Sakata la Gwajima limenipa picha niliyoitarajia

Gwajima anasema kuzaa yeye anazaa Kiroho Na Kimwili. Tena angekuwa hivyo angechagua mzuri siyo kichaa.


Ana cheti cha kuthibitisha ukichaa wa huyo Mwanamke?

Inawezekana ikawa ni ya kutunga au Ikawa ni ya kweli watu wakaifikisha kwa Bashite nae akaona ndio pa kumkomesha Gwajima.

Kipi kinafanya tuamini kua yule mama ni kichaa?
Kipi kinafanya tuona yule mama ni Muongo?

Kuhusika kwa Daudi sio kigezo kuona ni uongo.

Tusiwe vigeugeu. Kwa Daudi tunapiga kelele, kwa Gwajima tunakua watetezi wake.
 
Anatabia zinazofanana na jina lake la kujibatiza (makonda) kwa sababu wengi hawawi na akili timamu
 
duhQUOTE="jingalao, post: 20222818, member: 56995"]we gonga safaari zako achana na manabii wa uongo[/QUOTE]
d
 
Mwizi wa vyeti anapotetewa na wahakiki WA vyeti....,real .all animals are equal but others are.......
 
Tumeshazoea kwa CHADEMA kuwatetea wahalifu. Endeleeni na kazi hiyo. Sisi tunajenga nchi
Wanawatetea kina sependa wenye tuhuma za aibu wanasahau kujenga chama watakuja kushtukia 2020 hii hapa kwa door ndipi watajua
 
Inaonekana unajua mengi sana kuhusu Gwajima. Sasa unasubiri nini kuisaidia polisi wamkamate huyu mhalifu!


Nayajuwa mengi sana ya huyu kijana, licha ya kutonywa na baadhi ya waumini wake waliomkimbia pia nina data za uhakika toka kwa nduguze. Alisema atamfufua kaka yake mwaka jana lakini mpaka leo hii hakuna lolote wala dalili hakuna.
 


Nina muombea sana Gwajima lakini naye ili apone inabidi atupe manyanga yake na nguvu zake za giza baharini na kukiri madhambi yake. Ile misukule aliyoificha kule Mwabepande inabidi aifungulie na aseme ukweli aliitoa wapi.
 
Bashite Onyesha cheti kimoja tu unatumia nguvu kubwa bure!!!! Cheti kimoja tu cha form 4!!!!

yani hapo hata cha kuzaliwa nacho kitakuwa fake sizani kama kina jina la Daud Albert Bashite
 
Kama chadema wanatetea wahalifu, mbona hawamtetei huyu kilaza mwalifu wa kufoji vyeti????
Hamna lolote mnachochea ili atumbuliwe, mumchukue mkamtakase sijui huwa mnawatakasa na nini vile...........mtaanza kutuaminisha tena kwamba ameonewa na ana vyeti mpaka vya university........bado sijasahau ya lowasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…