Sakata la Fei Toto, Yanga inachekesha na kusikitisha

Sakata la Fei Toto, Yanga inachekesha na kusikitisha

Una upeo mdogo sana wa kufikiria.
Mshahara wa milioni nne, Feisal alisainiwa na nani kwenye mkataba? Alikuwa amelewa alivyokuwa anasaini? Alishikiwa bunduki wakati wa kusaini? Hakuona ni ndogo wakati anasaini? Je aligoma kusaini mpaka aongezewe au alilidhika nayo?

Unataka Yanga iachane na Feisali sawa je waachane kienyeji au kisheria? Kama kisheria unajua ni taratibu zipi za kufuata timu inayomuhitaji Feisal?
Dah maswali magumu hayo ni balaa!
 
Kwanini swala hili TFF imeamua kulifanya siri haitaki kutoa mchanganuo wa kanuni zilizotumika kuhukumu pamoja na sheria aliyovunja Feisal kila mtu aone

Hiyo ndio hoja yangu mimi
We bana wee, baada ya hukumu nani hupewa nakala ya hukumu/ mwenendo wa kesi?
 
Habari wakuu,

Ni dhahiri kwa hali ilipofikia inaonyesha fika kuwa Yanga wameamua kutia aibu brand ya klabu na mashabiki wao kuijumla.

Hii ni kuhusiana na sakata la Feitoto
Kila dalili zinaonyesha kuwa Fei haitaki Yanga lakini Yanga wanaonyesha ung'ang'anizi wa hali ya juu kwa mchezaji huyo, jambo linalotafsiriwa kama ni aibu kwa klabu upande wa wadau mbalimbali wa soka.

Tayari taswira inaonyesha kuwa Fei ni mkubwa kuliko Yanga kwa vitendo vinavyoonyeshwa na Yanga. Kutokana na hili hata Mama Fei mwenyewe anashangaa kwa nini Yanga wamekuwa Sikio la kufa kwa mteja wake!.

THIS IS INSANE FOR THE CLUB!
Tukumbuke nyuma kidogo Simba SC ilivyoonyesha hadhi yake mbele ya wachezaji wake mahiri kama Singano Messi na Emmanuel Okwi kudhihilisha ukubwa wa klabu mbele yao.
THIS IS HOW MUST BE!

Okay tuachane na hayo tuje kwenye ukweli sasa, Kama Yanga wanatambua mchango wa Fei kwenye klabu yao, kwa nini wasitimize au kumpatia stahiki zake ikiwemo na vigezo vyake anavyohitaji!?

Karibu Tanzania nzima inafahamu ni jinsi gani Feisal Maestro alivyoipenda sana Yanga, kiasi cha dhahiri kudhihilisha kuwa Yanga ndio waliomkosea kijana wao kwani si rahisi Feisal kuibadilika Yanga kufikia hatua hiyo.

Ikumbukwe mchezo huu mchafu haujaanza leo kwa klabu ya Yanga kutaka kudhulumu stahiki za wachezaji wake, na mara kadhaa kesi hizi zimepelekwa TFF na ngazi zingine za juu, endapo ukiangazia sakata la Kakolanya na Morrison.

Itoshe kusema dharau kwa wachezaji wa ndani zikome kwani kinachoangaliwa ni kiwango na si utaifa. Pili, Yanga ijitathmini maana kuhonga kwenye ngazi za Uongozi haiwezi tosha mbele ya haki ya mtu!.

Naomba wachezaji mjifunze kwa hili ambalo YANGA wanafanya kwa wachezaji wa ndani. Kwa kweli inasikitisha sana.

View attachment 2535389
Mtoa mada ni KOUMER.
 
Watanzania tuheshimu sheria za mikataba!
Tff wangetumia tu hisia za uzazi kama mama yake wa ugari sukari, ingeweka precedent mbaya sana.
 
Una upeo mdogo sana wa kufikiria.
Mshahara wa milioni nne, Feisal alisainiwa na nani kwenye mkataba? Alikuwa amelewa alivyokuwa anasaini? Alishikiwa bunduki wakati wa kusaini? Hakuona ni ndogo wakati anasaini? Je aligoma kusaini mpaka aongezewe au alilidhika nayo?

Unataka Yanga iachane na Feisali sawa je waachane kienyeji au kisheria? Kama kisheria unajua ni taratibu zipi za kufuata timu inayomuhitaji Feisal?
Mjadala ungeishia hapa mkuu majibu yote yapo hapa
 
Una uhakika alikuwa akipatiwa hizo milioni nne!? Ulikuwa unashuhudia mkuu!?

Haina shida, sawa anapatiwa milioni nne haya sasa haitaji kuendelea kuitumikia klabu mbona sasa hamtaki kukaa mezani kuzungumza kuhusu kuvunja mkataba wake!

Yanga wengi ni wavivu wa kufikiri
Katikati kabla mkataba ulio saini haujaisha unaamka na nyege kuwa hauitaji kuitumikia kablu iliyokusaini,MATAKO YA NYANI
 
Uwezi kuwapangia cha kufanya, Yaani wasukumwe na kolo linalotaka matakwa yake yatimie kwenye mambo ambayo ayalihusu ulishagaona wapi, Nenda ukaombe nakala ya hukumu utapewa
Ajabu kolo anaeiamrisha tff ifuate atakavyo yeye,muulize zile b 20 za mudy ziko kwenye acc gani ya klabu
 
Sheria ya FIFA ipo wazi, mchezaji asilazimishwe wala kushikiliwa kwa nguvu na club kama anataka kuhama (sio utumwa huo), na kwamba kama anataka kuvunja mkataba sharti atimize kati ya mambo mawili
1) Alipe gharama za kuvunja mkataba na fidia zake
2) Afungiwe kucheza miezi 4 halaf aachiwe.
Sasa utopolo kwasababu hawana akili wanapuyanga tu.
*Inakuaje kamati ile ile iliyopitisha hukumu, ikae tena ifanye mapitio/marejeo ya hukumu ambayo wao ndo walitoa. Wajihukumu wenyewe?
* Kwa Fatima Karume utopolo watayamba
 
Yaani mtu unamtesa anakula ugali kwa sukari lakin bado unamng'ang'ania🚮
 
Una upeo mdogo sana wa kufikiria.
Mshahara wa milioni nne, Feisal alisainiwa na nani kwenye mkataba? Alikuwa amelewa alivyokuwa anasaini? Alishikiwa bunduki wakati wa kusaini? Hakuona ni ndogo wakati anasaini? Je aligoma kusaini mpaka aongezewe au alilidhika nayo?

Unataka Yanga iachane na Feisali sawa je waachane kienyeji au kisheria? Kama kisheria unajua ni taratibu zipi za kufuata timu inayomuhitaji Feisal?
Huwezi kuchangia bila kushusha watu hadhi, wewe nani kakukagua kama una akili nyingi.Heshimianeni.
 
Huwezi kuchangia bila kushusha watu hadhi, wewe nani kakukagua kama una akili nyingi.Heshimianeni.
Wewe hukuona mtoa mada alichokiandika kuwa kinashusha hadhi? Tena hadhi ya taasisi kubwa kama Yanga, nanukuu

"Ni dhahiri kwa hali ilipofikia inaonyesha fika kuwa Yanga wameamua kutia aibu brand ya klabu na mashabiki wao kuijumla."

Na kisha hakuishia hapo kaja kukazia kwa kimalkia tena, nanukuu


"THIS IS INSANE FOR THE CLUB!"

Mwambie kwanza mleta uzi aanze kwa kuheshimu taasisi za watu aache lugha za kejeli wakati hata sheria yenyewe haijui.
 
Feisal amejipiga risasi mwenyewe mguuni

Asipokuwa makini itakuwa mwisho wake

*Siasa za.simba na yanga n ngumu
 
Sheria ya FIFA ipo wazi, mchezaji asilazimishwe wala kushikiliwa kwa nguvu na club kama anataka kuhama (sio utumwa huo), na kwamba kama anataka kuvunja mkataba sharti atimize kati ya mambo mawili
1) Alipe gharama za kuvunja mkataba na fidia zake
2) Afungiwe kucheza miezi 4 halaf aachiwe.
Sasa utopolo kwasababu hawana akili wanapuyanga tu.
*Inakuaje kamati ile ile iliyopitisha hukumu, ikae tena ifanye mapitio/marejeo ya hukumu ambayo wao ndo walitoa. Wajihukumu wenyewe?
* Kwa Fatima Karume utopolo watayamba
Umeokota wapi haya makamasi?
 
Back
Top Bottom