Alistalikopaul
JF-Expert Member
- Feb 2, 2019
- 720
- 1,995
Mchangieni aende CAS au nako huko wanasiasa watatia mkono?TFF wanatumiwa na wanasiasa, nikiandika uzi humu huwa naona wengine hamuelewi, sasa mtaelewa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchangieni aende CAS au nako huko wanasiasa watatia mkono?TFF wanatumiwa na wanasiasa, nikiandika uzi humu huwa naona wengine hamuelewi, sasa mtaelewa tu.
Kwa Leo Oscar Oscar baba mzungu chawa wa Othman Juma Kapuya umeongea point.Halafu hao wapuuzi wana hela ila cha ajabu wanashindwa kutumia njia stahiki ambazo zitawafanya wampate mchezaji wanayemtaka kuliko kutumia njia zisizo sahihi kama wanavyofanya sasaView attachment 2535550
Dah maswali magumu hayo ni balaa!Una upeo mdogo sana wa kufikiria.
Mshahara wa milioni nne, Feisal alisainiwa na nani kwenye mkataba? Alikuwa amelewa alivyokuwa anasaini? Alishikiwa bunduki wakati wa kusaini? Hakuona ni ndogo wakati anasaini? Je aligoma kusaini mpaka aongezewe au alilidhika nayo?
Unataka Yanga iachane na Feisali sawa je waachane kienyeji au kisheria? Kama kisheria unajua ni taratibu zipi za kufuata timu inayomuhitaji Feisal?
We bana wee, baada ya hukumu nani hupewa nakala ya hukumu/ mwenendo wa kesi?Kwanini swala hili TFF imeamua kulifanya siri haitaki kutoa mchanganuo wa kanuni zilizotumika kuhukumu pamoja na sheria aliyovunja Feisal kila mtu aone
Hiyo ndio hoja yangu mimi
We bana wee, baada ya hukumu nani hupewa nakala ya hukumu/ mwenendo wa kesi?
Haki ipo kwa Fei.Mchangieni aende CAS au nako huko wanasiasa watatia mkono?
Ndio aitafute sasa haki haiombwiHaki ipo kwa Fei.
Mtoa mada ni KOUMER.Habari wakuu,
Ni dhahiri kwa hali ilipofikia inaonyesha fika kuwa Yanga wameamua kutia aibu brand ya klabu na mashabiki wao kuijumla.
Hii ni kuhusiana na sakata la Feitoto
Kila dalili zinaonyesha kuwa Fei haitaki Yanga lakini Yanga wanaonyesha ung'ang'anizi wa hali ya juu kwa mchezaji huyo, jambo linalotafsiriwa kama ni aibu kwa klabu upande wa wadau mbalimbali wa soka.
Tayari taswira inaonyesha kuwa Fei ni mkubwa kuliko Yanga kwa vitendo vinavyoonyeshwa na Yanga. Kutokana na hili hata Mama Fei mwenyewe anashangaa kwa nini Yanga wamekuwa Sikio la kufa kwa mteja wake!.
THIS IS INSANE FOR THE CLUB!
Tukumbuke nyuma kidogo Simba SC ilivyoonyesha hadhi yake mbele ya wachezaji wake mahiri kama Singano Messi na Emmanuel Okwi kudhihilisha ukubwa wa klabu mbele yao.
THIS IS HOW MUST BE!
Okay tuachane na hayo tuje kwenye ukweli sasa, Kama Yanga wanatambua mchango wa Fei kwenye klabu yao, kwa nini wasitimize au kumpatia stahiki zake ikiwemo na vigezo vyake anavyohitaji!?
Karibu Tanzania nzima inafahamu ni jinsi gani Feisal Maestro alivyoipenda sana Yanga, kiasi cha dhahiri kudhihilisha kuwa Yanga ndio waliomkosea kijana wao kwani si rahisi Feisal kuibadilika Yanga kufikia hatua hiyo.
Ikumbukwe mchezo huu mchafu haujaanza leo kwa klabu ya Yanga kutaka kudhulumu stahiki za wachezaji wake, na mara kadhaa kesi hizi zimepelekwa TFF na ngazi zingine za juu, endapo ukiangazia sakata la Kakolanya na Morrison.
Itoshe kusema dharau kwa wachezaji wa ndani zikome kwani kinachoangaliwa ni kiwango na si utaifa. Pili, Yanga ijitathmini maana kuhonga kwenye ngazi za Uongozi haiwezi tosha mbele ya haki ya mtu!.
Naomba wachezaji mjifunze kwa hili ambalo YANGA wanafanya kwa wachezaji wa ndani. Kwa kweli inasikitisha sana.
View attachment 2535389
Mjadala ungeishia hapa mkuu majibu yote yapo hapaUna upeo mdogo sana wa kufikiria.
Mshahara wa milioni nne, Feisal alisainiwa na nani kwenye mkataba? Alikuwa amelewa alivyokuwa anasaini? Alishikiwa bunduki wakati wa kusaini? Hakuona ni ndogo wakati anasaini? Je aligoma kusaini mpaka aongezewe au alilidhika nayo?
Unataka Yanga iachane na Feisali sawa je waachane kienyeji au kisheria? Kama kisheria unajua ni taratibu zipi za kufuata timu inayomuhitaji Feisal?
Katikati kabla mkataba ulio saini haujaisha unaamka na nyege kuwa hauitaji kuitumikia kablu iliyokusaini,MATAKO YA NYANIUna uhakika alikuwa akipatiwa hizo milioni nne!? Ulikuwa unashuhudia mkuu!?
Haina shida, sawa anapatiwa milioni nne haya sasa haitaji kuendelea kuitumikia klabu mbona sasa hamtaki kukaa mezani kuzungumza kuhusu kuvunja mkataba wake!
Yanga wengi ni wavivu wa kufikiri
Ajabu kolo anaeiamrisha tff ifuate atakavyo yeye,muulize zile b 20 za mudy ziko kwenye acc gani ya klabuUwezi kuwapangia cha kufanya, Yaani wasukumwe na kolo linalotaka matakwa yake yatimie kwenye mambo ambayo ayalihusu ulishagaona wapi, Nenda ukaombe nakala ya hukumu utapewa
Huwezi kuchangia bila kushusha watu hadhi, wewe nani kakukagua kama una akili nyingi.Heshimianeni.Una upeo mdogo sana wa kufikiria.
Mshahara wa milioni nne, Feisal alisainiwa na nani kwenye mkataba? Alikuwa amelewa alivyokuwa anasaini? Alishikiwa bunduki wakati wa kusaini? Hakuona ni ndogo wakati anasaini? Je aligoma kusaini mpaka aongezewe au alilidhika nayo?
Unataka Yanga iachane na Feisali sawa je waachane kienyeji au kisheria? Kama kisheria unajua ni taratibu zipi za kufuata timu inayomuhitaji Feisal?
Wewe hukuona mtoa mada alichokiandika kuwa kinashusha hadhi? Tena hadhi ya taasisi kubwa kama Yanga, nanukuuHuwezi kuchangia bila kushusha watu hadhi, wewe nani kakukagua kama una akili nyingi.Heshimianeni.
Umeokota wapi haya makamasi?Sheria ya FIFA ipo wazi, mchezaji asilazimishwe wala kushikiliwa kwa nguvu na club kama anataka kuhama (sio utumwa huo), na kwamba kama anataka kuvunja mkataba sharti atimize kati ya mambo mawili
1) Alipe gharama za kuvunja mkataba na fidia zake
2) Afungiwe kucheza miezi 4 halaf aachiwe.
Sasa utopolo kwasababu hawana akili wanapuyanga tu.
*Inakuaje kamati ile ile iliyopitisha hukumu, ikae tena ifanye mapitio/marejeo ya hukumu ambayo wao ndo walitoa. Wajihukumu wenyewe?
* Kwa Fatima Karume utopolo watayamba