KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Duh!!Mahakama ilitoa haki lini tena mahakama hii ya tanzania ?
ndio maana mtu mmoja alisema siendi mahakaman maana najua una nguvu ya pesa na cheo lakini nakuhakikishia kuna mahali mimi nitashinda , na kweli haikupita wiki mtu na mkewe na bint yao wakaliwa kichwa na israeli mtoa roho kwa pamoja
Yes, I have the audacity to dispute this...Mkuu argument yako doesnt hold.
Custodian wa official records za Ardhi ni wizara yenyewe, and they undoubtly know who the authentic owner of the parcel of land is.
And you have the audacity to dispute THAT?
Just make a quick buck from your client.
Duh,pole sana mkuh .ila ukweli wahanga ni wengi sana walio dhurumiwa aridhi kwa kwa kigezo cha pesa na conectionsAcha kutisha watu kijana, sheria zifuate mkondo wake "Nani mmiliki halali wa eneo husika" nani mvamizi, docs zilipatikana kihalali?, hakuna aliyezulumiwa? Historia ya eneo ipoje?, mkale wa eneo alikuwa ni nani?, Yapo mambo ya msingi ya kufuata, docs pekee siku hizi hazitoshelezi, physical witness inasemaje?, majirani wanasemaje? Mtu wa awali kuanza kununua anasemaje juu ya historia ya eneo?, naandika hapa nikiwa na hasira sana ya kudhulumiwa eneo langu, Mbezi beach, goigy plot no. 471,block A.
Rostam Alisha sema kuhusu MahakamaSuluhu siyo kutumia ubabe wa kiongozi. Mahakama ndiyo chombo cha kutoa haki.
Ni wafanyakazi wajinga tu ndio wanaofanya michezo hiyo, mtu mwenye akili zake timamu awezi jiusisha. Maana anaelewa akiingia waziri kichaa kwenye hiyo wizara au raisi mkali anaweza jikuta lupango.Yes, I have the audacity to dispute this...
Kumbuka kuwa, Wizara ya ardhi ambao kweli ndio custodian wa official records wa nyaraka zote zihusuzo mambo ya ardhi ambaye Waziri wake ni Jerry Silaa na kamishina wake ndio players wa mgogoro huu..
Na kama waziri wa serikali haiamini mahakama, basi ni wazi kuwa iko shida ktk mifumo yetu ya utawala..
sijakupa like sababu mimi ni mbaguzi wewe huna jinsia lakini umeongea point kongole.Yawezekana ni mbinu ya kuchota hela za serikali iliyoandaliwa vema na vigogo wa serikali kwa kuwatumia Johnson Mahululu na waziri Slaa.
Ghorofa libomolewe, Mahululu aende mahakamani halafu adai fidia ya mabilioni. Serikali ilipe hayo mabilioni kisha Mahululu apozwe kwa bilioni 2 au 4.
Script hii ya kuchota hela za serikali imeandaliwa kwa ustadi mkubwa sana. Mpk uwe umesoma Cuba ndiyo utaielewa.
Sijui alifanyaje nacho jua waligongana uso kwa uso na lori wakiwa na gari binafsi na waliisha wote hapo hapoDuh!!
Mkuu ilikuaje hiyo.....??
Aliwatandika risasi au....??
Pole sana, siku nyingine fuata sheria na taratibu za nchi.Yes, I have the audacity to dispute this...
Kumbuka kuwa, Wizara ya ardhi ambao kweli ndio custodian wa official records wa nyaraka zote zihusuzo mambo ya ardhi ambaye Waziri wake ni Jerry Silaa na kamishina wake ndio players wa mgogoro huu..
Na kama waziri wa serikali haiamini mahakama, basi ni wazi kuwa iko shida ktk mifumo yetu ya utawala..
Wacha ujuaji wewe wala hunijui sikujui. Kama ndiyo muhusika katika majaji feki wewe endelea na dhambi zako tu.Bahati mbaya wakati wenzako wanaenda shule, wewe ulikuwa unasubiri uji jikoni, ukapewa kazi ya kuchochea kuni
InawezekanaYawezekana ni mbinu ya kuchota hela za serikali iliyoandaliwa vema na vigogo wa serikali kwa kuwatumia Johnson Mahululu na waziri Slaa.
Ghorofa libomolewe, Mahululu aende mahakamani halafu adai fidia ya mabilioni. Serikali ilipe hayo mabilioni kisha Mahululu apozwe kwa bilioni 2 au 4.
Script hii ya kuchota hela za serikali imeandaliwa kwa ustadi mkubwa sana. Mpk uwe umesoma Cuba ndiyo utaielewa.
Waziri, Mkuu wa mkoa au Wilaya na kamati yoyote ile hawana mamlaka ya kuboma mahali bila kibali cha mahakama.Mpaka kufikia waziri na kamati nzima ya ulinzi na usalama mkoa kuamua na kushuhudia ghorofa likivunjwa!
Na huyo Mahululu akakimbilia Dodoma mpaka alipokamatwa na kuletwa Dsm!
Unadhami walikurupuka bila kujiridhisha,ikiwemo kupitia mahakamani na kutumia Hati za mahakamani kulivunja?
Baadhi ya watu humu wana mihemko ya kisiasa hata kwa mambo yasiyo ya kisiasa.
Akiwemo huyu chiembe ambaye ni mleta hoja na mpinga Serikali of all things hata vile venye kuwa wrongfully
Kuna shida kubwa sehemuSource: Youtube-wakiliTv, taarifa ya Wakili Dickson Matata
Nilisema kwamba haya mambo ya kujifanya mwendesha mashitaka na hakimu anayofanya Jerry Silaa yasipoangaliwa, ataitia nchi hasara kubwa sana.
Sasa watanzania wataingia hasara ya bilioni 20 ili kumlipa Johnson Mahululu baada ya Jerry Silaa kuvunja ghorofa lake, kumdhalilisha kumuita tapeli wakati hana hukumu ya mahakama iliyompata na hatia ya utapeli, na kumharibia jina na biashara zake.