Sakata la Gwajima limenipa picha niliyoitarajia

Sakata la Gwajima limenipa picha niliyoitarajia

Hivi kweli watu tunaamini kuwa Yule dada kazalishwa na Gwajima?
Mm nlivomsikia amesema walikuwa wanafanya mapenzi chini ya madhabau(eti kuna vyumba kama tisa)ndo nkaamin ni muongo..
Ata kama ni nabii wa uongo huwez fanya mapenzi kanisan lazima utatafuta chimbo la mbali
 
Kumpa kashfa gwajima hakuondoi ukweli kwamba "Makonda" alifoji vyeti. Tusubiri kesi yake itakayofunguliwa kesho mahakamani.
 
Hili li nchi linakoelekea siyo kuzuri. Wananchi waliowengi sasa hawawazi maendeleo bali mambo ya hovyo hovyo kutokana na utawala wa hovyo hovyo.
 
Gwaji alikua anapiga show chini ya madhabahu, huku juu mapambio yanaimbwa.
Atoe vyeti kama anavyo

Mwenzie kazaa yeye anatoa mapovu na upepo

Asipoacha tabia anayoifanya na wakuu mbalimbali siku mavi yatakua yanamshuka bahati yake anaendaga Afrika kusini kupigwa bomba angekua kashaoza nyuma

Na mkewe anamvumilia tuu sababu ya ukuu wake na mali bila hivyo angerudi kwao Rwanda ina faida gani kuishi na mwanamke mwenzio ndani
 
Mimba yenyewe sasa ya mwaka 1 na miezi 4, kina dada muwe makini mnapotaka kutusingizia
 
Atoe vyeti kama anavyo

Mwenzie kazaa yeye anatoa mapovu na upepo

Asipoacha tabia anayoifanya na wakuu mbalimbali siku mavi yatakua yanamshuka bahati yake anaendaga Afrika kusini kupigwa bomba angekua kashaoza nyuma

Na mkewe anamvumilia tuu sababu ya ukuu wake na mali bila hivyo angerudi kwao Rwanda ina faida gani kuishi na mwanamke mwenzio ndani
Mfano hayo unaniambia mimi, unadhani nitakasirika ili hali najua ni uongo!
Mwambieni Gwaji akanushe hajui papuchi ya yule mama.
 
Usiwe mwehu na wewe, Gwajima si mtumishi wa Mungu bali ni tapeli tu anayesingizia kazi ya Mungu huku nyuma anafanya unyama. Gwajima inabidi awe jela, ana maovu mengi sana ayatendayo. Alimbaka Flora Mbasha na huyu dada wa jana, na wengine wengi tu watakuja kulalamika. Aliwadanganya watoto wa kaka yake mwaka jana kuwa atamfufua baba yao (kaka yake), mpaka leo holaaaaa, zile dawa za kufufua misukule yake zimekwisha nguvu mpaka arudi Nigeria kuongeza nguvu za giza.
Hilo la kubaka endapo una vielelezo peleka kwenye vyombo vya sheria ili sheria ichukue mkondo wake huna haja ya kutoa povu.
Kama toka moyoni mwako waona Gwajima si mtumishi wa kweli wa Mungu, wewe ambae UNA imani ya kweli piga magoti umuombee, usiwe kama Mafarisayo.
 
Wana jamvi wenzangu
Nimekaa toka jana jion nikifikilia kwanin mtumish wa mungu anaweza kufanya maovu ya namna ile ya kumzalisha mwanamke haraf kumtelekeza huku akijua kabisa yeye ni moja ya mtumish wa mungu ambae anatakiwa kuongoza waumin waweze kufwata njia sahihi na kuepuka ya ulimwengun lakin kabla ya kuweka jibu la kutaka kumchukia gwajima nimekaa nimefikilia haya ndo nikapata jibu...

-kwanin yule mama ahojiwe kwa crip tu zirushwe mitandaon bila kutafutwa gwajima nae akahojiwa kwa crip pia zikarushwa mitandaon.?

-yule mama kuenda kuhojiwa uhuru fm na sio clouds fm ambako ndo chanzo cha hizo crip..?

-kwanin makonda ana kashfa ya kuenda na wafuas wake clouds usiku na kuzichukua hizo crip..?

-niwajuavyo clouds wana tabia ya kuhoji pand mbili na kuweka hizo video/sauti katika redio yao au tv yao zikinzane..?

-rais yang kipenz kupenda kipind cha ushilawadu si uchiz huu mana mzee wang kijijin kule hawez penda ujinga kama ule..?

-sherehe ya mwaka mmoja wa makonda kuoneshwa tbc pekee na sio tena clouds kwamba alichokwa na hao ndgu au..?

-nijuavyo wachungaj weng wana watto wa nje lakin wako makin kuwalea ili wasiharibu taswira zao iwe kwa gwajima ambae anajua muda wote yupo katika vita..?

Conclusion; mwana sisiem mwenzang unatumia nguvu nying sana katika kitu kidogo mno ambacho mpaka sasa ungekuwa ushamaliza na unaendelea na kazi au kurud mtaan kuungana na sis wenzio hapa lumumba street.
.
.
.
Kyenekyaka mkighanile une
Umekurupuka mambo yako wazi sasa... Video ya Makonda akiingia Clouds na askari ipo hewani
 
umeona mange alivyomuumbua soudy brown...!!na kasema atawaumbua clouds wotee

Mange amesheshaomba radhi kwa soudy brown...kapost na video ni kwamba soudy alilazimishwa kuzitoa zile video sababu alikataa kuzirusha kwenye kipindi chake(pakiwa na maaskari pembeni)
 
yule aliesema anapenda kile kipindi ilkua ni namna ya kuwafanya watz waweke attention huko ili waone skendo ya yule mchungaji nn?[emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Gwajima akimshambulia Makonda mnashangilia, mashambulizi yakijibiwa mnalalamika ?!
Tunashangilia mashambulizi yenye asilimia nyingi za ukweli , Hayo ya Bashite ni ulimbukeni na kutapatapa tu.Tena ndiyo yanadhihirisha kwamba kweli in mtupu wa kila kitu kitaaluma.Sijuwi ataishia wapi maana naona wapambe wake anazidi kutibuana nao.
 
Mange amesheshaomba radhi kwa soudy brown...kapost na video ni kwamba soudy alilazimishwa kuzitoa zile video sababu alikataa kuzirusha kwenye kipindi chake(pakiwa na maaskari pembeni)
ndo nimeona hatari kubwaa

hivi why magu anashindwa kutake actions against this man
 
Back
Top Bottom