ngoshaz
Member
- Nov 30, 2015
- 53
- 25
Duh ndo umwite fisi aiseeMagu kivipi tena wewe fisi wakati ngoma ipo chini ya kamati ya Bunge? Au mnataka mpewe fursa ya kusema Magu dikteta anaingilia Bunge?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh ndo umwite fisi aiseeMagu kivipi tena wewe fisi wakati ngoma ipo chini ya kamati ya Bunge? Au mnataka mpewe fursa ya kusema Magu dikteta anaingilia Bunge?
Haifiki mwisho hiyo mzee, umeme lazima ukatike tuNgoja tuone mwisho wa move
Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya ITV usiku huu,Bunge limetoa siku tatu kwa Jeshi la Polisi kuwasilisha mkataba huo na document zingine.Agizo limetolewa kwa njia ya Barua baada ya maagizo ya mdomo kutotekelezwa.Huyo katibu kama ndo wanasaini mikataba-wanini asiutoe?
Mmawia mi na wewe tuko reli moja lakini kama bunge(kamati) ikija na ripoti tofauti na ile iliyotoka kwamba vituo 14 tu kati ya 108 ndo vyenye fingerprint reader basi Magu atakuwa kafeli.Kakudanganya nani wewe? Katiba ya warioba mliikataa kwa ushabiki sasa leo mnalialia? Wacha muisome namba
Hao jamaa hawa kila siku wenyewe ni kulalamika tu..utawasikilia wakipiga kelele kuwa JPM anatekeleza Ilani ya Chadema...alafu dakika chache baadae wanajisahau wanasema kamanda ni dikteta...wamechanganyikiwaDuh ndo umwite fisi aisee
Mkuu pole sana kama nimekukwazaMmawia mi na wewe tuko reli moja lakini kama bunge(kamati) ikija na ripoti tofauti na ile iliyotoka kwamba vituo 14 tu kati ya 108 ndo vyenye fingerprint reader basi Magu atakuwa kafeli.
Ila naamini Magu yuko smart na kamati ya bunge inajua imetumwa, na inatakiwa isikosee maana aliyewatuma anajua ila wao inatakiwa wathibitishe ili ionekane hakuna kuingiliana kwa mihimili ya dola
Umechanganyikiwa wewe unayeshinda lumumba kila siku ukipiga dekiHao jamaa hawa kila siku wenyewe ni kulalamika tu..utawasikilia wakipiga kelele kuwa JPM anatekeleza Ilani ya Chadema...alafu dakika chache baadae wanajisahau wanasema kamanda ni dikteta...wamechanganyikiwa
Yale yale. Sinema imeanza....... Chezeya mwana wa mfalme. Vita vya Mafisadi ni ngumu sana kwa Magufuli. Sidhani huo mkataba utapatikana
Mhhh itakuwa surprise sana, ila Prof atatusaidia ongea na tanesco wasikateHaifiki mwisho hiyo mzee, umeme lazima ukatike tu
Kazi ya kupiga deki sio dhambi...watanzania wengi wana sustain familiazao kwa hizo kazi za dekiUmechanganyikiwa wewe unayeshinda lumumba kila siku ukipiga deki
Hivi lumumba wanakulipa sh ngapi? Kama mshahara ni kidogo njoo uwe unamwagilia maua hapa ufipa utapata mshahara wa kutosha hivyo utapunguza matusi hayoKazi ya kupiga deki sio dhambi...watanzania wengi wana sustain familiazao kwa hizo kazi za deki
Kuna maua upande gani pale palipozungukwa na mateja kiasi kile!Hivi lumumba wanakulipa sh ngapi? Kama mshahara ni kidogo njoo uwe unamwagilia maua hapa ufipa utapata mshahara wa kutosha hivyo utapunguza matusi hayo
Unaonaje ukifanya kazi ya kulinda ofisi basi au ukawa unalinda magari ya viongozi wa chama dume cdm?Kuna maua upande gani pale palipozungukwa na mateja kiasi kile!
Unajitukana mwenyewe ng'ombe wa mgombea urais nyie, by the way kwani nani anaishi barabarani?Kwahiyo mnaishi kwenye uchafu kama mang'ombe,