Makonda kachanganyikiwaWana jamvi wenzangu
Nimekaa toka jana jion nikifikilia kwanin mtumish wa mungu anaweza kufanya maovu ya namna ile ya kumzalisha mwanamke haraf kumtelekeza huku akijua kabisa yeye ni moja ya mtumish wa mungu ambae anatakiwa kuongoza waumin waweze kufwata njia sahihi na kuepuka ya ulimwengun lakin kabla ya kuweka jibu la kutaka kumchukia gwajima nimekaa nimefikilia haya ndo nikapata jibu...
-kwanin yule mama ahojiwe kwa crip tu zirushwe mitandaon bila kutafutwa gwajima nae akahojiwa kwa crip pia zikarushwa mitandaon.?
-yule mama kuenda kuhojiwa uhuru fm na sio clouds fm ambako ndo chanzo cha hizo crip..?
-kwanin makonda ana kashfa ya kuenda na wafuas wake clouds usiku na kuzichukua hizo crip..?
-niwajuavyo clouds wana tabia ya kuhoji pand mbili na kuweka hizo video/sauti katika redio yao au tv yao zikinzane..?
-rais yang kipenz kupenda kipind cha ushilawadu si uchiz huu mana mzee wang kijijin kule hawez penda ujinga kama ule..?
-sherehe ya mwaka mmoja wa makonda kuoneshwa tbc pekee na sio tena clouds kwamba alichokwa na hao ndgu au..?
-nijuavyo wachungaj weng wana watto wa nje lakin wako makin kuwalea ili wasiharibu taswira zao iwe kwa gwajima ambae anajua muda wote yupo katika vita..?
Conclusion; mwana sisiem mwenzang unatumia nguvu nying sana katika kitu kidogo mno ambacho mpaka sasa ungekuwa ushamaliza na unaendelea na kazi au kurud mtaan kuungana na sis wenzio hapa lumumba street.
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
Atakipata wapi wakati hana?Bashite Onyesha cheti kimoja tu unatumia nguvu kubwa bure!!!! Cheti kimoja tu cha form 4!!!!
Ndiyo nyinyi kina Bashite wahediwe gonga safaari zako achana na manabii wa uongo
Sasa kama Bashite anatumia bunduki kutaka afanikishiwe mambo yake hapo clouds huoni ni uendawazimu?Tumeshazoea kwa CHADEMA kuwatetea wahalifu. Endeleeni na kazi hiyo. Sisi tunajenga nchi
Tunataka vyeti makonda atoe vyeti vya kidato cha 4Gwajima akimshambulia Makonda mnashangilia, mashambulizi yakijibiwa mnalalamika ?!
Atakuwa ni makondaHivi kweli watu tunaamini kuwa Yule dada kazalishwa na Gwajima?
Tayari ana kiharusiWee eliza usidhani kila anayehoji uozo ni CHADEMA wewe!
Tena kwa Taarifa yako wanaotaka cheti kioneshwe ni ccm, tena ccm haswaa,refer msukuma.
CHADEMA itakupa kiharusi.
Acha maneno wekeni vyeti...Tumeshazoea kwa CHADEMA kuwatetea wahalifu. Endeleeni na kazi hiyo. Sisi tunajenga nchi
Waliopata zero miaka ile walikuwa hawapewi vyeti. Labda siku hizi DIVISION FIVE wanapewa.Bashite Onyesha cheti kimoja tu unatumia nguvu kubwa bure!!!! Cheti kimoja tu cha form 4!!!!
Tumeshazoea kwa CHADEMA kuwatetea wahalifu. Endeleeni na kazi hiyo. Sisi tunajenga nchi
Nenda shule crip ndo mdudu gani?Wana jamvi wenzangu
Nimekaa toka jana jion nikifikilia kwanin mtumish wa mungu anaweza kufanya maovu ya namna ile ya kumzalisha mwanamke haraf kumtelekeza huku akijua kabisa yeye ni moja ya mtumish wa mungu ambae anatakiwa kuongoza waumin waweze kufwata njia sahihi na kuepuka ya ulimwengun lakin kabla ya kuweka jibu la kutaka kumchukia gwajima nimekaa nimefikilia haya ndo nikapata jibu...
-kwanin yule mama ahojiwe kwa crip tu zirushwe mitandaon bila kutafutwa gwajima nae akahojiwa kwa crip pia zikarushwa mitandaon.?
-yule mama kuenda kuhojiwa uhuru fm na sio clouds fm ambako ndo chanzo cha hizo crip..?
-kwanin makonda ana kashfa ya kuenda na wafuas wake clouds usiku na kuzichukua hizo crip..?
-niwajuavyo clouds wana tabia ya kuhoji pand mbili na kuweka hizo video/sauti katika redio yao au tv yao zikinzane..?
-rais yang kipenz kupenda kipind cha ushilawadu si uchiz huu mana mzee wang kijijin kule hawez penda ujinga kama ule..?
-sherehe ya mwaka mmoja wa makonda kuoneshwa tbc pekee na sio tena clouds kwamba alichokwa na hao ndgu au..?
-nijuavyo wachungaj weng wana watto wa nje lakin wako makin kuwalea ili wasiharibu taswira zao iwe kwa gwajima ambae anajua muda wote yupo katika vita..?
Conclusion; mwana sisiem mwenzang unatumia nguvu nying sana katika kitu kidogo mno ambacho mpaka sasa ungekuwa ushamaliza na unaendelea na kazi au kurud mtaan kuungana na sis wenzio hapa lumumba street.
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
Hiyo nchi mnaijengea wapi mkuu!? Au mnaijengea baharini!?Tumeshazoea kwa CHADEMA kuwatetea wahalifu. Endeleeni na kazi hiyo. Sisi tunajenga nchi
Kabla hajakanusha au kukubali yeye, aje kwanza Bashite akanushe sakata lake la kufoji vyeti coz ndo lina muda mrefu zaidi.Sasa kazaa na maua?
Gwaj in binadamu ni vizuri aje hadharan akanushe au DNA ihusike
A cha kabisa tunapoelekea siko!!!! Watu wanalia na majanga hayaoni yupo kmy tu kaganda na shilawadu!!!!!!!mwafaaaaa!!Mnajenga nchi kwa kuangalia shilewadu?
Subili kubwa la maadui MANGE KIMAMBI anaandaa kombola lao!Mawingu nao wanatakiwa kuanikwa kwa maovu na uchafu wao wasijifanye wanajitenga na Bashite wakati walikua wanafanya juhudi za kumsafisha