denooJ
JF-Expert Member
- Mar 31, 2020
- 18,509
- 68,228
- Thread starter
- #21
Hivi kwani nyie hamna mechi inayokuja, naona mnatuwazia sana klabu ya taifa, mnyama mkali, msijali sisi ndio wenyewe.[emoji1306][emoji1306]wamejikita kwenye umbea sasaiv badala ya kuangalia mechi inayo kuja watafanyaje wasibakwe tena [emoji23][emoji23][emoji23] simba sasaiv ni timu ya wagaga njaaa