Sakata la JATU PLC lazidi kupamba moto, Serikali yaingilia kati mgogoro wake na wanachama

Tuliwaambia mkasema sisi tunawivu
Sawa kabisa Mkuu. Tulisutwa humu, tuache wenzetu wapate, sisi tuendelee kukosa!
Wakatishaji tamaa, negative, tulisutwa, kidogo almanusura wanaume tuvalishwe Madera na shanga!
 
mamtu yanalizwa kwelikweli kwa mbinu zile zile

hivi kuwapatia JATU PLC wakakulimie na kumpatia Ontario pesa akutradie tofauti iko wapi ?
 
Sawa kabisa Mkuu. Tulisutwa humu, tuache wenzetu wapate, sisi tuendelee kukosa!
Wakatishaji tamaa, negative, tulisutwa, kidogo almanusura wanaume tuvalishwe Madera na shanga!
Mkuu hii ilikuwa 2020 tuliwambia tukapigwa sana spana
 
DSE ilikuwa Desperate wakati wa Magufuli ilikosa kabisa mashirika
 
DECI
NAMAINGO
KUKU
JATU
QNET

"UKISHINDWA KUJIFUNZA KWA KUSIKIA, UTAJIFUNZA KWA MAUMIVU"
 
WaTanzania ni wapumbavu mno. Ukiwaita wajinga hapo umewasaidia. Ni mpumbavu tu anayeweza kumlipa mtu ili amlimie. Ingekua rahisi hivyo watu wangekua matajiri mno
 
Hahaaaa kuna jamaa zangu walitaka kuniingiza chaka mwaka 2017.
Ila uzuri Mungu amenijalia utulivu sana
 
Shida ya jatu imejaza vijana wengi wa uvccm
 
ivi mr kuku mbna bado namuona anaendeleza ufugaji wake na watu wanaendelea kuwekeza au kesi yake iliishia wapi na juzi juzi niliona anawashauri raia waingia ubia wa maduka ya kuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…