Sakata la JATU PLC lazidi kupamba moto, Serikali yaingilia kati mgogoro wake na wanachama

Sakata la JATU PLC lazidi kupamba moto, Serikali yaingilia kati mgogoro wake na wanachama

Tuliwaambia mkasema sisi tunawivu
Sawa kabisa Mkuu. Tulisutwa humu, tuache wenzetu wapate, sisi tuendelee kukosa!
Wakatishaji tamaa, negative, tulisutwa, kidogo almanusura wanaume tuvalishwe Madera na shanga!
 
mamtu yanalizwa kwelikweli kwa mbinu zile zile

hivi kuwapatia JATU PLC wakakulimie na kumpatia Ontario pesa akutradie tofauti iko wapi ?
 
Sawa kabisa Mkuu. Tulisutwa humu, tuache wenzetu wapate, sisi tuendelee kukosa!
Wakatishaji tamaa, negative, tulisutwa, kidogo almanusura wanaume tuvalishwe Madera na shanga!
Mkuu hii ilikuwa 2020 tuliwambia tukapigwa sana spana
Screenshot_20220411-172346.jpg
 
cha kushangaza Jatu imeingia mpaka kwemye soko la hisa DSE .na thamani ya vipande kupanda kufikia juu.hapa na chungulia naona bado hipo kwenye hisa.

inaonyesha target yao walitaka iingie kwenye hisa na kupata share kubwa kwa njia wanazojua wao. ila imestaki
DSE ilikuwa Desperate wakati wa Magufuli ilikosa kabisa mashirika
 
DECI
NAMAINGO
KUKU
JATU
QNET

"UKISHINDWA KUJIFUNZA KWA KUSIKIA, UTAJIFUNZA KWA MAUMIVU"
 
WaTanzania ni wapumbavu mno. Ukiwaita wajinga hapo umewasaidia. Ni mpumbavu tu anayeweza kumlipa mtu ili amlimie. Ingekua rahisi hivyo watu wangekua matajiri mno
 
Kuna Uzi humu unasema jatu n Mr kuku mwingine ilikuwa suala la muda TU

Na hapo serikali imeshaona akaunt imenona watataifisha zote Kama DECI

Huwa naenda pale sabasaba kila wikend kula kitimoto choma jiran na kijiofis chao nawaona vijana wakiingia na kutoka wengi wao machoni hawana nuru wamechoka
Hahaaaa kuna jamaa zangu walitaka kuniingiza chaka mwaka 2017.
Ila uzuri Mungu amenijalia utulivu sana
 
ivi mr kuku mbna bado namuona anaendeleza ufugaji wake na watu wanaendelea kuwekeza au kesi yake iliishia wapi na juzi juzi niliona anawashauri raia waingia ubia wa maduka ya kuku
 
Back
Top Bottom