Invisble275
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 982
- 1,166
Hamumjui Ngosha. N
Usihofu Mkuu. Mh. Tayari ana kila kitu, taarifa zote anazo na mpaka mkataba anao. Mkwere aliwapuuzia jamaa wa nusa nusa kila wakimpelekea taarifa za kiintelejensia. Kumbe alikuwa anafanya hivyo kwa maksudi kwa kuwa yeye ndo alikuwa mpiga ngoma. Kipindi hiki Ngosha anawatumia sana Nusa nusa kwa hiyo anajua kila kitu. Hizo briefings za kila siku kutoka kwenye vyombo vyake anazifanyia kazi. Hatokubali watu 50,000 waumize population ya watu mil 50. Mungu akupe Maisha Marefu Mh. Rais uwapiganie watanzania
Masikini ngosha wa watu!!!!!
Duuuh panya watakuwa wameula,nchi hii bwana
Usihofu Mkuu. Mh. Tayari ana kila kitu, taarifa zote anazo na mpaka mkataba anao. Mkwere aliwapuuzia jamaa wa nusa nusa kila wakimpelekea taarifa za kiintelejensia. Kumbe alikuwa anafanya hivyo kwa maksudi kwa kuwa yeye ndo alikuwa mpiga ngoma. Kipindi hiki Ngosha anawatumia sana Nusa nusa kwa hiyo anajua kila kitu. Hizo briefings za kila siku kutoka kwenye vyombo vyake anazifanyia kazi. Hatokubali watu 50,000 waumize population ya watu mil 50. Mungu akupe Maisha Marefu Mh. Rais uwapiganie watanzania