Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magari yatapaki wapi pale wewe!?Unaonaje ukifanya kazi ya kulinda ofisi basi au ukawa unalinda magari ya viongozi wa chama dume cdm?
DentistUnajitukana mwenyewe ng'ombe wa mgombea urais nyie, by the way kwani nani anaishi barabarani?
Basi utakuwa na kazi ya kupiga deki, unasemaje?Magari yatapaki wapi pale wewe!?
TAKUKURU mko wapi mbona kimya.Au waliotiwa ktk kashfa wapo juu yenu?Magufuli uwezo wake vipele tu majipu hayawezi
Kazi pekee ambayo nitakubali kufanya hapo ni Audit (Ukaguzi) wa matumizi ya pesa (ruzuku)...Hivi lumumba wanakulipa sh ngapi? Kama mshahara ni kidogo njoo uwe unamwagilia maua hapa ufipa utapata mshahara wa kutosha hivyo utapunguza matusi hayo
Kaofisi kenyewe kadogo sana, nadhani we hujawahi hata kufika ofisini kwenu, uumejichimbia Igoma tu.Basi utakuwa na kazi ya kupiga deki, unasemaje?
Teeeeeeh teeeeeh, gamba utamjua tu kwa kupenda elaKazi pekee ambayo nitakubali kufanya hapo ni Audit (Ukaguzi) wa matumizi ya pesa (ruzuku)...
Teeeeeeh teeeeeh, naona vijana wa dentist mmechomoka majini kwa kupigania buku 7Kaofisi kenyewe kadogo sana, nadhani we hujawahi hata kufika ofisini kwenu, uumejichimbia Igoma tu.
TAKUKURU mko wapi mbona kimya.Au waliotiwa ktk kashfa wapo juu yenu?
Taarifa ya habari usiku huu ITV wameongelea sawa tu Gazeti hiloTanzania Daima nanyi wachokozi! Hamjui hilo jipu limekaa pabaya sana - liktumbuliwa ina maana mhusika inabidi awe ameishaandika wosia! Haya ndio yale mzee wa 'wapigwe tu' alikuwa akiyasema 'ukiwagusa nchi itayumba'.
...huku sasa ndio kulazimishana kucheka kwenye mambo ya msingi!Ana wasi wasi gani kama atakuwa anajua mkataba hauta patikana,watu wamejisaidia na kufukia kama paka.
Mmeshaambiwa kampuni ya Lugumi ni Mali ya;
Ridhiwani Kikwete na
IGP Said Mwema
Hapo lazima danadana ziwepo.
Nakumbuka wakati uleee ZZK alivyowasweka ndani jamaa wa TPDC baada ya kushindwa kuwasilisha mikataba. Je kwa nini hawa jamaa wa Wizara ya Mambo ya Ndani, kwa maana ya Katibu Mkuu wa Wizara na IGP, wasisweke ndani?Nimeona hii habari ITV muda huu.Hii issue Polisi na Wizara wote ni watuhumiwa tu.
Tumpe muda mh,rais .Ninaimani atalishughulikia tatizo hili kwani hili ni jipu kama majipu mengineKama IGP alimsimamisha afisa manunuzi wake, mbona la kupeleka documents anasita? Au nae anamjengo mmoja kati ya hizo 40? Kwa katubu mkuu bado mgeni sana kwenye hiyo Wizara. Haelewi historia ya hicho kitu.
Kuja mambo hapo.
Ha ha ha,tuwiane radhi muungwana naona nime gusa mwonekano wako....huku sasa ndio kulazimishana kucheka kwenye mambo ya msingi!