Sakata la Fei Toto na Yanga SC, hatimaye ukweli wajulikana

Sakata la Fei Toto na Yanga SC, hatimaye ukweli wajulikana

Siju ni kipi kinawaumiza sana hawa Dunduka fc,ni kwamba wanamuonea huruma sana dogo kuliko wazazi walomzaa?,au ni ile performance yake ndo wanataka ikosekane pale kwetu,yes tunamuhitaji kwasababu hakuna mwenye performance yake nchi hii kwa wote iwe ametoka nje au wa ndani kwa timu zote,na ndo maana tulishakuwa na mazungumzo nae tangu kabla ya yy kuvunja mkataba ila dogo alihisi hatutaweza kufika dau aliloahidiwa kule kwingine that's why hakuwa anarespond kukaa mezani na uongozi hadi alipoamua kuvunja mkataba bila kufuata sheria,na kipengele cha kuvunja mkataba bila maridhiano katikati ya msimu hakipo,Fei alitakiwa asubir msimu huu uishe ndo avunje mkataba,Dunduka hilo hawalijui wao wanakomaa kusema kaonewa na bla bla kibao,unadhani hao wanasheria wake walishindwa kwenda CAS? na ilhali wao ndo walipambana na Morison?,ishu ya Morison ilikuwa nyepesi kuliko hii ya fei ndo maana wameamua kunyoosha mikono juu baada ya kupata maoni hadi ya wanasheria wa nje wanaojua masuala ya soka vizur,unadhani mwanasheria anakibali kirahisi kuacha pesa kirahisi hivyo?,wangeshinda hii kesi ya fei wangepiga pesa ndefu na pia wangejenga majina zaidi kwa wanasoka wengine wa ndani,acha wapige kelele wakidhani fei kaonewa ila wanasheria wanajua nje ndani,waendelee kumsikiliza yule bint Kazumari akidanganya kwa kuichukia kwake Young Africans
Hili gazeti loote shida nini[emoji1787][emoji1787] au dogo Fei kuwachuchumalisha🫣🫣
 
Siju ni kipi kinawaumiza sana hawa Dunduka fc,ni kwamba wanamuonea huruma sana dogo kuliko wazazi walomzaa?,au ni ile performance yake ndo wanataka ikosekane pale kwetu,yes tunamuhitaji kwasababu hakuna mwenye performance yake nchi hii kwa wote iwe ametoka nje au wa ndani kwa timu zote,na ndo maana tulishakuwa na mazungumzo nae tangu kabla ya yy kuvunja mkataba ila dogo alihisi hatutaweza kufika dau aliloahidiwa kule kwingine that's why hakuwa anarespond kukaa mezani na uongozi hadi alipoamua kuvunja mkataba bila kufuata sheria,na kipengele cha kuvunja mkataba bila maridhiano katikati ya msimu hakipo,Fei alitakiwa asubir msimu huu uishe ndo avunje mkataba,Dunduka hilo hawalijui wao wanakomaa kusema kaonewa na bla bla kibao,unadhani hao wanasheria wake walishindwa kwenda CAS? na ilhali wao ndo walipambana na Morison?,ishu ya Morison ilikuwa nyepesi kuliko hii ya fei ndo maana wameamua kunyoosha mikono juu baada ya kupata maoni hadi ya wanasheria wa nje wanaojua masuala ya soka vizur,unadhani mwanasheria anakibali kirahisi kuacha pesa kirahisi hivyo?,wangeshinda hii kesi ya fei wangepiga pesa ndefu na pia wangejenga majina zaidi kwa wanasoka wengine wa ndani,acha wapige kelele wakidhani fei kaonewa ila wanasheria wanajua nje ndani,waendelee kumsikiliza yule bint Kazumari akidanganya kwa kuichukia kwake Young Africans
Habari ikufikie popote ulipo ni kwamba yanga wamemoigia fei magoti na wamempa anachokitaka. Na jumapili atakuwa jukwaani kuwacheka mnabopigwa na madhembe kuwaaminisha kwamba ameshamalizana na yanga.
 
Wenye busara walichotaka ni mchezaji kujua ni mwajiriwa, arudi kwa mwajiri wake akaombe anachotaka, mwajiri aseme anachoweza, maisha yaendelee. Kuamka asubuhi na kusema nimevunja mkataba haipo popote katika ulimwengu wa soka. Kama Yanga wangefanya hivyo kwa Feisal tunhewapiga mawe kama tulivyofanya kwa Feisal. Dejan alisema anajiondoa Simba na hakudai kitu, Simba wakaangalia potentiality yake wakasema kuvuja kwa pakacha nafuu ya mvuvi. Lakini Dejan anhekuwa na impact Simba wasingemwacha azurure huko umwerani.
 
Kitendo cha Fei kurudi Yanga kiniumize vipi wakati mimi ndie nilikuwa nasisitiza yeye ndie mwenye haki na sio Yanga SC waliobebwa na TFF kwenye maamuzi?

Ikiwa kapewa mkataba mpya, kwangu hiyo ndio haki yenyewe kwake, na kinaonesha wazi Yanga Sc hawajui mambo ya mikataba.
Huna relevant evidence we ni roporopo tu wa mihemko, unahemkwa na mapenzi yako ya vilabu vya kariakoo
 
Watanzania wengi ni wapuuzi na hatupendani wenyewe kwa wenyewe walijua yule ming'iniza midomo atawasaidia kumbe hamna kitu kazi kurembua tu

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Watanzania wengi ni wapuuzi na hatupendani wenyewe kwa wenyewe walijua yule ming'iniza midomo atawasaidia kumbe hamna kitu kazi kurembua tu

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Huna grounds, kawapende kwanza akina shabalala pale kwenu na ukaulize wanalipwa bei gani ndio uje hapa na ushuzi wako.
 
Proudly sponsored by Sheria Ngowi ~3-1
IMG_20230219_223705_580.jpg
 
Wenye busara walichotaka ni mchezaji kujua ni mwajiriwa, arudi kwa mwajiri wake akaombe anachotaka, mwajiri aseme anachoweza, maisha yaendelee. Kuamka asubuhi na kusema nimevunja mkataba haipo popote katika ulimwengu wa soka. Kama Yanga wangefanya hivyo kwa Feisal tunhewapiga mawe kama tulivyofanya kwa Feisal. Dejan alisema anajiondoa Simba na hakudai kitu, Simba wakaangalia potentiality yake wakasema kuvuja kwa pakacha nafuu ya mvuvi. Lakini Dejan anhekuwa na impact Simba wasingemwacha azurure huko umwerani.
Hap suala sio mwajiriwa kurudi kwa mwajiri na kuomba, hapa suala lililopo ni mkataba unasema nini.. full stop.
 
Huna relevant evidence we ni roporopo tu wa mihemko, unahemkwa na mapenzi yako ya vilabu vya kariakoo
Tatizo lenu hampendi magazeti mpaka pale yatakapowasifia[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Watanzania wengi ni wapuuzi na hatupendani wenyewe kwa wenyewe walijua yule ming'iniza midomo atawasaidia kumbe hamna kitu kazi kurembua tu

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Wamekuwa wakali balaa.. wanaendelea kumlipa mshahara mfanyakazi asiyeenda kazini, Fei ni mkubwa zaidi ya utopolo wote.
 
Hiki ndicho kilichobakia msimu huu, maana kwa Sportpesa tayari kumebuma. Endeleeni kukomaa na swala la Feisal wakati Yanga inaendelea kuchanja mbuga kutimiza malengo yao ya msimu.
 
Back
Top Bottom