Sakata la Kakoko wa TPA kudaiwa kuweka nyumbani begi lenye USD 1,625,800. Mkurugenzi wa TAKUKURU akanusha

Aliyekua Mkurugenzi wa mamlaka ya bandari, aliyesimamishwa kazi , injinia Kakoko amepekuliwa nyumbani kwake na polisi na TAKUKURU na kukutwa na begi kubwa lenye pesa za kimarekani 1,625,800.

Duh! Hii ni hatari kubwa maana zinazidi hata zile walizogundua CAG officers kwenye ukaguzi wao! Basi hapo bandari wakague tena wanaweza kukuta ni fedha mabilioni mengi zaidi!
 
Aliyekua Mkurugenzi wa mamlaka ya bandari, aliyesimamishwa kazi , injinia Kakoko amepekuliwa nyumbani kwake na polisi na TAKUKURU na kukutwa na begi kubwa lenye pesa za kimarekani 1,625,800.
Chanzo cha taarifa, kama ni tofauti na cha Kihogo sawa, ila kama ni chanzo kigogo kua uzi uko hapa
 
Aliyekua Mkurugenzi wa mamlaka ya bandari, aliyesimamishwa kazi , injinia Kakoko amepekuliwa nyumbani kwake na polisi na TAKUKURU na kukutwa na begi kubwa lenye pesa za kimarekani 1,625,800.

Source of Information please, and it should be a credible and authentic source! Tupe chapu chapu!
 
Kama kafanya hivo basi atakuwa mjinga wa dunia, hiyo pesa yote unaweza iweka ndani? Na siku alivyo tumbuliwa si ndo angestuka kuificha?

Mwizi gani huyo anashindwa kuzichimbia hata shimo?
Atakuwa aliziweka benk na sio nyumbani hakuna mtu mjinga kiasi hicho.
 
Eeeh.. Yaani hapo atafungwa hana la kujitetea kabisa. Hii inaitwa kukamatwa red handed. Sbb si hela zililiwa au kufisadiwa TPA bil 3.6 taarifa ya CAG ilisema na nyumbani kwake wamekuta $ 1.6 mil ooohh, yaani that is tshs 3.7 bil..

Yaani hii huna pa kukwepa kufungwa aisee.. Wizi wa wazi kabisa.
Huyu alikuwa mpigaji sana sana iko wazi
 
Si sahihi kusema ufisadi uliisha wakati wa awamu ya tano, na sidhani kama kuna mtu anayesema hivyo.

Sana sana mtu utasema kwamba awamu hiyo ilikuwa ikipiga vita ufisadi na kwa kiasi kikubwa ulipungua. Huo ndio ukweli wa mambo.

Dai lako kwamba kuna mafisadi waliokuwa wakikingiwa kifua na Ikulu ni upotoshaji wa hali halisi ilivyokuwa.
 
Aliyekua Mkurugenzi wa mamlaka ya bandari, aliyesimamishwa kazi , injinia Kakoko amepekuliwa nyumbani kwake na polisi na TAKUKURU na kukutwa na begi kubwa lenye pesa za kimarekani 1,625,800.
Tumche aliye juu
 
Tumche aliye juu

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brigedia Jenerali John Mbungo amethibitisha taasisi hiyo kumshikilia kwa mahojiano Mkurugenzi Mkuu wa Bandari Tanzania (TPA) Deusdedit Kakoko aliyesimamishwa kazi na Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan.

Endelea kufuatilia taarifa zetu kufahamu zaidi.
 
Unajua maana ya suprise visit? Labda kama kawekewa ila kama sivyo unakuta pesa zilikuwa in transit kuhifadhiwa ghafla usiku watu hawa hapa wanataka kukukagua.
 
Watu kama huyu ndiyo wa kujenga nao connection. They show you some ropes unasonga mbele.

First step ni kujua kisukuma. Anayeweza nifundisha kisukuma aniquote nije pm.
 
Swali la msingi ni kwanini Majaliwa katika uchunguzi wake, akawatumbua "vidagaa" na kumuacha "papa" Kakoko aendelee kutamba?

Ndiyo utambue kuwa enzi za Hayati Magufuli, nchi alikuwa ikiendeshwa kwa mtindo wa "double standards" wa hali ya juu sana!
Angethubutu kumgusa jamaa ya boss? Huo mrija utakuwa ulikuwa unatema mbali. Mtu anabweka kwa sauti kubwa ili kuficha ya chini ya carpet. Mh. Rais safisha mpaka Tanroad.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…