Sakata la Escrow: AG Werema amvaa Kafulila, Amwita tumbili asiyeweza amua mambo ya msituni

Sakata la Escrow: AG Werema amvaa Kafulila, Amwita tumbili asiyeweza amua mambo ya msituni

Wote waliopata huo mgao warudishe kisha washitakiwe hatutaki maigizo hapa, kwa sababu aliyegawa ameshatangulia keko basi wote waliopokea wamfuate mfadhili wao.
 
Kuna watu wamekuwa wakibisha kuwa spika wa bunge hapendelei chama tawala, mara zote wanadai wabunge wa upinzani ndio hawana nidhamu, je aliyemwita Kafulila tumbili alichukuliwa hatua gani? je kama wabunge wa ccm wananidhamu mbona walishangilia na kupiga meza wakati Kafulila anatukanwa? Je mbunge wa upinzani angemwita mbunge wa ccm tumbili kamati ya maadili ingenyamaza?

Leo Rais Magufuli anapomsifia Kafulila kuwa ni mzalendo wa kweli alitetea raslimali za nchi je chama chake kilimuunga mkono Kafulila au uvccm walimtukana na kumkashfu, leo utasikia uvccm wakijitokeza hadharani kumuunga mkono Rais kwa kumsifia Kafulila.

Kama Rais amediriki kusema kuwa kafulila alikuwa anapelekwa mahakamani kwa ajili ya kutetea maslahi ya taifa, anaweza pia kukubaliana na mimi kuwa Lissu anapelekwa mahakamani kwa ajili ya maslahi ya taifa?

CCM mnaumbuka sasa, mliyemsifia anawavua ngua hadharani
 
Asingechukua hatua kwa kuwa hakuwa Mtanzania na hakuwa binadamu kamili.

Kwa kuwa hakuwa ccm na aliokuwa anawasema ni ccm, ni sawa sawa kabisa alilkuwa anamsema spika na familia yake. Hivyo yeye kuitwa tumbili ilikuwa ni mishare kutoka familia ya spika kwa maana alikuwa pia akiwasilishwa spika.

Kwa ufafanuizi zaidi ailikuwa adui kama wale wanaozuiliwa hata kuonwa wakipata shida ama wakifariki, misiba yako haina maana.

Akirudi ccm utaona anavyosifiwa na mtu amwite tumbili aone cha mtema kuni.

CCM ni mauti ya taifa.
 
Kuna watu wamekuwa wakibisha kuwa spika wa bunge hapendelei chama tawala, mara zote wanadai wabunge wa upinzani ndio hawana nidhamu, je aliyemwita Kafulila tumbili alichukuliwa hatua gani? je kama wabunge wa ccm wananidhamu mbona walishangilia na kupiga meza wakati Kafulila anatukanwa? Je mbunge wa upinzani angemwita mbunge wa ccm tumbili kamati ya maadili ingenyamaza?

Leo Rais Magufuli anapomsifia Kafulila kuwa ni mzalendo wa kweli alitetea raslimali za nchi je chama chake kilimuunga mkono Kafulila au uvccm walimtukana na kumkashfu, leo utasikia uvccm wakijitokeza hadharani kumuunga mkono Rais kwa kumsifia Kafulila.

Kama Rais amediriki kusema kuwa kafulila alikuwa anapelekwa mahakamani kwa ajili ya kutetea maslahi ya taifa, anaweza pia kukubaliana na mimi kuwa Lissu anapelekwa mahakamani kwa ajili ya maslahi ya taifa?

CCM mnaumbuka sasa, mliyemsifia anawavua ngua hadharani
Hawa watu huwa wanashangaza sana!! Sasa hivi akili imewarejea, jana ndo wamegundua tumbili lilikuwa tusi baada ya mkuu kulitamka. Ipo siku na kwa Lisu itakuwa hivyo hivyo. Wacha waendelee kujikoroga tu.
 
Back
Top Bottom