Vedasto-Zacharia
Senior Member
- Jun 6, 2014
- 113
- 30
Ha ha ha ha nimecheka sana, mbona mwaka huu mkoa wa mara utatikisika. Wezi wote wametoka Mara na kanda ya Ziwa kunani?
E Lowasa kumbe naye anatoka kanda ya ziwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha ha nimecheka sana, mbona mwaka huu mkoa wa mara utatikisika. Wezi wote wametoka Mara na kanda ya Ziwa kunani?
Ha ha ha ha nimecheka sana, mbona mwaka huu mkoa wa mara utatikisika. Wezi wote wametoka Mara na kanda ya Ziwa kunani?
Sasa na wafadhili wamenuna!
Kwa hiyo tutakula nyasi kama mnyama farasi? ?
tatizo lako mkuu unaga ushaidi huwa unakurupuka tu kama mdudu vileWerema alishalipwa mgao wa 2bilioni kwenye wizi wa 200bilioni.
Werema alishalipwa mgao wa 2bilioni kwenye wizi wa 200bilioni.
Katika hali isiyokuwa ya kawaida bunge la asubuhi limemaliza kwa mvutano mkali baada ya Kafulila kuomba muongozo juu ya ESCROW na wizi uliofanyika.
Ndipo AG alipoitwa kutoa maelezo kwanza, alianza kushambulia vielelezo vya Kafulila kuwa ni vipeperushi tu hali hiyo ilipelekea Mnyika kudai kuhusu utaratibu lakini mwenyekiti [Zungu] akampotezea.
AG aliendelea kuonyesha ubabe na kumtaka Kafulila wakutane nje kama anamambo mengne ila bungeni kunautaratibu wake [walikuwa wakimwingilia wakati anazungumza wakionesha kutokubaliana naye].
Akazidi kupandwa na hasira akamwambia Kafulila wewe ni sawa na tumbili hasiyeweza kuamua mambo ya msituni [Msemo wa kijaluo kwa mujibu wa AG].
Kelele zikazidi mwenyekiti amehairisha bunge amemtaka Kafulila na Mnyika wapeleke ushahidi wao juu ya Escrow kwa CAG na PCCB.
Nadhani jioni kutazuka miongozo tena!
TUMBILI , labda anayeandika tumbiri kazoea lafudhi ya kipareJamani Kiswahili sasa kinanajisiwa...sijui ni kwa bahati mbaya au kwa makusudi. Mtu akiandika Kiingereza cha kuokoteza niko tayari kumsamehe lakini Kiswahili tena lugha ya Taifa! Hakika inasikitisha...hivi tumbiri ndio mdudu gani!
Sisi tunazungumzia ESCROW akaunti hayo ya LOWASA hayahusika kwenye kashfa inayohiti sasa labda kama ulikuwa na jambo nae.E Lowasa kumbe naye anatoka kanda ya ziwa?
kinachotakiwa ujumbe ufike tu hayo mangine ni mwembembe tuTUMBILI , labda anayeandika tumbiri kazoea lafudhi ya kipare
kweli kabisa mkuu, ila hizi simu zetu za sasa zinaharibu kabisa maneno, mfano hilo nililo highlight hapo, hope ulikusudia kuandika mbwembwekinachotakiwa ujumbe ufike tu hayo mangine ni mwembembe tu
Waafrica ni wabaguzi sana , Suarez alimuita evra nigga akashughulikiwa kwa ubaguzi.Tanzania ni raha sana kiongozi mkubwa serekalini anamtukana mtanzania mwenzake live bila chenga na anaacha anaendelea kutanua, mareka ukwimwita binaadamu mwenzako tumbili utakoma bila kujali nyazifa au uwezo gani wa fedha
------ wewe nyokoooooHaya ni mawazo yako wewe wenzako wachache, fedha za escrow ni stahiki halali ya IPTL na itabaki hivyo na ripoti ya kihasibu ya CAG itasema hivyo, hayo ya ufisadi ni kelele zenu na ajenda tu za kisiasa.
Msishangilie jamani. Namkumbuka Mtemi Mkwawa na uganga wake wa ajabu. Kugeuza risasi kuwa maji. Matokeo yake ni maji maji, mwishowe kunyongwa.
Tumbili, anajiamini saana tu, lakini, kaushauri kangu. Nimesikia fununu kuwa baba mwenye kaya anarudi na akija kabla hajaingia kule Magogoni, nasikia atii stop ya kwanza ni pale Mjengoni kwa ma/bi kinda. Unajua atasema nini???
Baba kaya hatabiriki. Kama orodha za wauza sembe/ngano anazo, anwani za wamaliza tusker anazo mpaka nyumba wanazo kaa. Hakuna chochote walicho fanyiwa. NASEMA; We Tumbili, huu ni upepo tu unavuma, nao haukai, utapita tu na shamba la bibi litatulia. Wavunaji wataendelea. Hakuna mtu aliyejua kuwa kuna pahala zimewekwa/zimelundikwa tena pesa nyingi namna hiyo baada ya EPA. Leo, sijui zingine zi wapi, zikilapuliwa, kelele za Tumbili tutazisahau na kukimbilia huko.
si unajua mambo ya masimu ya kichina yanavyo zinguakweli kabisa mkuu, ila hizi simu zetu za sasa zinaharibu kabisa maneno, mfano hilo nililo highlight hapo, hope ulikusudia kuandika mbwembwe
Werema ni kichwa balaa