Sakata la Gwajima limenipa picha niliyoitarajia

Sakata la Gwajima limenipa picha niliyoitarajia

Sishangai haya ya bashite hizi ni mbinu za kumchafua gwajima kwasababu wanajua hataenda kupima damu yake na huyo mtoto sikuhiz pesa inanunua kilakitu huyo mama kanunuliwa. Lakn hakuna marefu yasiyo na ncha
 
Wana jamvi wenzangu
Nimekaa toka jana jion nikifikilia kwanin mtumish wa mungu anaweza kufanya maovu ya namna ile ya kumzalisha mwanamke haraf kumtelekeza huku akijua kabisa yeye ni moja ya mtumish wa mungu ambae anatakiwa kuongoza waumin waweze kufwata njia sahihi na kuepuka ya ulimwengun lakin kabla ya kuweka jibu la kutaka kumchukia gwajima nimekaa nimefikilia haya ndo nikapata jibu...

-kwanin yule mama ahojiwe kwa crip tu zirushwe mitandaon bila kutafutwa gwajima nae akahojiwa kwa crip pia zikarushwa mitandaon.?

-yule mama kuenda kuhojiwa uhuru fm na sio clouds fm ambako ndo chanzo cha hizo crip..?

-kwanin makonda ana kashfa ya kuenda na wafuas wake clouds usiku na kuzichukua hizo crip..?

-niwajuavyo clouds wana tabia ya kuhoji pand mbili na kuweka hizo video/sauti katika redio yao au tv yao zikinzane..?

-rais yang kipenz kupenda kipind cha ushilawadu si uchiz huu mana mzee wang kijijin kule hawez penda ujinga kama ule..?

-sherehe ya mwaka mmoja wa makonda kuoneshwa tbc pekee na sio tena clouds kwamba alichokwa na hao ndgu au..?

-nijuavyo wachungaj weng wana watto wa nje lakin wako makin kuwalea ili wasiharibu taswira zao iwe kwa gwajima ambae anajua muda wote yupo katika vita..?

Conclusion; mwana sisiem mwenzang unatumia nguvu nying sana katika kitu kidogo mno ambacho mpaka sasa ungekuwa ushamaliza na unaendelea na kazi au kurud mtaan kuungana na sis wenzio hapa lumumba street.
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
Makonda kachanganyikiwa
 
Wee balshite wewe weka vyeti mezani mura GWAJIMA dume la mbegu limetoa mtoto kuliko ww daud umejaza mafuta mwilini mtoto huna hata wa kusingiziwa
 
Tumeshazoea kwa CHADEMA kuwatetea wahalifu. Endeleeni na kazi hiyo. Sisi tunajenga nchi
Sasa kama Bashite anatumia bunduki kutaka afanikishiwe mambo yake hapo clouds huoni ni uendawazimu?
 
Wee eliza usidhani kila anayehoji uozo ni CHADEMA wewe!
Tena kwa Taarifa yako wanaotaka cheti kioneshwe ni ccm, tena ccm haswaa,refer msukuma.
CHADEMA itakupa kiharusi.
Tayari ana kiharusi
 
katika watumishi wa Mungu wapenzi kwenye biblia hakuna ambae hakumchapa mwanamke aliyekuja kizembe.tena Daudi aliua mume ndo kazalisha mkewe.
onyesha vyeti hizi ngonjera hazisaidii.
 
Bashite Onyesha cheti kimoja tu unatumia nguvu kubwa bure!!!! Cheti kimoja tu cha form 4!!!!
Waliopata zero miaka ile walikuwa hawapewi vyeti. Labda siku hizi DIVISION FIVE wanapewa.


Sasa yeye aonyeshe kipi? Cha Paul Christian?
 
Tumeshazoea kwa CHADEMA kuwatetea wahalifu. Endeleeni na kazi hiyo. Sisi tunajenga nchi

Weye wa hovyo kweli

Kinachomshinda hiyo ndugu yenu kuweka hadharani cheti chake halisi cha kidato cha NNE ni nini?

Mwambieni aweke vyeti mchezo uishe,then ndo arukie mengine
 
Wana jamvi wenzangu
Nimekaa toka jana jion nikifikilia kwanin mtumish wa mungu anaweza kufanya maovu ya namna ile ya kumzalisha mwanamke haraf kumtelekeza huku akijua kabisa yeye ni moja ya mtumish wa mungu ambae anatakiwa kuongoza waumin waweze kufwata njia sahihi na kuepuka ya ulimwengun lakin kabla ya kuweka jibu la kutaka kumchukia gwajima nimekaa nimefikilia haya ndo nikapata jibu...

-kwanin yule mama ahojiwe kwa crip tu zirushwe mitandaon bila kutafutwa gwajima nae akahojiwa kwa crip pia zikarushwa mitandaon.?

-yule mama kuenda kuhojiwa uhuru fm na sio clouds fm ambako ndo chanzo cha hizo crip..?

-kwanin makonda ana kashfa ya kuenda na wafuas wake clouds usiku na kuzichukua hizo crip..?

-niwajuavyo clouds wana tabia ya kuhoji pand mbili na kuweka hizo video/sauti katika redio yao au tv yao zikinzane..?

-rais yang kipenz kupenda kipind cha ushilawadu si uchiz huu mana mzee wang kijijin kule hawez penda ujinga kama ule..?

-sherehe ya mwaka mmoja wa makonda kuoneshwa tbc pekee na sio tena clouds kwamba alichokwa na hao ndgu au..?

-nijuavyo wachungaj weng wana watto wa nje lakin wako makin kuwalea ili wasiharibu taswira zao iwe kwa gwajima ambae anajua muda wote yupo katika vita..?

Conclusion; mwana sisiem mwenzang unatumia nguvu nying sana katika kitu kidogo mno ambacho mpaka sasa ungekuwa ushamaliza na unaendelea na kazi au kurud mtaan kuungana na sis wenzio hapa lumumba street.
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
Nenda shule crip ndo mdudu gani?
 
Gwaji alikua anapiga show chini ya madhabahu, huku juu mapambio yanaimbwa.
 
Back
Top Bottom