Sakata la Fei Toto, Yanga inachekesha na kusikitisha

Matakataka ya msimbazi ndy yapo busy na habari za Feisal Salumu lkn YANGA hawana habari nae maana pengo lake halipo mpaka sasa tangu aondoke huyo mpemba YANGA wameshinda mechi zote kasoro ile ya Tunisia hivyo mbumbumbu fc tulizeni vinyeo vyenu Yanga inapiga mwendo[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 

You are idiot, pumbavu usiyekuwa na mfano hujui kitu we mbwa. Mkataba una taratibu zake kuingia na kutoka.
Nimpoteza muda kusoma upumbavu wako
 
You are idiot, pumbavu usiyekuwa na mfano hujui kitu we mbwa. Mkataba una taratibu zake kuingia na kutoka.
Nimpoteza muda kusoma upumbavu wako
Nashukuru sana kwa mchango wako
 
Umeniunganisha kuwa mwanachama wa simba bila kunilipia kadi, wakati mimi nilisimama kwenye utu tu.Feisal hata akilipwa milioni mia mbili hanigawii japo.Mungu awajalie mumpate tena mkuu.
Hakugawi kivipi wakati ndio ameshagawanyika. Mtoa mada aliyeshusha watu pamoja na taasisi hadhi na kutokuheshimu, ukamuona yupo sahihi kwavile umefurahia alichokiwasilisha kimekufurahisha. Ila mimi kumjibu kiwa ana upeo mdogo ikakuuma mno kuwa nimeshindwa kuheshimu watu.
 
Kwanini swala hili TFF imeamua kulifanya siri haitaki kutoa mchanganuo wa kanuni zilizotumika kuhukumu pamoja na sheria aliyovunja Feisal kila mtu aone

Hiyo ndio hoja yangu mimi
Wakili msomi umemtelekeza mteja wako
 
Malalamiko ya yanga ni Feisal kuvunja mkataba kihuni, kamati imeamuru Feisal bado ni mchezaji halali wa yanga
Inshu ya kumuwajibisha ni yanga tena kupeleka malalamiko yao juuvya utoro wa mchezaji wao, ndipo hatua zitachukuliwa ila tff haiwezi kudeal na kesi amvayo haipo mezani kwao.
 
Yani hujielewi kabisa, stahiki zake ni zipi?
 
Wewe ni mwendawazimu kwani unajua nini kuhusu mkataba baina ya yanga na fei.?
 
Wengi tunashindwa kuelewa kuwa soko la michezo duniani linatawaliwa kitumwa. Na soko kubwa zaidi la michezo ni hili la mpira wa miguu aka soka.

Kila mchezaji ni mtumwa mambo leo. Anaetaka kujitowa kumilikiwa kwa mmiliki wake mmoja kwenda kwa mwengine ni lazima faida ipatikane na kanuni na sheria zilizowekwa, za utumwa mambo leo, lazima zifatwe na faida kubwa ioatikane kwa mmiliki wake wa sasa hivi, hawezi kuondoka kiholela, hata kesi ifike FIFA, ni hayo hayo tu.

Asiyeelewa hilo atalalamika sana.

Anaedhani utumwa umeondoka duniani huyo ni poyoyo, utumwa upo na sasa upo "regulated" kwa kanuni na sheria.
 
Mkuu utumwa haupo tena, hata kocha wa wydad katimuliwa bila yeye kutaka isipokuwa atalipwa fidia. Vivyo hivyo kwa fei
 
Mkuu utumwa haupo tena, hata kocha wa wydad katimuliwa bila yeye kutaka isipokuwa atalipwa fidia. Vivyo hivyo kwa fei
Huyo kocha nani atamnunuwa?
. Jiulize ntu anaetoka familia ya kimasikini kama fei toto ubavu wa kurudisha zaidi ya million mia moja anautowa wapi? Tumia kichwa chako kufikiri japo kiduchu.
 
Huyo kocha nani atamnunuwa?
. Jiulize ntu anaetoka familia ya kimasikini kama fei toto ubavu wa kurudisha zaidi ya million mia moja anautowa wapi? Tumia kichwa chako j+kufikiri japo kiduchu.
Unatumia hisia tu, swala sio nani kumnunua swala mkaba unaweza vunja mda wowote pasipo sababu ila utaladhimika kulipa fidia.
 
Huyo kocha nani atamnunuwa?
. Jiulize ntu anaetoka familia ya kimasikini kama fei toto ubavu wa kurudisha zaidi ya million mia moja anautowa wapi? Tumia kichwa chako j+kufikiri japo kiduchu.
We bibi jiheshimu.
 
Unatumia hisia tu, swala sio nani kumnunua swala mkaba unaweza vunja mda wowote pasipo sababu ila utaladhimika kulipa fidia.

Kwa hiyo sheria za FIFA ndio zimeandikwa kwamba mchezaji anaweza akavunja mkataba wake na klabu mida wowote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…