafanya biashara matajiri wa nje wapo tayari kuingiza na kuwekeza pesa kibao kujenga banadari na mji mpya kabisa wa kisasa, ili waingie ubia wakuiendesha bandari tu. Watafanya hivyo kama hawajaiona faida kwenye upembuzi wao?

Mama hata polisi ingia ubia iendeshwe professionally, maana imeshindwa kabisa kulinda mali za Watanzania na badala yake wanaua raia kwa thamani ndogo tu.
 
Wewe ukifanya mwenyewe unakusanya Bil 90 lets say kwa mwezi hapo Bandari - Mwekezaji anakuja anakwambia atakusanya Bil 400 afu wewe atakupatia Bil 300. Mkataba wa miaka 10 with uplift ya 5% kila mwaka , je utakataa ama utakubali ?
Sawa kabisa na hauna headache ya utawala wa bandari. Nitachukua huo mkataba haraka sana. Tena na mishahara na mafao ya wafanyakazi itaboreshwa na wenye kujuwa walifanyalo. Wezi wote wa hapo watatafuta pa kutokea wenyewe.
 
Kama ni kweli mama kasema hivyo, binafsi namuunga mkono 100% kwenye hili.
 
Tena hii hatua tumechelewa sana tu, Nitajie shirika moja tu tumeendesha kwa ufanisi hakuna shirika jepesi kama TTCL maana wana upendeleo wote kulishika soko lakini utasema wanaishi karne ya 18. wacha walete private na serikali iwe na share kubwa ni kulipa operating cost tu
Sasa hapo umejichanganya mwenyewe, TTCL ilibinafsishwa kwa MSI waholanzi hawa. Lakini mwisho wa siku TTCL ndio ikafa kabisa, Bora hata walipoacha hao MSI Sasa hivi kidogo Ina uhai.

MSI waliifilisi TTCL na kuiacha na madeni makubwa.

Tukiachana na hao TTCL ambao umewatolea mfano bila.kujua waliowahi kuendeshwa na private.

Kuna Hawa ATCL, Reli na Tanesco, nadhani unajua kilichowakuta nao kwa kufanya hivyo
 
Mungu wa mbinguni ni mwema zile siasa za kufikirika hazipo tena.

Kuna wakati unaweza kujiuliza ni kwanini CCM ilimkata mzee Lowassa asigombee urais.

Kisha unashangaa kwanini Chadema waliokuwa wanapinga ufisadi walimwomba Lowassa agombee urais kupitia Ufipa.

Kisha utabaini kuwa mzee Lowassa ni mwanasiasa bora kabisa kuwahi kutokea katika nchi hii mwenye mtazamo na msimamo kamili wa kibepari.

Tanzania ya Ujamaa ni ya kufikirika tu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kwahio hawa ambao walitaka kutapeliwa na wale madalali wajenga meli wa Uturuki leo ndio wanatuletea Mbia

We never seem to learn from History...., (History Always repeats Itself)
 
Sawa kabisa na hauna headache ya utawala wa bandari. Nitachukua huo mkataba haraka sana. Tena na mishahara na mafao ya wafanyakazi itaboreshwa na wenye kujuwa walifanyalo. Wezi wote wa hapo watatafuta pa kutokea wenyewe.
Mkuu, hela ya hao wezi ndiyo iliyokuwa inasambaa mjini na kufanya uchumi kusogea, huoni kwamba ukakuwa umezima chanzo cha ku bust uchumi wa mtaani.?
 
Wewe ukifanya mwenyewe unakusanya Bil 90 lets say kwa mwezi hapo Bandari - Mwekezaji anakuja anakwambia atakusanya Bil 400 afu wewe atakupatia Bil 300. Mkataba wa miaka 10 with uplift ya 5% kila mwaka , je utakataa ama utakubali ?
Mkuu Hilo kwa Tanzania hii limewahi kutokea shirika gani?
Mwinyi aiwahi kutafuta mwekezaji wa Kilimanjaro hotel kwa story Kama hizo, mwishowe unajua kilichotokea.

Mkapa nae akaja kubinafsisha mashirika kwa story Kama hizo unazosema, TTCL, Tanesco, Reli zinapotea

JK nae akaja na story hizohizo kwenye Reli na ATCL mwisho wote unajua ilikuaje.

Hakuna shirika hapa bongo liliwahi kutafutiwa mbia likafanya vizuri, yote yalifilisika na mengine kufa kabisa
 
Sasa hapo umejichanganya mwenyewe, TTCL ilibinafsishwa kwa MSI waholanzi hawa. Lakini mwisho wa siku TTCL ndio ikafa kabisa, Bora hata walipoacha hao MSI Sasa hivi kidogo Ina uhai.

MSI waliifilisi TTCL na kuiacha na madeni makubwa.

Tukiachana na hao TTCL ambao umewatolea mfano bila.kujua waliowahi kuendeshwa na private.

Kuna Hawa ATCL, Reli na Tanesco, nadhani unajua kilichowakuta nao kwa kufanya hivyo
Hayo yalikuwa madili ya wachahe fulani. Mbona Airtel waliiendesha vizuri walipoinunua?
 
Siku hizi bandari zote kubwa duniani zinaendeshwa kibiashara. Kuna makampuni mahsusi yaliobobea kazi hizo.

Kuingia ubia ndio njia sahihi kwa dunia ya leo.

Nnamini bandari ya Dar ilivyokaa vizuri geographically, na nchi landlocked zinavyotuzunguka, bandai ya Dar pekee inaweza kuendesha budjet ya serikali kwa Tanzania nzima.

Nchi kama Singapore na Dubai hazina zinachojivunia zaidi ya badari zao nandio vyanzo vyao vyote vya mapato vinatokea hapo. Kwanini sisi tusindwe? Wizi mtupu banadarini Dar. Wizi wa Bandarini ni kansa iliyopo kila idara (each and every department).

Kama yalivyokufa mashirika yote umma na badari haipo salama tukiedelea kuiedesha wenyewe. Apewe tajiri mmoja aiendeshe tujionee mabadiliko.

Wala haina haja ya kuwa rocket science kuelewa kuwa bandari kwa Tanzania ina faida kubwa sana ikiendeshwa ipasavyo. Mfano mzuri ni Bagamoyo, nchi na wafanya biashara matajiri wa nje wapo tayari kuingiza na kuwekeza pesa kibao kujenga banadari na mji mpya kabisa wa kisasa, ili waingie ubia wakuiendesha bandari tu. Watafanya hivyo kama hawajaiona faida kwenye upembuzi wao?

Mama hata polisi ingia ubia iendeshwe professionally, maana imeshindwa kabisa kulinda mali za Watanzania na badala yake wanaua raia kwa thamani ndogo tu.
Sikutegemea ungesema tofauti na hivi.
Ni shirika gani tuliwahi kuingia ubia likafanya vizuri?
 
Back
Top Bottom