Sakata la jezi feki mhusika anaogopwa ,serikali imeshindwa kumtaja vilabu vimeshindwa kumtaja ,polisi tutajieni huyo mtu ninani?

Sakata la jezi feki mhusika anaogopwa ,serikali imeshindwa kumtaja vilabu vimeshindwa kumtaja ,polisi tutajieni huyo mtu ninani?

Yale Yale Kila mtu analalama TU ! Mhusika hatajwi,waziri kaenda mpaka eneo la tukio ,kashindwa kumtaja mhusika ,sandaland mwenyewe aliahidi atamtaja lakini naona katishwa ,kaogopa kakunja mkia,jeshi la polisi hawamtaji analindwa na anafunikwa funikwa ,kunahatari akabambikiwa mtu mwingine kabisa ili kumlinda huyo taita mwenyewe ,habari za chini ya kapeti ni mtu mzito ,na yupo sana kwenye vilabu hivi ,nasisitiza kwamba mtajeni kama hamuwezi kumtaja mnamuogopa acheni kutupa stori za hayo matambala yenu
si useme tuu kuwq ni Riz1?
 
Nakupa code......

Ukitataka kuvuta bangi unahitaji vitu vitatu ili bangi ikamilike yaani msuubaaa

.1...Riz.
.2..bangi iwe namba moja kwa ubora (0ne)
.3.mixer (gozo,nyota ext..

Natumain ushamjua muhusika kama wew ni mvutaji wa kanka
Dah...jamaa nimekukubali. Umetumia code ya hatari, teh teh. So hata akipata hiyo 1 na 2 inatisha sieti? [emoji3]
 
Mpira wenyewe mnafungwa tu kila siku,
Jezi za nini?
Hata mkiingia na kanzu au kanga poa tu magoli yako palepale.
Muacheni huyo jamaa kala urefu wa kamba yake.
Mvae jezi feki au Original MNAFUNGWA tu.
Jezi inacheza mpira?
 
Ni rahisi sana kuwahadaa Watanzania maana critical thinking yetu ni ndogo mnooo. Achana na issue ya taarifa zilizoko bandarini kuhusu mzigo, jiulize "jezi feki" zina maana gani?

Mmerundikiwa matukio mengi wiki hii ilikuwakipu busy kupunguza attention ya kurudishwa kwa mwamba katika ulingo wa siasa.
 
Back
Top Bottom