Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Kama ni kweli wameshindwa kumtaja kutokana na wadhifa wake au umaarufu wake basi nadiriki kusema serikali imekamatwa na majambazi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wote wezi hao viongoziKama ni kweli wameshindwa kumtaja kutokana na wadhifa wake au umaarufu wake basi nadiriki kusema serikali imekamatwa na majambazi.
Issue sio serikali, issue ni wao wenyewe simba na Yanga, mana hii issue ni pvt matter, simba na yanga waseme kuwa mzigo huu hapa, wapeleke case mahakamani sasaWote wezi hao viongozi
unaifanyia kazi kama nani??Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
si useme tuu kuwq ni Riz1?Yale Yale Kila mtu analalama TU ! Mhusika hatajwi,waziri kaenda mpaka eneo la tukio ,kashindwa kumtaja mhusika ,sandaland mwenyewe aliahidi atamtaja lakini naona katishwa ,kaogopa kakunja mkia,jeshi la polisi hawamtaji analindwa na anafunikwa funikwa ,kunahatari akabambikiwa mtu mwingine kabisa ili kumlinda huyo taita mwenyewe ,habari za chini ya kapeti ni mtu mzito ,na yupo sana kwenye vilabu hivi ,nasisitiza kwamba mtajeni kama hamuwezi kumtaja mnamuogopa acheni kutupa stori za hayo matambala yenu
Huoni kuwa huo ni uhujumu uchumu ambapo Serikali inahusika?Issue sio serikali, issue ni wao wenyewe simba na Yanga, mana hii issue ni pvt matter, simba na yanga waseme kuwa mzigo huu hapa, wapeleke case mahakamani sasa
Mshaanza,kila baya anapewa yeye na familia yake.si useme tuu kuwq ni Riz1?
Dah...jamaa nimekukubali. Umetumia code ya hatari, teh teh. So hata akipata hiyo 1 na 2 inatisha sieti? [emoji3]Nakupa code......
Ukitataka kuvuta bangi unahitaji vitu vitatu ili bangi ikamilike yaani msuubaaa
.1...Riz.
.2..bangi iwe namba moja kwa ubora (0ne)
.3.mixer (gozo,nyota ext..
Natumain ushamjua muhusika kama wew ni mvutaji wa kanka
😁😁😁mama'ko pia unamwita ajuza? Au yeye bado anadai?
Nakuja na Uzi kaa tayari nao tafadhali.Tumuombe bingwa wa kutegua vitendawili vigumu GENTAMYCINE atufungulie code
Yeye mwenyewe mwogaWewe mwenyewe inainekana unamjua ila unaogopa kumtaja kwanini unawalaumu hao wenzako?
Unawalaumu watu hawamtaji kwenye TV wakionekana sura zao au kwenye radio wakisikika sauti zao wakati wewe una ID fake hujulikani huonekani na bado unaogopa ku type tu, dah!