Hahahaha. Mbona kama umepindua. Huwa 'still waters run deep...'Mtu yeyeto mkali kuna kitu anaficha
Profile yako hii inanifariji wakati wa huzuni 🙆♂️🙆♂️😁😂Mhh, halafu kina Nyani Ngabu walimuona msukuma mwenzao alikuwa mtakatifu eti.
uchunguzi gani mwingine unaoutaka ufanyike?Msiwe na papara mkamuhukumu mtu kumbe hana hatia. Ngojeni uchunguzi uishe ndio mnaweza kutoa hukumu.
Mnakumbuka kesi ya masamaki wa tra? Si ilikuwa hivi hivi eti oo kakamatwa na ndoo zimejaa $$ nyumbani kwake! Kwenda mahakamani masamaki hakutoa hata sauti akaachiwa!
PM alikuwa anajua na hakuwa na ubavu wowote wa kumtoa, na mwamba alishamwambia.TPA iliwahi kuchunguzwa na Majaliwa wakati ule wa Magufuli, kukawa na heka heka sana nusra jamaa huyu apoteze madaraka.
uchunguzi gani mwingine unaoutaka ufanyike?Msiwe na papara mkamuhukumu mtu kumbe hana hatia. Ngojeni uchunguzi uishe ndio mnaweza kutoa hukumu.
Mnakumbuka kesi ya masamaki wa tra? Si ilikuwa hivi hivi eti oo kakamatwa na ndoo zimejaa $$ nyumbani kwake! Kwenda mahakamani masamaki hakutoa hata sauti akaachiwa!
Hata kama ndio kufata meza yenye bia nyingi ila hii ya kwako ni extremePorojo za Kigogo na Chahali hizi. Hivi kama kweli alikuwa na pesa ndani akae nazo tu tangu JPM afariki? Unadhani yeye alikuwa hajui kuwa watu wamempania? Tutadanganywa sana hiki kipindi cha mwezi mmoja,baadae tutarudi kule kwa kumdhihaki tena SSH kama kawaida yetu.Ni swala la muda tu mbona.
Nimecheka Kigogo “anatoa” maelekezo ya nani akamatwe.
zinapigwa zinaenda chinaHeri enzi za JK zilipigwa zikaingia mtaani hawa kina jiwes and company zimepigwa hata mifupa inaishia juu kwa juu,wananchi uambulia harufu tu.
Uchumi wa Kati ni kwenye matumbo yao.
Haya yamefanyika katika utawala wa rais mzalendo. fyoko fyoko fyoko. tuliwaambia wanaiba mkatuona hamnazo
Majaliwa alikuwa na Taarifa zote Mkononi, sema yeye amesimamisha wale tu ambao walikuwa kwenye Mamlaka yake, hao wengine walimzidi Kimo na Umri..,Ukaguzi wa CAG ulikuwa haujatoka wakati huo; kwa hiyo kuna habari ambazo Majaliwa hakuweza kuzijua mara moja.
Tarifa zinasema jamaa alikamatwa morogoro akiwa anatoroka nje ya nchi sidhani kama kuna chakusubiria uchunguzi tena hapa huyu ni fisadi kigogouchunguzi gani mwingine unaoutaka ufanyike?
Tayari ashakutwa na hatia kama ni uchunguzi ufanyike kwa mambo mengine ambayo ni bado ni TUHUMA.
Kakoko ni Mhangaza kutoka Ngara, na hata aliwahi kuwa kiongozi wa Daruso- UDSM, na alikuwa mpambanaji kwelikweli wa haki za wanafunzi( ingawa sasa sijui kitakuwa kimempata kitu gani) na yeye alimaliza 1991 mbele ya kina Mbatia....Mnyambo wa Biharamlo huko Kagera. Alikuwa darasa moja pale UDSM na James Mbatia Civil Engineering! Alimaliza 1992.
Umeongea ki ccm zaidi!Ukaguzi wa CAG ulikuwa haujatoka wakati huo; kwa hiyo kuna habari ambazo Majaliwa hakuweza kuzijua mara moja.
Aaaah! Bandari ilikuwa yake! Takataka hii kwa kiasi hiki tu cha fedha aingie lupango kwa makofi ya nguvu. Mbona mitaani kibaka wa jogoo tu anaingia lupango huku ameshavunjwa mikono, sembuse hili jangili la nyala za serikali.
Jamani, na sisi pia tuna matumbo ya kulisha, mbona mnatufanya waTz wenzenu mafala hivi? Maisha kwetu magumu lakini kwa huyu chizi na familia yake ni tambarale akitumia nyala zetu za serikali.
Tupa jela akiwa na mguu mmoja tu hayawani huyu.
Swali la msingi ni kwanini Majaliwa katika uchunguzi wake, akawatumbua "vidagaa" na kumuacha "papa" Kakoko aendelee kutamba?
Ndiyo utambue kuwa enzi za Hayati Magufuli, nchi alikuwa ikiendeshwa kwa mtindo wa "double standards" wa hali ya juu sana!
Acha unafiki mkuu na ww ulikuwa mmojawapo wa ile praise teamUongo.
Sijawahi kumwona yeyote yule ni mtakatifu.
Nimemkosoa sana humu. Nimempinga panapostahili na umenigongea sana ‘likes’ nilipofanya hivyo. Facts. Provable.
Unabisha?