KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Na sisitiza hapo kwamba, hiyo kazi haiwezi kuwa ya mtu mmoja. Haiwezekani kamwe.Siku ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma utakapopigwa vita kwa vitendo na kwa nguvu zote ndo nchi itasonga mbele.
Sasa kama kakanusha kwanini ashindwe kuweka hadharani sababu za kumuweka lupango? [emoji15]
Hapo bado akaunti za Uswisi na zingine zenye majina ya bandia kwa kutumia wapambe wake.Bado tunasafari ndefu.
View attachment 1738279
Hiyo ni kama 3.7 Billion Tshs to be exact.
Halafu kuna watu wanasema ufisadi uliisha awamu ya tano. Haukumalizwa bali ni watu wachache walijimilikisha mianya ya pesa kwa kukingiwa kifua na ikulu.
Siku ufisadi na ubadhirifu wa mali za umma utakapopigwa vita kwa vitendo na kwa nguvu zote ndo nchi itasonga mbele.
TAKUKURU yakanusha kukuta kiwango kikubwa cha fedha cha Dola milioni 1 na laki 6 wakati wa upekuzi kwa Mkurugenzi wa TPA Bw. Deusdedit Kakoko na kusema taarifa hizo hazina ukweli wowote.
Amesema Taasisi hiyo ilikuta kiasi cha Dola Elfu 3 na fedha za Kitanzania Milioni 1 na nusu.
Alichokifanya ni sahihi kabisa,kukanusha uwongo,sababu alikwishaweka tangu jana,anashikiliwa kwa Uchunguzi,au ulitaka aseme wamemkuta na kiasi gani cha pesa ndiyo uridhike?
Alichoweza jiwe ni kuhalalisha wizi kwa ndugu, jamaa, marafiki na watendaji aliowapenda kwa sababu zake binafsi.Mungu mwenyewe alishindwa kuzuia dhambi, ndio iwe Magu azuie watu kuiba??
Alichojaribu ni kupunguza tu rushwa na ubadhirifu, kuumaliza ni kitu kisichowezekana. Au we unafikiri Lissu na Chadema wakishika nchi ndio wataondoa Ufisadi?? Chadema hawa waliokuwa wananunuliwa na Bashite na Polepole??
Labda paendeshwe kijeshi, na wanakaa hapo kwa mihura mifupifupi na kuhamishwa.hapo bandarini sijui nini kifanyike wizi umekithiri sana.
Watu wajinga sana,wameanza kumnanga marehemu,tujiulize marehemu alikuwa polisi kiasi kwamba alikuwa anajua huyu ana ana koba lake kalificha nyumbani,hiyo USD 1M inawatoa roho na kuacha yote mazuri aliyoyafanya marehemu,hiyo USD 1M ni hela ya mboga tu jamani,acheni ujinga daima tutamuenzi marehemu, hizo za akina Kakoko ni kitu gani bana, hizo ndio roho za korosho na za kwanini.Uongo.
Sijawahi kumwona yeyote yule ni mtakatifu.
Nimemkosoa sana humu. Nimempinga panapostahili na umenigongea sana βlikesβ nilipofanya hivyo. Facts. Provable.
Unabisha?
Lisemwalo lipo kama halipo laja wananguMie nahisi zilichotwa wakati wa Magufuli, na alikuwa ana kinga flani sasa Magufuli amefariki watu wamemchoma.
Ufisadi uko kila awamu sema watu wanalindana tu.
Unawekwa lupango kwa tuhuma zinazokukabili ili uhojiwe. Haijalishi umetuhumiwa ugoni au kukojoa hadharaniAseme kwanini kawekwa lupango? Watamweka mtu lupango kwa sababu tu wamependa kufanya hivyo bila ya kuwepo sababu husika? π³π³
Aseme kwanini kawekwa lupango? Watamweka mtu lupango kwa sababu tu wamependa kufanya hivyo bila ya kuwepo sababu husika? [emoji15][emoji15]
Mada husika hapa ni Kukutwa na kiasi kikubwa cha pesa! Hayo ya kushikiliwa kila mtu anajua kashikiliwa. Sasa sijui unatakaje? But najua umekuwa dissapointed sana na bado,subiri afutiwe tuhuma ndiyo utachoka zaidi.Unakumbuka ya Masamaki wa TRA?
Wewe ungezipeleka wapi, kama sio kujibaraguza hapa bila lolote unalojua!He must be the dumbest [if true] to be caught lacking like that.
We jamaa una medula kweli? Mama Samia ndio alitoa agizo kwa takukuru, wao takukuru ndio wakaenda kumshikilia kutokana na report ya CAG.Ndiyo upumbavu wa polisiccm wa kuwatia watu lupango bila kutangaza sababu husika za kufanya hivyo matokeo yake ni kuwapa mwanya wa kuwabambikia kesi Watanzania wengi wasio na hatia kesi mbaya za uchochezi, uhujumu uchumi etc. Unamtia mtu lupango sema hadharani sababu husika na kwamba uchunguzi unaendelea siyo kupiga kimya ili kuanza kutafuta cha kumbambikia.
HatariiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiView attachment 1738823
Unawekwa lupango kwa tuhuma zinazokukabili ili uhojiwe. Haijalishi umetuhumiwa ugoni au kukojoa hadharani
kwann tanroads?TANROADS syndicate ilitafuna nchi sana kwa msaada wa MATAGA.
wao wakilipwa vocha tu wanakuja kuharisha sifa kwenye social networks.
Ilihitaji mtu mwenye akili ndogo sana kuamini kama nchi ilikuwa haichezewi na hii syndicate kutoka TANROADS.
Kwanini uteuzi wowote kwenye key position mteuliwa alitoka TANROADS?
Anapelekewa akafanye nini?Naombeni mnipatie Gwajima