Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Yale Yale Kila mtu analalama TU! Mhusika hatajwi, waziri kaenda mpaka eneo la tukio kashindwa kumtaja mhusika.
Sandaland mwenyewe aliahidi atamtaja lakini naona katishwa, kaogopa kakunja mkia, jeshi la polisi hawamtaji analindwa na anafunikwa funikwa.
Kuna hatari akabambikiwa mtu mwingine kabisa ili kumlinda huyo taita mwenyewe, habari za chini ya kapeti ni mtu mzito na yupo sana kwenye vilabu hivi.
Nasisitiza kwamba mtajeni kama hamuwezi kumtaja mnamuogopa acheni kutupa stori za hayo matambala yenu
Sandaland mwenyewe aliahidi atamtaja lakini naona katishwa, kaogopa kakunja mkia, jeshi la polisi hawamtaji analindwa na anafunikwa funikwa.
Kuna hatari akabambikiwa mtu mwingine kabisa ili kumlinda huyo taita mwenyewe, habari za chini ya kapeti ni mtu mzito na yupo sana kwenye vilabu hivi.
Nasisitiza kwamba mtajeni kama hamuwezi kumtaja mnamuogopa acheni kutupa stori za hayo matambala yenu