Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ndio maana majipu yenyewe hayaishi kuzungukia magogoniMagufuli uwezo wake vipele tu majipu hayawezi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana majipu yenyewe hayaishi kuzungukia magogoniMagufuli uwezo wake vipele tu majipu hayawezi
Mkuu huyo ndiye mesenja wa uhuru mediatupatie iliyo sahihi basi.wewe si umeona hadi wamewanukuu hao wahusika?kama una chuki binafsi na hilo gazeti sema tu.
Wataguswa tu sasa hivi ni wastaafu.hawana powerTukiwagusa mafisadi nchi itayumba
By mtoto wa mkulima
Hayo yote yana mwisho wake ni muda tuMmeshaambiwa kampuni ya Lugumi ni Mali ya;
Ridhiwani Kikwete na
IGP Said Mwema
Hapo lazima danadana ziwepo.
Kakudanganya nani wewe? Katiba ya warioba mliikataa kwa ushabiki sasa leo mnalialia? Wacha muisome nambaWataguswa tu sasa hivi ni wastaafu.hawana power
kwahiyo ulitaka aingilie kazi yakamati ya bunge, sio,ndio ujue amekukuna, usikiapo raha kumwiliwako aah!Magufuli uwezo wake vipele tu majipu hayawezi
Nimeona hii habari ITV muda huu.Hii issue Polisi na Wizara wote ni watuhumiwa tu.Magufuli anatumbua vipele tu lakini majipu hasa yenye uhusiano na viongozi wa chama na serikali thubutuu, alifananishwa na nguruwe na kaufyata, hawezi kugusa kiini cha jipu huyu usanii tu.
Ulitaka chanzo kiwe demu wako?Tanzania daima? Source ina walakini.
Too late mkuu!Usidhani watu hawana copy ya huo mkataba ila wanawatega tu.Kwani mkataba hauwezi kufungwa hata ndani ya siku 2 hizi usiku wa manane tuwafumbe midomo wadanganyika?