Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

Sakata la DP WORLD: Rais Samia asema Serikali itatafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar, sasa kuchangia robo tatu ya bajeti ya nchi

Watanzania wengi sana wana akili za kitumwa, na mtumwa hata umfanye nini utumwa upo ndani ya damu yake.

Kumiliki kila kitu cha nchi na serikali ndio ikiendeshe ni enzi za utumwa na Ufalme.

Duniani sasa hivi serikali zinabaki kuwa "facilitators", hata ajira zinabaki kuwa kenye private sectors tu kwa wingi. Serikali inabaki na wafanya kazi wachache sana ambao kazi zao zinabaki kuwa acilitators tu na si utendaji wa kina. Feda zinatakiwa mzunguko urudi kwa raia wapate kujiendeleza.

Mama Samia, achana na majuha wenye fikra za kitumwa wachache ambao wanataka kila biashara kubwa iendeshwe na serikali, hao ni wezi na ama wana akilli za kitumwa tu. Bandari zote kubwa duniani sasa hivi haziendeshwi na serikali zao. Sifahamu Tanzania kwanini tumeshelewa sana kwenye hilo?

Mama Samia nakuunga mkono 100% kwenye hili la bandari kupewa mbia aiendeshe.
Nimekuelewa, kumbe inawezekana hata Bandarini.
 
Watanzania wengi sana wana akili za kitumwa, na mtumwa hata umfanye nini utumwa upo ndani ya damu yake.

Kumiliki kila kitu cha nchi na serikali ndio ikiendeshe ni enzi za utumwa na Ufalme.

Duniani sasa hivi serikali zinabaki kuwa "facilitators", hata ajira zinabaki kuwa kenye private sectors tu kwa wingi. Serikali inabaki na wafanya kazi wachache sana ambao kazi zao zinabaki kuwa acilitators tu na si utendaji wa kina. Feda zinatakiwa mzunguko urudi kwa raia wapate kujiendeleza.

Mama Samia, achana na majuha wenye fikra za kitumwa wachache ambao wanataka kila biashara kubwa iendeshwe na serikali, hao ni wezi na ama wana akilli za kitumwa tu. Bandari zote kubwa duniani sasa hivi haziendeshwi na serikali zao. Sifahamu Tanzania kwanini tumeshelewa sana kwenye hilo?

Mama Samia nakuunga mkono 100% kwenye hili la bandari kupewa mbia aiendeshe.
Wewe hujawahi kumpinga Rais wa sasa
 
Mkuu , upande wa TICTS wanafanya kazi very professional sio kama huku kwa wazaramo TPA. Swala la mapato ndio wanatakiwa waangalie kwa ukaribu zaidi mifumo ya TICTS imekaa vizuri kuliko TPA . Wabadilishe tu mifumo yao ya malipo inaleta lope hole za watu kupiga pesa. Ndio maana wanapaita shamba la bibi upande wa TPA ila upande wa TICTS mzee hauwezi kufanya magumashi ukafanikiwa .
Kwa mustakabali huu kwanini bandari yote wasipewe ticts?

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Ewe mwanamke wa Nchi Hiyo bandari hapo ndio roho ya Tanzania unataka kuitoa au kuigawa?
Mbona nmb na nbc zilikuwa zinahemea mashine mpaka walipopewa wawekezaji ndio zikaanza kufanya vizuri tena?

Tuache uoga km bandari ikiwa na mbia inafanya vizuri zaidi basi wapewe.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.

Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?

Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.

Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.

--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.

Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.

Tulisha-ibinafsha bandari ikawa vurugu tupu na hapakuwa na tija yeyote kwenye uninafsishaji ule.Sasa tunarudi tena huko huko,jamani nani katuloga?Kitu gani kinatufanya tuamini kwamba things will be different this time around.

Mimi huwa nashangaa sana,kwani hao wabia si watu kama sisi?Kwa nini wao waweze sisi tusiweze?What is wrong with us.Nadhani ipo haja ya kujitafakari.
 
inaweza kuwa sawa na sio sawa pia..

Watanzania wengi wetu ni wajinga sana, toka nimepata akili hii bandari kila siku ni matatizo tu na failures kuanzia enzi za Mwinyi mpaka Samia bado pale bandarini ni shida tu.....

Watanzania ni wepesi sana kulaumu viongozi wa Serikali huku hao hao ndio watendaji wajinga kula virushwa vidogodogo, uvivu kazini, kutojiongeza, nk...
 
Bandari ya Bagamoyo mkataba uko kwenye mapitio, Bandari ya Mtwara kuna makubaliano na Dangote sijui kufanyaje, sasa ni kwenye bandari ya taifa anapewa mkoloni, huko Ngorongoro sijui anakuja nani.

Swali ni je, mwekezaji wa Bagamoyo na bandari ya Dar atakuwa Mtanzania? au kuna mtu atatoka huko Oman au Dubai na briefcase aingie na proposal yake hapo NMB akope kodi zetu na aanze kuvuna? Kama anatoka nje ya Tanzania basi ni kwamba tangu mkoloni aondoke hatujawahi kuwa na akili ya kujitegemea hadi kuendesha uchumi wetu wenyewe tunahitaji mtu atushikie miguu.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Tatizo kubwa lipo katika mamlaka za uteuzi. Hawataki kujiongeza na wameshindwa kutafuta kwa dhati Watanzania wenye sifa stahiki na uthubutu wa kuleta mageuzi chanya.

Udhahifu huu mkubwa pengine unatokana na maslahi yaliyojificha ya kisiasa na kiuchumi. Maslahi yanayopelekea kundi fulani kufaidika kutokana uozo uliopo. Na pengine maguezi ya dhati yakifanyika yatapelekea kuwepo kwa "fear of unknown" kwa kundi hili.

Serikali bila hata haja ya kutafuta mbia mpya, inaweza kufanya kile ambacho kilipelekea kuanzishwa kwa TRA mwaka 1996. Uendeshaji wa Bandari ya DSM uundiwe sheria sheria yake ya kujisimamia na kujiendesha kimapato.

Sheria hii iifanye TPA kuwa "semi autonomous" kiuendeshaji, na ipangiwe malengo ya kimkakati ya kukusanya mapato. Mkurugenzi Mtendaji apewe KPIs katika maeneo ambayo yataainishwa, ili akiboronga aondolewe mara moja. Hizo KPIs zake atazi "cascade" wasaidizi wake, na kwenda chini kwa kila mfanyakazi.

Kila mfanyazi itampasa kupimwa utendaji wake wa kazi na ufanisi wake kwa mwaka kupitia "targets" atakazowekea kupitia hizo KPIs. Yule asiyefikia "targets" ashushwe cheo ili apishe mwingine mwenye kuweza kuleta matokeo chanya.

Tukirudi katika mamlaka za uteuzi, ziwe na uwazi katika kutangaza, kushindanisha na hatimaye kuchagua wale wenye sifa za kuliongoza shirika hili nyeti. Hili suala la kuleta majina yale yale, ama yenye mahusiano ya karibu ama maslali na watawala, ndilo kaburi lenyewe la uendeshaji wa bandari zetu.


Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Hatari sana, hadi Bandari anapewa muwekezaji
Hakuna kisichoendeshwa kwa uwekezaji.

Badala ya nchi kutumia kuwekeza kwenye bandari ambayo kila kinachowekezwa hakitunzwi, ni bora vipi? Waendelee kuwekeza kwa kuwapa wasiozalisha faida au uwape wawekezaji wawekeze mitaji yao, waendeshe kivyao, watu wako wapate ajira na wewe hazina unaletewa faida tu?

Hata juha atakuba kuwa ni bora apewe mwekezaji mbia.
 
Hakuna kisichoedeshwa kwa uwekesaji.

Badala ya nchi kutumia kuwekeza kwenye bandari ambayo kila kinachowekezwa hakitunzwi, ni bora vipi? Waendelee kuwekeza kwa kuwapa wasiozalisha faida au uwawpe wawekezaji wawekeze mitaji yao, waendeshe kivyao, watu wako wapate ajira na wewe hazina unaletewa faida tu?

Hata juha atakuba kuwa ni bora apewe mwekezaji mbia.
Wee kweli keng.ee yaaani unaunga mkono huu ujinga
 
Ifike pahala tuanze kupima ubongo wa kila anayetamani kuwa kiongozi ikiwa anakidhi kusimamia nchi na rasilimali zetu!!!
 
Nimeona Rais akisema Serikali kutafuta mbia wa kuiendesha bandari ya Dar es Salaam ili kuleta ufanisi na kuongeza mapato.

Ni kweli tunahitaji mbia wa kuiendesha bandari ya Dar? Sisi wenyewe imeshindikana kabisa?

Tumewahi kufanya hivi kwenye reli, shirika la ndege lakini tunajua kilichotukuta.

Hii haiwezi kuja kuiua hii bandari kwa maana tunajuana vizuri sisi hasa linapokuja suala la maslahi.

--
Rais Samia Suluhu amesema maboresho yanafanyika kwenye Bandari ya Dar es Salaam ikiwa ni pamoja na kupata mbia wa kuiendesha, kubadili uongozi na miundombinu ili kuongeza ufanisi.

Amesema robo tatu ya bajeti ya nchi inaweza kutegemea bandari endapo zitafanya kazi inavyotakiwa.

Acha tuendelee na kili za kiutopolo topolo kama hizi, kizazi cha watumwa ni watumwa tu, akili za kitumwa profile failure haiwezi kuwa smart never tena ndio iwe elimu unga ungamwana tuendeelee kuvaa leso puani huku tukiuliza na kutafuta mtoa ushuzi. Aibu ya karne. Ugalasa nao unaubora
 
Back
Top Bottom