BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Kwi kwi kwi kwi mie nilidhani nanihii haogopi kulamba moto kumbe eeh! ile kauli mbinu ya HAPA KAZI TU! ni usanii wa mwingine wa awamu ya tano kama ilivyo ari mpya, nguvu mpya na kasi mpya pamoja na Maisha bora kwa kila Mtanzania yanawezekana kwenye awamu ya nne.
..
....Mkuu BAK moto haulambwi